Gavana Luoga akitoa takwimu za mchango wa kanda ya ziwa kwenye uchumi wa Tanzania

umechelewa sana bro. mwenzio alipania amekufa na roho mbaya yake.
Kufa unaona ni big deal sana kwako? Kila mtu atakufa na hata wewe utakufa.

Kifo sio ishu maana ni jambo la kila mtu.
 
Kufa unaona ni big deal sana kwako? Kila mtu atakufa na hata wewe utakufa.

Kifo sio ishu maana ni jambo la kila mtu.
kila mtu atakufa ila unakufaje. kwanini uwaumize wenzio kwa roho yako mbaya? tunaish mara moja tu inakufaidia nini kuwafilisi kuwauwa na hata kuwachukia watu simpo kwasababu sio kabila lako kwanin uwachukie watu ambao hujawaumba? maswali ni meng nk. bro Mtz ni mtu mnyonge lakn akimlilia Mungu sala zake zinasikilizwa mapema sana.
 
Kuna watu wengine sijui ni walevi?? Yaani gavana wa BoT anatoa takwimu za mwaka huu, wewe kwa vyanzo vyako bado una takwimu za 2019 alafu bado unampinga gavana?? Hivi huoni aibu??


Huoni kwamba gavana ana takwimu updated na hata projections za kipindi kijacho anazo?? Yaani tuachane na takwimu updated tukimbilie zako za 2019??


Kwa hiyo mkurugenzi wa TAKUKURU pia akitoa takwimu za rushwa kwa mwaka huu au robo ya mwaka huu utaikataa hadi utumie ya 2019 inayopatikana kwenye vyanzo vingine??

Hebu jifunze kuficha ujinga wako basi mkuu.
 
Hizo ni politics wewe Ili kupamba shughuli kwa maslahi ya mgeni rasmi na hadhira.

Nimekwambia mwambie akupe hizo source za taarifa zake unazoita updated maana mimi nimeweka source kutoka NBS.

Pia huwezi toka 23% ghafla ukaja 26% wakati uchumi jumla ulianguka hata kama ndivyo ilivyo pengine ni kutokana na kuanguka kwa Utalii ambayo ni share kubwa ya kanda ya Kaskazini.

Tena siku covid ikiisha na utalii ku rebound hiyo share ya lake zone itapungua Sana na kurudi kule kwa siku zote,uhalisia wa mchango wa lake zone kwenye GDP uangalie kabla ya corona.

Sasa hivi inaonekana umepanda ni kwa sababu utalii umedondoka na dhahabu imeongezeka bei lakini actual sectors za wananchi hakuna kitu huko ndio maana wanaogelea kwenye umaskini.

Mwaka uliopita mapato halisi ya Jiji la Mwanza plus Ilemela yalikuwa karibu sawa na Arusha licha ya utalii kuanguka kwa covid 19,hii inakupa picha kwamba huko Mwanza watu ni wengi ila productivity ni zero.

Next year kwa kuzindua kiwanda cha dhahabu mapato yataongezeka hususani Ilemela MC but won't reflects the actual situation on ground licha ya kwamba yatasaidia kuwekezwa kwenye miradi ya wananchi.
 
Kwamba wewe usie na akili ndio ujue mama alidanganywa?😂😂. Kweli ujinga bado ni tatizo kubwa.

Okay, tuseme kweli mama alidanganywa kua dhahabu inazalishwa Mbeya lakini Gavana akasema inazalishwa Mwanza. Samaki zinazalishwa Njombe Gawana akasema zinavuliwa Mwanza, Serengeti iko Songea Gavana akasema iko Mara, Kahawa na Pamba zinalimwa Tanga Gavana akasema zinalimwa kanda ya ziwa.

Mama alidanganywa sana maana almasi inachimbwa Bagamoyo Gavana akasema inachimbwa Shinyanga.

Halafu usivyo na akili, kiwango cha umasikini na mchango kwenye pato la taifa ni vitu viwili tofauti sana. Hivi ulipata hata basic knowledge ya economics kwenye shule zako za kata ulizosoma? Maana ungekua upeta hiyo elimu usingebisha kitaahira hivi.
 
Hapo kwenye bold ndio panadhirisha huna akili. Utalii uko kanda ya kati? Kanda ya kati unaijua lakini?

I am sorry, hii ni reply yangu ya mwisho kwako. Una uelewa mfinyu sana wa mambo. Haya ndio matatizo ya little learning. Kweli naamini little learning is very hazardous.
 
Wewe ni fala nani kazungumzia dhahabu? Umeona hoja yangu na hizo takwimu au umekurupuka? Haya ndio madhaifu ya kushindia michembe sasa,kitu kidogo kuchanganua huwezi
 
Hiyo ni typing error nilimaanisha kanda ya kaskazini

Mbona huweki uelewa wako wa mambo kwa upana? [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Hiyo ni typing error nilimaanisha kanda ya kaskazini

Mbona huweki uelewa wako wa mambo kwa upana? [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Huwezi kuelewa mkuu.

Kwenye huu mjadala umedhihirisha wazi kua una changamoto ya uelewa wa mambo madogo sana sasa mambo makubwa itakuaje?

Ni kwa bahati mbaya kwamba humu tunatumia id fake na tuna mchanganyiko wa watu wote lakini inapokuja kwenye mijadala ndio unaweza kuona jinsi watu walivyo weupe vichwani hata yale mambo madogo tu ya kutumia common sense inakua shida, sasa itakuaje kwa mambo yanayohitaji reasoning?
 
kanda ya ziwa bana ndo wayahudi original walipo kimbilia kabisa si kwa ubora huo halafu naniliu zao tamu sana.km ukijua kuzitumia. Wengi walioenda huko hawakurudi makwao mfano ni jiwe..alibadili na lugha kabisaaa!! Jaribuni muone.
 
Chif hangaya mwenyewe anaijua nguvu ya kanda ya ziwa..ndio mana punde baada ya kuwa raisi alienda kanda ya ziwa kuomba kukubalika...wewe nani unayepuuza nguvu ya kanda ya ziwa kwenye uchumi na siasa za nchi hii.

#MaendeleoHayanaChama
 
Ohoo kanda ya nyonyo.

Ndio maana manyonyo huwa matamu sana.
 
Kama wanawapiga kura wengi imekuwaje miaka yote wagombea hawatoki kwao?
Unataka kutisha watu kwa kigezo cha ukanda yaani kosa afanye mmoja uwahisishe kanda nzima?
Alifanya madudu na atapondwa kwa madudu yake.
Mkuu mmoja si alitoka huko huko juzi juzi tu ndio aina ya hao watu,uliona alikokuwa anaipeleka hii nchi???wengi ni washamba na mazuzu kibao huo ndio ukweli japo mchungu.
 
Mkuu mmoja si alitoka huko huko juzi juzi tu ndio aina ya hao watu,uliona alikokuwa anaipeleka hii nchi???wengi ni washamba na mazuzu kibao huo ndio ukweli japo mchungu.
Unaposema washamba una maanisha nini?, unajua maana ya neno ushamba? Acha miheko ya kisenge pambana na haki yenu.
 
Tuwe makini na kauli zetu japo ukweli unabaki Kanda ya Ziwa ndio nguzo ya Kisiasa, Kijamii na Kiuchumi nchini japo kimaendeleo hailingani na Kanda ya Kaskazini. Nachelea kueleza kwa vipi nguvu ya awali ya upinzani ilikuwa Kanda ya Ziwa
Fafanua kimaendeleo hailingani na Kaskazini kivipi, maendeleo gani maana sisi wengine tunafanya kazi za field kwenye jamii hii hii ya Kaskazini ili tuone unataka kusema uongo upi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…