TANZIA Gavana mstaafu wa BoT, Profesa Benno Ndulu afariki dunia

Apumzike kwa amani; alifanya mema wakati wake.

Ila sasa vifo vyote vwa watu maarufu visiwe kete za kisiasa kutumia korona. Watu wengi kwenye madaraka hutokea kuwa overweight na huweza wana matatizo mengine ya kiafya yanayoweza kuathiri uhai wao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…