Mungu ni mkubwa kuliko gonjwa la CoronaSasa huu ni mwezi February,ikifika mwezi December 2021 hii orodha itakuwaje?
Mh Spika yu wapi?Mungu ni mkubwa kuliko gonjwa la Corona
Amesafiri safari ya mbali [emoji3][emoji3]Mh Spika yu wapi?
Subiri utinge kwenye familia yenu urudi uandike ulicho kusema hapa.Sio kila anaekufa, hasa akiwa public figure, amekufa kwa COVID. Huu ugojwa hauzuii magonjwa mengine yaliyokua yanaua sana kuendelea kuua. Lets not forget that.
We mndengereko ongea kiswahiliInnalillahi wainnailayhi rajiuun
mapema miaka 71?!!!!! ulitaka aishi miaka 200 mkuu!!!RIP Prof. Beno Ndulu; umeondoka mapema mno Profesa!