Uwe unafikiria japo kwa aslimia moja ya ubongo wako, kwa nini kwa kipindi kifupi hivi huko nyuma mbona haukua hivi? Ndio nyinyi badala ya kutamka corona mnatamka changamoto za kupumuaSio kila anaekufa, hasa akiwa public figure, amekufa kwa COVID. Huu ugojwa hauzuii magonjwa mengine yaliyokua yanaua sana kuendelea kuua. Lets not forget that.