TANZIA Gavana mstaafu wa BoT, Profesa Benno Ndulu afariki dunia

TANZIA Gavana mstaafu wa BoT, Profesa Benno Ndulu afariki dunia

Gavana mstaafu wa benki kuu ya Tanzania (BOT) Benno Ndulu amefariki dunia katika hospitali ya Hubert Kaiuruki Memorial alipokua anafanyiwa matibabu. Mungu amlaze mahali pema peponi. Amin
View attachment 1708889
 
Lakini tusifike mahali tukakufuru, miaka 71 siyo haba na ndiyo miaka iliyosemwa kwenye imani za dini. Miaka ya mwanadamu itakuwa miaka 70 lakini anaweza kwenda mpaka miaka 80 kama ana nguvu! Sasa Prof. Ndulu kapiga 71 yaani kupewa na bonus ya mwaka mmoja! Mungu ampumzishe kwa amani mahali anapostahili!
Kila Jambo ni kumshukuru Mungu, mimi mdingi wangu aliondokaga na 65 tu hata hakufaidi kucheza na wajukuu zake vizuri!!
 
Huyu Gavana alikuwa anasigishana na raia namba moja kuhusu matumizi holela ya pesa ya huyu raia.
May his memory always be a blessing!
 
Samahani ndugu Myetu mwaka hauna kosa kwani ni kama nyakati zingine zozote, bali sisi wanadamu ndiyo wenye matatizo. Mwaka haujaleta virusi wala magonjwa ya aina yoyote, kilichobaki tuchukue tahadhari kwani Corona ipo na inaondoa uhai na magonjwa mengine pia yapo na yanaondoa uhai. Samahani kama nitakuwa nimekukwaza kwa kuwa siyo nia yangu.
Haina shida, mie mwenyewe nimepoteza Baba tangu wiki mbili zilizopita. Nikisikia habari ya kifo moyo ynakupuka ndugu yangu Vumilika pia ni msemo wa wahenga.
 
Jama Jama yaani asubuhi tu tayari tuanze na RIP, ngoja tuendelee kusubiria maana tumeambiwa ni afadhali tumkosee askofu Ruwaichi kuliko kumkosea Mungu kwa kuvaa barakoa.

Natabiri kufika mwezi April nchi nzima including Chato itakuwa katika taharuki kubwa maana hii variant mpya ya Covid haina masihara
 
Wwe unaonekana ni mkurupukaji,ungekua Raisi wetu ungesha tuingiza chaka la Machanjo ya majaribio,Bora Mungu katuletea Magufuli,anajua kuusoma vizuri mchezo wa Mabeberu dhidi ya Africa!!
Kuna wakati inabidi utumie akili zako.

Magufuli as a scientist anatambua COVID hawezi ishi nje ya mwili kwa muda mrefu kwa joto la Dar which is true, mtu huyo huyo anataka barakoa zilizopigwa na joto kwa miezi kadhaa watu wasivae; where is the logic.

Imefikia hatua anawananga hata watu wa dini kwa kuvaa barakoa, ina maana yeye anajua kumuomba Mungu kushinda wahubiri?

He should not dictate the choices of overs yeye kama kaamua kumuachia Mungu sawa (we all pray to him atuondelee ili balaa) lakini asibeze watu kwa kuchukua tahadhari.

Sawa ajakataza barakoa lakini kutwa kuwananga wanaovaa, mpaka unajiuliza kwanini yeye akerekwe watu kujilinda.
 
Sio mapema he's 71 mnadamu alitezaliwa na mwanamke siku zake za kuishi si nyingi miaka 70akiwa na nguvu 80 kinyume chake ni shida na ubatili na taabu
... tatizo tumezoea vifo vya mapema hadi tunaona kawaida. Life expectancy (2018) za wengine hizo hapo Mkuu; tunastahili kuishi sio kufa - Sweden - 82.56; Norway - 82.76; Finland - 81.73; Denmark - 80.95; Japan - 84.21; UK - 81.26; US - 78.54; France - 82.72.
 
Sio mapema he's 71 mnadamu alitezaliwa na mwanamke siku zake za kuishi si nyingi miaka 70akiwa na nguvu 80 kinyume chake ni shida na ubatili na taabu
... tatizo tumezoea vifo vya mapema hadi tunaona kawaida. Life expectancy (2018) za wengine hizo hapo Mkuu; tunastahili kuishi sio kufa - Sweden - 82.56; Norway - 82.76; Finland - 81.73; Denmark - 80.95; Japan - 84.21; UK - 81.26; US - 78.54; France - 82.72.
 
Pengine ikawa hivyo
Vipi wewe unachukua tahadhari lakini ikiwa pamoja na kuaachana na michepuko!? Maana kuna wengine wamekariri tahadhari za WHO tu lakini huku upande wa pili games kama kawa!!
 
Sio mapema he's 71 mnadamu alitezaliwa na mwanamke siku zake za kuishi si nyingi miaka 70akiwa na nguvu 80 kinyume chake ni shida na ubatili na taabu
Hao hata ukiwakumbusha vipi hawatakuelewa, maana akili zao zimeshakaa ki Corona Corona!!
 
Back
Top Bottom