TANZIA Gavana mstaafu wa BoT, Profesa Benno Ndulu afariki dunia

TANZIA Gavana mstaafu wa BoT, Profesa Benno Ndulu afariki dunia

Kuna wakati inabidi utumie akili zako.

Magufuli as a scientist anatambua COVID awezi ishi nje ya mwili kwa muda mrefu kwa joto la Dar which is true, mtu huyo huyo anataka barakoa zilizopigwa na joto kwa miezi kadhaa watu wasivae; where is the logic.

Imefikia hatua anawananga hata watu wa dini kwa kuvaa barakoa, ina maana yeye anajua kumuomba mungu kushinda wahubiri?

He should not dictate the choices of overs yeye kama kaamua kumuachia mungu sawa (we all pray to him atuondelee ili balaa) lakini asibeze watu kwa kuchukua tahadhari.

Sawa ajakataza barakoa lakini kutwa kuwananga wanaovaa, mpaka unajiuliza kwanini yeye akerekwe watu kujilinda.
Magufuli hakerekwi na watu kuvaa Barakoa, ndiyo swala hilo kaliacha wazi kwa kila mtu afanye anavyojisikia yeye kutokana na Mwili wake! Maana kuna wengine wakivaa Barakoa ndiyo wanazidi kukosa pumzi na wengine wanapenda kuvaa Barakoa na wengine wanavaa Barakoa kwa kufuata mkumbo tu!!
 
Sio kila anaekufa, hasa akiwa public figure, amekufa kwa COVID. Huu ugojwa hauzuii magonjwa mengine yaliyokua yanaua sana kuendelea kuua. Lets not forget that.
Kwa yeyote mwenye akili timamu, anajua kuwa corona Ina mchango mkubwa sana kwa vifo vinavyojitokea sasa.

Kama una akili timamu utajiuliza kwa nini 2018, 2019 hakukuwa na vifo vingi Kama sasa? Kama siyo corona, ni nini kilichopo sasa ambacho huko nyuma hakikuwepo?

Hawa viongozi na watu maarufu ni sample tu ya kile kilichopo kwenye jamii. Hawa viongozi ni chini ya 0.01%. Hivyo unaposikia kifo 1 vya mtu maarufuv, huko mtaani kuna vifo siyo chini ya 99.99÷0.01= 9,999. Ndiyo maana huko mtaani, hakuna hata siku 1 inayopita bila msiba. Hii Hali ni kwa nchi nzima.
 
Vp wwe unachukua tahadhari lakini,ikiwa pamoja na kuaachana na michepuko!? Maana kuna wengine wamekariri tahadhari za WHO tu,lakini huku upande wa pili games Kama kawa!!
Endelea kuchukua tahadhari.
 
... tatizo tumezoea vifo vya mapema hadi tunaona kawaida. Life expectancy (2018) za wengine hizo hapo Mkuu; tunastahili kuishi sio kufa - Sweden - 82.56; Norway - 82.76; Finland - 81.73; Denmark - 80.95; Japan - 84.21; UK - 81.26; US - 78.54; France - 82.72.
Sasa makuzi ya mtu Mweusi na mtu mweupe unataka kuyalinganisha vipi hapo!?
 
Magufuli hakerekwi na watu kuvaa Barakoa, ndiyo swala hilo kaliacha wazi kwa kila mtu afanye anavyojisikia yeye kutokana na Mwili wake! Maana kuna wengine wakivaa Barakoa ndiyo wanadhidi kukosa pumzi na wengine wanapenda kuvaa Barakoa,na wengine wanavaa Barakoa kwa kufuata mkumbo tu!!
Hiyo ndio argument yake hajazuia barakoa, but he is not a good ambassador on its usage.

Asubuhi njema 👋
 
Mungu mwenye huruma, mpokee mtumishi wako na pale alipopungukiwa kwa kadiri ya kipimo chako, tunaomba aione huruma yako.

Pole sana wanafamilia na ndugu wote.
 
Apumzike kwa amani; alifanya mema wakati wake.

Ila sasa vifo vyote vwa watu maarufu visiwe kete za kisiasa kutumia korona. Watu wengi kwenye madaraka hutokea kuwa overweight na huweza wana matatizo mengine ya kiafya yanayoweza kuathiri uhai wao.
@Kichuguu huko ni kujidanganya na kujifurahisha nafsi . Corona ipo na imakula vichwa [emoji87][emoji3517]
 
Miaka 71 bado unasema kaondoka mapema. Bora useme kaondoka bado tunamuhitaji..
...tatizo tumezoea vifo vya mapema hadi tunaona kawaida. Life expectancy (2018) za wengine hizo hapo Mkuu; tunastahili kuishi sio kufa - Sweden - 82.56; Norway - 82.76; Finland - 81.73; Denmark - 80.95; Japan - 84.21; UK - 81.26; US - 78.54; France - 82.72.
 
Miaka 71 mapema?
... tatizo tumezoea vifo vya mapema hadi tunaona kawaida. Life expectancy (2018) za wengine hizo hapo Mkuu; tunastahili kuishi sio kufa - Sweden - 82.56; Norway - 82.76; Finland - 81.73; Denmark - 80.95; Japan - 84.21; UK - 81.26; US - 78.54; France - 82.72.

Ni wajibu wa serikali inayoongozwa na CCM kutuvusha tufikie level hizo za kuishi/umri. Kuboresha maisha ya wananchi ni jukumu la serikali yoyote inayojali.
 
Hakuna aliyesema **** kuwa korona haipo, ila siyo kweli kuwa kwa vile korona ipo basi kila kifo kinasababishwa na korona !
Kwani Kichuguu, mna arllegy na Corona ?!. Siwaelewi !!
Hii kitu inaua kinyama tena walipa kodi wazuri . Nawashangaa
 
Back
Top Bottom