Gavana Ole Lenku na viongozi wa Kimaasai walaani tamko la rais Magufuli

Gavana Ole Lenku na viongozi wa Kimaasai walaani tamko la rais Magufuli

mbona New Zealand, USA, Australia nk wanafuga lakini hakuna mamigogoro ya wakulima na wafugaji? kwanini afrika tu?
 
Sasa hivi ITV,wanasema Majambazi kutoka Kenya na kuiba ng'ombe 155,na kupakia kwenye Magari. baadhi wamekamatwa Horohoro.
Ndio majirani na ndugu wa damu hawa? tunao wataka waje tanzania kwenye amani yetu... hawa ndg zao wasomali hacha wapambane nao... hadi ktkt ya Nairobi na ktk ma wastegate mall
 
Mvua imenyesha kwa wingi Kajiado county. Nyasi zao wazikaange wale nazo sima. Tupatane tena kiangazi kikirudi. Kwani JPM ndo alipanda nyasi hizo?
Ngoja nisome tena comment yako nimeula wachuya
 
tayari tushafanya....baada ya kupiga mnada ile mifugo yenyu,tumefanya hivi[emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116]
abce42b0c8c57234c049c611ca221a48.jpg
 
So kwa uelewa wako wa mambo unaamini Tanzania can do without her neighbors Kenya etc!?nadhani huu ndiyo ule ulevi au mahaba ya kusifia kila kitu kinachofanya na kiongozi pendwa!Kenya ni Industrialized country, ipo kwy uchumi wa kati...ambapo Tanzania tunapambana kufa na kupona hili tufike,many Tanzanian wapo kule kwa shughuli mbalimbali za kiuchumi na kujipatia riziki!Think outside the box bra.
Hao watanzania waliopo huko wamefuata sheria na taratibu za nchi husika haiwezekani watu kutoka nje wavuunje sheria za nchi yetu tuwaonee haya eti kisa wana uchumi mkubwa ooh mara majirani oooh sijui makabila yanaendana huo ni upumbafu wa kiwango cha lami !
 
Mimi natokea kijiji cha EngareNaibor wilaya ya Longido ila tangia nikiwa mtoto tulikuwa tunachunga mifugo yetu upande waTanzania na upande wa Kenya bila kujali mipaka na wenzetu upande wa Kenya hivyo hivyo. Minada ya Namanga na Longido tunaleka mifugo yetu na kuuziana bila kubaguana na cha ajabu zaidi tumeoana bila ubaguzi tukijua wote ni wqmasai. Hili LA awamu hii ni kiboko na hatujawahi kuona tangu tupate Uhuru. Sijui mwisho wake.
Ndio mjifunze maisha yanabadilika sio kuishi utadhani ngedere
 
Maasai's kwa ujumla ni jipu.....na huezi tibu jibu la ndani kabla hujaanza na hawa wageni.......wamasai wa Tz mjipange panga linakuja kwenu haiwezekani mnazunguka na ngombe kila sehemu acheni uprimitive u have to settle
 
Kwahiyo Wasomali wa Mogadishu wanaruhusiwa kuingiza ngamia zao kenya huko Garrisa? Najaribu kuuliza tu nione hapo inakuwa je.
Wasomali kurudi Somalia hakuna shida. They have the right to move freely from kenya to Tanzania
 
tayari tushafanya....baada ya kupiga mnada ile mifugo yenyu,tumefanya hivi[emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116]
abce42b0c8c57234c049c611ca221a48.jpg
Hii mip[aka iliowekwa na Wazungu inawagawanyisha wamaasai. Huu ni upuzi
 
Maasai's kwa ujumla ni jipu.....na huezi tibu jibu la ndani kabla hujaanza na hawa wageni.......wamasai wa Tz mjipange panga linakuja kwenu haiwezekani mnazunguka na ngombe kila sehemu acheni uprimitive u have to settle
Hio ni mila na utamaduni ya watu wa Maa
 
Back
Top Bottom