Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Mambo ya ajabu sanaTax law nini BOT?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mambo ya ajabu sanaTax law nini BOT?
Wakati mwingine ni kwamba hawajui tu.Naunga mkono hoja,haiwezekani uchumi wa mabenki ukue huku wakopeshwaji wakinyonywa kwa mariba makubwakubwa,huu ni uwizi kabisa,inawezekana anakula na wakurugenzi wa mabenki wasitoze riba sahihi,nchi hii riba za mikopo yote hazikutakiwa kuzidi 10%,wakopaji wananyonywa sana
Haya waliweka wanayemtaka,,tumeishia kukoswa hata Dolla za kuagiza sukariHivi mnafikiri anateuliwa mtu asiyefaa kwa bahati mbaya?
HIZO SIFA ZAKE ASIZOFAA NAZO NDO ZINAZOTAKIWA SASA!
Yani vile mnavotaja madudu yake na kuonesha anavyoshindwa kufanya chochote ndo mnampa CV kaaaali, kimsingi HAITAKIWI ANAYEFAA KUWA GAVANA!
Watapigaje sasa?
Thiiiiiink!