Gavana wa Benki Kuu Tanzania, Florens Luoga abadilishwe haraka

Wakati mwingine ni kwamba hawajui tu.
 
Hivi mnafikiri anateuliwa mtu asiyefaa kwa bahati mbaya?
HIZO SIFA ZAKE ASIZOFAA NAZO NDO ZINAZOTAKIWA SASA!

Yani vile mnavotaja madudu yake na kuonesha anavyoshindwa kufanya chochote ndo mnampa CV kaaaali, kimsingi HAITAKIWI ANAYEFAA KUWA GAVANA!
Watapigaje sasa?
Thiiiiiink!
 
Haya waliweka wanayemtaka,,tumeishia kukoswa hata Dolla za kuagiza sukari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…