Gavana wa BoT: Deni la Taifa ni Tsh Trilioni 100, linazidi kukua japo bado linahimilika

Bado 9% tufike kwenye ceiling na still tunasema ni himilivu kwa hiyo asilimia kidogo iliyobaki ? Na je basisi yakukopa nikiasi gani ?
 
Tunaweza pia kusema deni linahimilika kama Mungu ataendelea kutupa neema ya kutopatikana na majanga makubwa kama njaa, vita matetemeko na magonjwa nk.Majanga hayana uhimilivu.Tukumbuke vita vya kagera tuliambiwa tufunge mikanda mpaka sasa mikanda imekaza.Hivyo serkali iwe na akiba ya busara isingoje ifike 55% ya uhimilifu kwa kuwa hatuwezi kujua impending risks dhidi yetu
 
Bado trillion 25 tufike asilimia 55% ya kiwango cha mwisho kukopa

Duuhhh hii hatari sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…