Gawio la hisa za CRDB

Tafuta EPS(Earning per share) kwa hisa za Nmb vs Crdb then utapata majibu
 
CRDB kuna maeneo mengi ambayo wangeweza kupunguza matumizi yasiyo ya lazima ; they give one the impression that the management is not cost conscious!
Kuna mtu kaniambia mfanyakazi wa chini kabisa crdb anavuta salary ya 1.2m Tena huyo ni mpya aliyeanza kazi, kwahiyo mi naona waachwe tu watumie hela maana wanajali wafanyakazi na wanahisa
 
Kama walikuwa wanatumia fedha za serikali kufanyia biashara bila serikali kufaidika, Leo akitokea mtu kubadilisha Hilo tatizo liko wapi!?
 
Kama walikuwa wanatumia fedha za serikali kufanyia biashara bila serikali kufaidika, Leo akitokea mtu kubadilisha Hilo tatizo liko wapi!?
Hisa zinapanda na kushuka kutokana na uwekezaji kupanda au kupungua....... Uwekezaji ulipungua sana nchini kipindi cha Magufuli
 
By the way, uwekezaji kwenye hisa unahitaji MTAJI mrefu na maarifa ya kutosha. Uwe na pesa ambayo ni stress free, hauiwazii kabisa ikupe faida kubwa, unless uwe ume-stake pesa ndefu.


Aliyeweka million 5 hawezi akawa sawa na yule aliyeweka million 600 in terms of annual dividends.

Tsh 36 Kama dividend yako annually times your number of shares, inaleta ROI ndogo sana kwa wenye MITAJI midogo.

N:B Never buy shares for the sake of buying, hasa ukiwa na pesa kidogo, that's actually a game of numbers, utakuwa unaona pesa yako haileti kile unachokitarajia siku zote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…