Gay lions spotted in Kenya's Maasai Mara

wazungu ni watu washenzi sana,wanatumia kila aina ya propaganda kujaribu kuziaminisha jamii za kiafrika kuwa ushoga ni jambo la kawaida.

awamu hii wamemtumia mnyama simba kwa makusudi wakijua kuwa waafrika wengi humchukulia simba kama alama ya ujasiri,nguvu na ushupavu.

BTW,kwanini wameitumia kenya?.
mzungu aliyesambaza taarifa hii,asingethubutu kufanya upuuzi kama huo ndani ya mbuga za tz....angedhibitiwa vilivyo kwa kunyang'anywa passport ili abaki kutoa maelezo na kuthibitisha upuuzi wake.
 


Mi nitaamini hizi story kutoka kwa wamasai tu coz wamasai wameishi na Wanyama kizazi na kizazi hao wazungu hata wafanye nini siwaamini ng'o
 
WAONGO MNO HAWA JAMAA, nimezungumza na chanzo nachokiamini kinasema hivi WENYE HELA ZAO WAMEAMUA KUPROMOTI USHOGA KWA NGUVU ZOTE na hakika watafanikiwa km waafrica hatutoshtuka!
 
Ee Mwenyenzi, Mungu washushie ghadhabu watu hawa ,wanaojitafutia ushahidi kwa wanyama kuhalalisha ufirauni wao,Amen
 
Mimi binafsi nimeona wanawake wengi tu wenye ndevu, nyeupe, nyeusi lakini si kwenye nyuso zao. Teremka kidogo hadi pale pale. Hapo ndo utajua hapa duniani kuna Osama wengi sana ambao chimbuko lao si Saudia.
Kuna moja namfaham anashep zur saaana lkn anandevu usoni kote
Adi tumba naunganisha na kidevu akitaka
Ila maskini anahangaika sana kuzinyoa kila mda kitu kinachofanya ngozi yake ionekane imekomaa kanakwamba mwanaume alienyoa ndevu kila siku
 
Kuna moja namfaham anashep zur saaana lkn anandevu usoni kote
Adi tumba naunganisha na kidevu akitaka
Ila maskini anahangaika sana kuzinyoa kila mda kitu kinachofanya ngozi yake ionekane imekomaa kanakwamba mwanaume alienyoa ndevu kila siku
Sasa kwasababu ulichangamkia fursa ukampa raha ya ajab ina maana we ni shoga? Teh teh...πŸ˜€ Acha nisepe.
 
Ee Mwenyenzi, Mungu washushie ghadhabu watu hawa ,wanaojitafutia ushahidi kwa wanyama kuhalalisha ufirauni wao,Amen
Usiwalaani bali Uwaombee ili Mungu ayaondoe Mapepo ya Ushoga yaliyo wavaa ndani yao.
Mara zote sisi Binadamu tunakuwa tunamilikiwa na Roho mbili.
Ndio maana utakuta watu wanamsema mtu fulani kwamba ana Roho Nzuri au Mbaya.
Utasikia " Kunta ana Roho mbaya sana, au nzuri kweli"

Hizi Roho nzuri au mbaya zikisha kaa ndani yetu zinaleta Matokeo halisi katika matendo yetu ya kila siku.
Mwenye Roho nzuri anakuwa, mfano, mtu mwenye upendo, bidii ya kazi, mpatanishi, msaidizi, huruma,
heshima nk.
Mtu mwenye Roho mbaya anakuwa, dhaifu, mgonvi, mchoyo, mwizi, jambazi, basha, msenge nk.
Mtu anaye mwingilia mwanamume sehemu ya kutokea Mavi, ni mtu katili sana na hana chembe ya huruma kwa binadamu mwenzake kwani, licha ya kujihatarishia magonjwa yeye binafsi lakini pia anamzalilisha mwanaume mwenzake,
mtu unajiheshimu na kuheshimu watu, hawezi kumwingilia mwanamume kama anavyofanya kwa mwanamke.
Msenge anaye kubali kuingiliwa sehemu ya kutolea mavi na mwanamume mwenziye ni mtu DHAIFU, hajiamini, na inawezekana kabisa ana upungufu flani wa akili.
Binadamu yeyote aliyekamilika na kuwa timamu, ni lazima awe mwenye uwezo wa kutimiza majukumu yake, likiwepo jukumu la kuweza kumwingilia mwanamke kwa lengo la kuzaa naye
watoto.
Ukimwona mwanamume anakwepa hilo jukumu na kuamua kuangukiwa na mume mwenzake ujue mtu huyo ana madhaifu fulani na anahitaji matibabu ya Kimwili, Kisaikolojia au Kiroho
Ushoga unaanzia katika madhaifu ya Kiroho. Kuna wanaume ambao hawasimamishi uume na hawana kabisa nguvu za kiume na sio Wasenge.
Yaani pamoja na kutoweza kufanya tendo la ndoa lakini wapo imara kimwili kisaikolojia na kiroho.
Ushoga asili yake ni kuingiliwa na Mapepo ya Ushoga.
Ambayo yanakupa hamu ya kuwa Shoga au Msenge kama yanavyoweza kumfanya mtu awe mgonjwa, au mwizi au mlevi chapombe, kwa nia ya kimharibu huyo mtu au kimdahililisha au kumpoteza katika majukumu yake ya msingi ya kufanya tendo la kuzaliana.
Wengi hawalitazami tatizo hili katika mustakabari wa Kiroho kwani wanasema kwa uelewa wao wanakosa ushahidi wa Kisayansi.
Lakini wale waliopata bahati ya kuielewa elimu ya Kiroho watakubaliana na mimi kuwa Roho chafu za Mapepo ndio chanzo kikubwa cha Ushoga wa watu.
Ni vigumu sana kwa Shoga kuacha tabia hiyo kirahisi hadi watu waliao simama katika imani ya Mungu wamwombee ili kuiondoa hiyo Roho Chafu.
La sivyo hata ufanye nini tabia hiyo hawezi kuiacha.

Ushoga huja pale ambapo Roho Chafu imeitawala nafsi ya mtu na kumpoteza katika majukumu yake kama mwanamme kamili.

Tupige vita vitendo vya Ushoga kwa nguvu zetu zote.
 
You'r very right.
 
Sasa kwasababu ulichangamkia fursa ukampa raha ya ajab ina maana we ni shoga? Teh teh...πŸ˜€ Acha nisepe.
Hamna sikumfanya
Actually ckuvutiwa nae
Mara ya kwanza namuona ilikuwa namuona kwa nyuma ndo mana nikamfata
Baadae nikahairisha maana ni kama mvurana mwenzang2 ukimuangalia
But yuko very romantic interms of personality
Ni mtu wa kuchekacheka sana yaani kanakwamba ananyegenyege mda wote
 
Dah, Jombaa umeamua kusimama kizimbani kisha ukajitetea kabisa! Sasa dalili zinaonekana wazi. Hiyo kitu uliiraruaaa. Natania tu. πŸ™‚
 
Dah, Jombaa umeamua kusimama kizimbani kisha ukajitetea kabisa! Sasa dalili zinaonekana wazi. Hiyo kitu uliiraruaaa. Natania tu. πŸ™‚
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hamna mkuu
Mda uo nilikuwa nao wengi2 coz nilikuwa katika msako
Kumuweka pemben haikuwa insue
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…