Gay lions spotted in Kenya's Maasai Mara

Gay lions spotted in Kenya's Maasai Mara

Huu uzi una lengo mahususi kwa mashoga, hata aliyepost huu uzi na yeye.............
 
Mshaambiwa ni simba wa Kenya povu la nn Sasa simba wetu hawafanyagi ungese
 
Uhakika wa hii hizi picha ni nini? Labda walikua wanacheza.

Wanatanzania ni wepesi sana kuamini ujinga na umbea kuliko watu wowote Duniani.

Unaweza kutunga tu stori haina kichwa wala miguu ukashangaa ukaikuta imesambazwa nchi zima na watu wakaiamini.

Unaweza kuchukua picha ya tukio lililotokea huko Nigeria na ukaihusisha na tukia la hapa Tanzania watu bila kutaka uhakika wataamini tu.

Watanzania ni watu wa ajabu sana.
Ni kweli kabisa Watanzania Hayuko sawa
 
Ujanja unaotumika ni kuwa, Simba dume mojawapo hupakwa harufu ya heating ya simba jike (human made) ambayo humchanganya dume moja au yote na kuamua kupandana au kupanda.
Mbaya zaidi wanasema Simba hao wameonekana Nchi ya Kenya,ambayo ipo Africa.Kwanini wasingesema wameonekana America utadhani mbuga za wanyama zipo Africa pekee wakati hata huko kwao hizo mbuga zenye Simba zipo!!Ujinga tu umewajaa.
 
Hao sio gay lions
Ni a female lion with mane(nywele shingoni)
Inatokeaga mara chache sana
Sasa kama unadhani wanyama wanafanya ushenzi, hawako hivyo
Ni kama mwanamke mwenye ndevu

Ukiangalia hizo picha chini ni simba wa kike ila ana minywele shingoni kama vile ni simba dume
e7a62c5dd975be880d0c929b96bcd09d.jpg

beac4f27f3b3b9a04f25d3c6c77ee363.jpg
84d594a16487af22c46e148f6786efea.jpg
53f330ddea4669226fb444f04f12400e.jpg
Uko sahihi mkuu.
 
Waafrika ni watu dhaifu sana wa kufikiri na kuchanganua.

Eti hizi picha ni propaganda za wazungu ili kuhamasisha ushoga??

Ili iweje?

Last time mlikuwa mmeshupaza shingo kwamba hakuna wanyama mashoga, and now you have been proved to the contrary, bado mnababaika.

😀

Mnatakaje?

Hakuna anayehamasisha wala kulazimisha mtu awe shoga.

Hivi inawezekanaje mtu akahamasishwa kuwa shoga?

Haya mawazo na fikra za kimbumbumbu sijui huwa mnafundishwa na nani!!

Eti mtu kahamasishwa kuwa shoga!!! how is that possible?
 
Waafrika ni watu dhaifu sana wa kufikiri na kuchanganua.

Eti hizi picha ni propaganda za wazungu ili kuhamasisha ushoga??

Ili iweje?

Last time mlikuwa mmeshupaza shingo kwamba hakuna wanyama mashoga, and now you have been proved to the contrary, bado mnababaika.

😀

Mnatakaje?

Hakuna anayehamasisha wala kulazimisha mtu awe shoga.

Hivi inawezekanaje mtu akahamasishwa kuwa shoga?

Haya mawazo na fikra za kimbumbumbu sijui huwa mnafundishwa na nani!!

Eti mtu kahamasishwa kuwa shoga!!! how is that possible?
hakuna wanyama mashoga hao ni dume na jike sema hilo jike lina nywele kama dume tu
 
Umewahi kuwa mfugaji?! Mimi ni mfugaji. Mbuzi na ng'ombe akikojolewa tu kwa tukio hilo hufuatiliwa na madume mengine kwa kufuata harufu. Na salama yake ni kumhamisha (kumtenga) pia kumpaka diesel au mafuta taa kuua harufu ya mkojo, ili asiendelee kuingiliwa kwa kuwa humlemaza kabisa.
Mbuzi na ng'ombe wana madume wana tabia za kupandiana jla natoka kuchunga kwangu hiyo mifugo sijawahi shuhudia wakiingizana dushe kwenye TIGO. Naamini nature haikubaliani na kitendo hicho inahitaji akili ya ziada kama ya binadamu kufanikisha ndiyo maana anatengeneza mpaka vilainishi
 
Mbuzi na ng'ombe wana madume wana tabia za kupandiana jla natoka kuchunga kwangu hiyo mifugo sijawahi shuhudia wakiingizana dushe kwenye TIGO. Naamini nature haikubaliani na kitendo hicho inahitaji akili ya ziada kama ya binadamu kufanikisha ndiyo maana anatengeneza mpaka vilainishi
Mkuu wanaingiliana na wanaingiza. Na anaeingiliwa huaribiwa kabisa. Ng'ombe au mbuzi akishakojolewa madume mengine hayampi nafasi ni kumkimbiza tu

Cairo's
 
Haha, MK254 anatusema sana watanzania hatujuwi kuchangamkia fusra za kutangaza utali. Hapo nimemkumbusha wachangamkie na hii ya masimba shoga.
Wakichangamkia hii wakumbuka na kuitangaza mombasa kwa mambo hayo hayo.
 
Hao sio gay lions
Ni a female lion with mane(nywele shingoni)
Inatokeaga mara chache sana
Sasa kama unadhani wanyama wanafanya ushenzi, hawako hivyo
Ni kama mwanamke mwenye ndevu

Ukiangalia hizo picha chini ni simba wa kike ila ana minywele shingoni kama vile ni simba dume
e7a62c5dd975be880d0c929b96bcd09d.jpg

beac4f27f3b3b9a04f25d3c6c77ee363.jpg
84d594a16487af22c46e148f6786efea.jpg
53f330ddea4669226fb444f04f12400e.jpg
Ufafanuzi mzuri, wanatafuta wafuasi kwa kutunga uongo
 
Hawa jamaa wa Kenya wamejitahidi kukuza hii ishu kwa sababu tu za kitalii ila sio kwamba ni tukio la kwanza kuonekana...imeshaonekana Kruger SA, Kwenye Zoo moja huko nje.

Wanyama hawana hiyo kitu inaitwa Gay, na hakuna penetration hapo, wanatambuana kuwa wao wote ni midume...ni tabia (twaweza kusema inayovuka mipaka) kwa Wanyama wa kiume kufanya tabia ya ku hump wenzao.

Tabia hizi pia ni common sana kwa Mbwa, hupenda sana ku hump binadam pale mnapokuwa mmzoeana sana, haswa wanaoishi na Mbwa ndani ya nyumba...au hata huwatokea viumbe wa jamii tofauti kabisa mfano Sungura kum hump Kuku, Jogoo ku hump Bata n.k.
 
Acheni upotoshaji huyo simba ni jike mwenye manyoya (mane)

Kwani hamjawahi kuona wanawake wenye ndevu?
 
Acheni upotoshaji huyo simba ni jike mwenye manyoya (mane)

Kwani hamjawahi kuona wanawake wenye ndevu?
Mimi binafsi nimeona wanawake wengi tu wenye ndevu, nyeupe, nyeusi lakini si kwenye nyuso zao. Teremka kidogo hadi pale pale. Hapo ndo utajua hapa duniani kuna Osama wengi sana ambao chimbuko lao si Saudia.
 
Back
Top Bottom