Gay lions spotted in Kenya's Maasai Mara

Gay lions spotted in Kenya's Maasai Mara

Kama ni kweli basi wahindi wako sahihi,
ukifa unaweza kuzaliwa upya ukiwa Ngedere,na huyo ngedere akifa anazaliwa upya akiwa samaki Sato,ambae nae akifa anazaliwa mtoto wa kichina ambae nae akifa roho yake inazaliwa upya ndani ya fisi,
kabla fisi hajafa na kuzaliwa tena kama mjaluo,

it is just a game.

Hakuna mwisho wa dunia
 
Hakuna kitu kama icho.wanyama weng wanafanya iyo michezo ya kupandiana lakin hakuna anachoingiza kwa mwenzake.
 
Hicho ni kitengo cha propaganda cha wazungu kuhamasisha ushoga Dunia.Hii mijitu huwa inaniudhi sana kwa kweli yaani kila siku iko busy kuhamasisha watu waone ushoga ni jambo la kawaida.Kama amri yangu yaani hadi mihela yao ya misaada kama nchi tungeikataa kabisa.
Ujanja unaotumika ni kuwa, Simba dume mojawapo hupakwa harufu ya heating ya simba jike (human made) ambayo humchanganya dume moja au yote na kuamua kupandana au kupanda.
 
Hii kitu kwa ng'ombe hutokea mara nyingi. Lakini kwa wanyama pori sina uelewa Cairo's
Kawaida kwa wanyama kufanya hivyo, hii si ajabu hata kidogo, tena huna haja ya kusomea wanyama kujuwa hili, vipindi vya Animal Planet na Discovery Channel zinaelimisha haya mambo kukicha...
 
Hapo mambo mawili yanaweza husika.

Mosi, inawezekana huyo simba mwenye umbo dogo ni jike lakini ana manyoya shingoni. Majike ya simba ya namna hii wapo.

Pili, hiyo ni simba mmoja kuonyesha "dominance" kwa mwenzake.

Hii inatokea hata kwa mbuzi, ngombe na wanyama wengine.

Dominance maana yake ni kwamba simba mmoja dume anajaribu kuonyesha nguvu/mamlaka yake kwa mwingine.

Ni hali ya kawaida tu kwa wanyama.

Wanyama wanafanya "sex" kwaajili ya kuzaliana na si vinginevyo.

Dolphins pekee ndiyo wanafanya kwa starehe kama binadamu.

Simba hawezi kuwa shonga/homosexual

Hawajui hayo mambo
Nipe habari za Dolphins Mwelewa
 
Mashoga na wafiraji wamefuraaaaahi, wanataka kusingizia ni ASILI. Si kweli. Hutokea wakati mwingine kutokana na mapungufu ya kimaumbile simba jike akawa na manyoya ya shingoni yale (mane) kama dume tu. Hata kwa binadamu hutokea, mfano huyu dada kwenye video hii.

 
Tena huyo wa chini katoa kiulimi kabisa anasikilizia utamu
Hivi kumbe ni kweli kwamba huwa ni tamu? Mbona mimi naona ni kitendo kisicho wezekana na cha udharirishaji sana! Kumbe wengine mnaina ni tamu?
 
Ng'ombe hufanya kwa ajili ya dominance attitude
Umewahi kuwa mfugaji?! Mimi ni mfugaji. Mbuzi na ng'ombe akikojolewa tu kwa tukio hilo hufuatiliwa na madume mengine kwa kufuata harufu. Na salama yake ni kumhamisha (kumtenga) pia kumpaka diesel au mafuta taa kuua harufu ya mkojo, ili asiendelee kuingiliwa kwa kuwa humlemaza kabisa.
 
Uhakika wa hii hizi picha ni nini? Labda walikua wanacheza.

Wanatanzania ni wepesi sana kuamini ujinga na umbea kuliko watu wowote Duniani.

Unaweza kutunga tu stori haina kichwa wala miguu ukashangaa ukaikuta imesambazwa nchi zima na watu wakaiamini.

Unaweza kuchukua picha ya tukio lililotokea huko Nigeria na ukaihusisha na tukia la hapa Tanzania watu bila kutaka uhakika wataamini tu.

Watanzania ni watu wa ajabu sana.
Sure uko sahihi kbs
 
Impossible tukio kama hili linaweza kuwa staged kwa nia ya kupromote ushoga westeners will do anything to push the agenda
 
Uhakika wa hii hizi picha ni nini? Labda walikua wanacheza.

Wanatanzania ni wepesi sana kuamini ujinga na umbea kuliko watu wowote Duniani.

Unaweza kutunga tu stori haina kichwa wala miguu ukashangaa ukaikuta imesambazwa nchi zima na watu wakaiamini.

Unaweza kuchukua picha ya tukio lililotokea huko Nigeria na ukaihusisha na tukia la hapa Tanzania watu bila kutaka uhakika wataamini tu.

Watanzania ni watu wa ajabu sana.
Ulishawah kuona masimba dume wakicheza hivyo!?nenda kaangalie videos za wanyama wengi madume wanapotaka kufanya hilo tendo anakaa vipi ni wazi kabisa huyo simba wa juu anatafuta tundu
 
Huyo simba anayebanduliwa si dume kama wanavyotaka tuamini, umbo lake tu linatosha kuamini kuwa si dume. Huyo ni simba jike mwenye manyoya kama mdau mmoja hapa jukwaani aliyetolea mfano mwanamke kuwa na ndevu.
From Simba KAPAKATWA to Simba KASUKUMIZIWA/KAPUMULIWA
 
Wa madume wa ng'ombe wa maziwa huwa wanapandwa kwanza na madume menzao. So yanapandanishwa ili yakatoe mbegu bora ili upate maziwa safi
You are misleading google "teaser bull in artificial insemination" and see how it is done
 
Back
Top Bottom