mtoto wa mjin
JF-Expert Member
- Oct 15, 2016
- 589
- 566
Huyo wa chin atakuwa yanga..ila kavaa kinyago cha simba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ujanja unaotumika ni kuwa, Simba dume mojawapo hupakwa harufu ya heating ya simba jike (human made) ambayo humchanganya dume moja au yote na kuamua kupandana au kupanda.Hicho ni kitengo cha propaganda cha wazungu kuhamasisha ushoga Dunia.Hii mijitu huwa inaniudhi sana kwa kweli yaani kila siku iko busy kuhamasisha watu waone ushoga ni jambo la kawaida.Kama amri yangu yaani hadi mihela yao ya misaada kama nchi tungeikataa kabisa.
Ng'ombe hufanya kwa ajili ya dominance attitudeHii kitu kwa ng'ombe hutokea mara nyingi. Lakini kwa wanyama pori sina uelewa
Cairo's
Kawaida kwa wanyama kufanya hivyo, hii si ajabu hata kidogo, tena huna haja ya kusomea wanyama kujuwa hili, vipindi vya Animal Planet na Discovery Channel zinaelimisha haya mambo kukicha...Hii kitu kwa ng'ombe hutokea mara nyingi. Lakini kwa wanyama pori sina uelewa Cairo's
Nipe habari za Dolphins MwelewaHapo mambo mawili yanaweza husika.
Mosi, inawezekana huyo simba mwenye umbo dogo ni jike lakini ana manyoya shingoni. Majike ya simba ya namna hii wapo.
Pili, hiyo ni simba mmoja kuonyesha "dominance" kwa mwenzake.
Hii inatokea hata kwa mbuzi, ngombe na wanyama wengine.
Dominance maana yake ni kwamba simba mmoja dume anajaribu kuonyesha nguvu/mamlaka yake kwa mwingine.
Ni hali ya kawaida tu kwa wanyama.
Wanyama wanafanya "sex" kwaajili ya kuzaliana na si vinginevyo.
Dolphins pekee ndiyo wanafanya kwa starehe kama binadamu.
Simba hawezi kuwa shonga/homosexual
Hawajui hayo mambo
Hivi kumbe ni kweli kwamba huwa ni tamu? Mbona mimi naona ni kitendo kisicho wezekana na cha udharirishaji sana! Kumbe wengine mnaina ni tamu?Tena huyo wa chini katoa kiulimi kabisa anasikilizia utamu
Umewahi kuwa mfugaji?! Mimi ni mfugaji. Mbuzi na ng'ombe akikojolewa tu kwa tukio hilo hufuatiliwa na madume mengine kwa kufuata harufu. Na salama yake ni kumhamisha (kumtenga) pia kumpaka diesel au mafuta taa kuua harufu ya mkojo, ili asiendelee kuingiliwa kwa kuwa humlemaza kabisa.Ng'ombe hufanya kwa ajili ya dominance attitude
Sure uko sahihi kbsUhakika wa hii hizi picha ni nini? Labda walikua wanacheza.
Wanatanzania ni wepesi sana kuamini ujinga na umbea kuliko watu wowote Duniani.
Unaweza kutunga tu stori haina kichwa wala miguu ukashangaa ukaikuta imesambazwa nchi zima na watu wakaiamini.
Unaweza kuchukua picha ya tukio lililotokea huko Nigeria na ukaihusisha na tukia la hapa Tanzania watu bila kutaka uhakika wataamini tu.
Watanzania ni watu wa ajabu sana.
Lazima atakuwa wa Msimbazi tu huyu[emoji125] [emoji125]Lisimba shoga!! Lahaula!
Kabisa kabisa mkuu! Lisimba la Msimbazi hilo!!Lazima atakuwa wa Msimbazi tu huyu[emoji125] [emoji125]
Wapo madume wa ng'ombe wa maziwa huwa wanapandwa kwanza na madume menzao. So yanapandanishwa ili yakatoe mbegu bora ili upate maziwa safiAcha uongo mkuu wanyama Hawafanyagi ushoga.....
Ulishawah kuona masimba dume wakicheza hivyo!?nenda kaangalie videos za wanyama wengi madume wanapotaka kufanya hilo tendo anakaa vipi ni wazi kabisa huyo simba wa juu anatafuta tunduUhakika wa hii hizi picha ni nini? Labda walikua wanacheza.
Wanatanzania ni wepesi sana kuamini ujinga na umbea kuliko watu wowote Duniani.
Unaweza kutunga tu stori haina kichwa wala miguu ukashangaa ukaikuta imesambazwa nchi zima na watu wakaiamini.
Unaweza kuchukua picha ya tukio lililotokea huko Nigeria na ukaihusisha na tukia la hapa Tanzania watu bila kutaka uhakika wataamini tu.
Watanzania ni watu wa ajabu sana.
From Simba KAPAKATWA to Simba KASUKUMIZIWA/KAPUMULIWAHuyo simba anayebanduliwa si dume kama wanavyotaka tuamini, umbo lake tu linatosha kuamini kuwa si dume. Huyo ni simba jike mwenye manyoya kama mdau mmoja hapa jukwaani aliyetolea mfano mwanamke kuwa na ndevu.
You are misleading google "teaser bull in artificial insemination" and see how it is doneWa madume wa ng'ombe wa maziwa huwa wanapandwa kwanza na madume menzao. So yanapandanishwa ili yakatoe mbegu bora ili upate maziwa safi