Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 16,096
- 49,651
Hicho ni kitengo cha propaganda cha wazungu kuhamasisha ushoga Dunia.Hii mijitu huwa inaniudhi sana kwa kweli yaani kila siku iko busy kuhamasisha watu waone ushoga ni jambo la kawaida.Kama amri yangu yaani hadi mihela yao ya misaada kama nchi tungeikataa kabisa.