Gay lions spotted in Kenya's Maasai Mara

Gay lions spotted in Kenya's Maasai Mara

Iam gay and proud of it, sijui nyie mnateta nini na Haya mambo yalianza zamani, all of us need to embrace the gay pride!
Kwahiyo mkuu unatiwa kama demu?? Anus yako ndiyo vagina??? Mwanaume mwenzako anakupumukia nyuma???yaani anakuzibua mavii?? Kwahiyo unatumia picha ya simba kuhalalisha usenge wako???Any way biashara matangazo, nitafute na mimi nikuzibue nyuma ,ntahakikisha nachana anus yako mara NNE.
 
Hapana ila kunabatilisha kabisa ile dhana ya

Kuna vitu vingi asivyovipenda Muumba. We ni nani uamue kwamba dhambi flani ni ndogo na nyingine ni kubwa? Utakuta

Nikuwekee list ya vitu asivyovipenda Muumba alafu uniambie huna dhambi ata moja? Eti lesser human beings. Sijawai ona upumbavu kama huo.

Mimi si mkamilifu, lkn that is not an excuse to commit bad deeds.
tofauti na dhambi nyingine, ushoga ni dhambi ya kudhalilisha mwili na utakaso wa mtu kwa kuwa inafanyika juu ya mwili wa mtu.
kingine ni kuwa wakosefu hawa wanatumia nguvu kubwa sana kuhalalisha dhambi hii. sijawahi ona wezi au wazinzi au watukanaji au wachawi na waovu wengine wote wakipigania haki zao au utambulisho wao. lkn hawa wengine wanatusumbua kila kukicha. eti wanataka tuwaunge mkono kwenye ushenzi wao. nimesema hawa wataambulia matusi wakija.
shenzi zao.
 
Hehe, mna maneno humu, jueni CLUB LOS ANGELES (initially called Little Temple) along Tom Mboya street Nairobi, opposite Moi Avenue, weekend Kama Leo,nendeni kule, pale ndipo utapata uwazi kuwa ushoga umekita mizizi kwenye jiji la Nairobi.
 
Ila miye siye shoga mlodhania, nalitaka kujua hisia zenu kuhusu jambo hili, aidha kazi Zangu ya kuhusu haki za kibinadamu huleta mambo Kama haya ambayo twayajadili.
 
Huu upuuzi wametoka nao magharibi huko, sio asili ya huku kabisa.
 
Ila miye siye shoga mlodhania, nalitaka kujua hisia zenu kuhusu jambo hili, aidha kazi Zangu ya kuhusu haki za kibinadamu huleta mambo Kama haya ambayo twayajadili.
67336ade775b7467300d825df3d6e911.jpg
 
wp_ss_20171103_0021.png
wp_ss_20171103_0018.png

Picha zilizosambaa mtandaoni nchini Kenya zilizopigwa kutoka mbuga ya wanyama ya Masai Mara, zikionesha madume mawili ya Simba yakishiriki mapenzi zimezua gumzo mtandaoni nchini Kenya.



Simba hao walionaswa na mpiga picha maarufu duniani, Paul Goldstein zimeleta gumzo nchini Kenya wengi wakishangaa kitendo hicho wakiamini kuwa haijawahi kutokea kwa wanyama.

Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo mkuu wa Bodi ya Uanishaji wa Filamu nchini humo, Dr Ezekiel Mutua amesema ameziona picha hizo na ni kweli tukio hilo limetokea kwenye Mbuga ya Masai Mara huku akikiri kuwa endapo tukio hilo limefanyika kwa Simba hao basi dunia itakuwa hatarini kupoteza baadhi ya viumbe kwa siku za usoni.
 
Uhakika wa hii hizi picha ni nini? Labda walikua wanacheza.

Wanatanzania ni wepesi sana kuamini ujinga na umbea kuliko watu wowote Duniani.

Unaweza kutunga tu stori haina kichwa wala miguu ukashangaa ukaikuta imesambazwa nchi zima na watu wakaiamini.

Unaweza kuchukua picha ya tukio lililotokea huko Nigeria na ukaihusisha na tukia la hapa Tanzania watu bila kutaka uhakika wataamini tu.

Watanzania ni watu wa ajabu sana.
 
Back
Top Bottom