MTZ 255Dar
JF-Expert Member
- Sep 25, 2018
- 1,149
- 3,963
Jeshi la Israel limetoa salamu za Pole baada ya kombora lake kupiga kituo cha mpakani cha RAFAH upande wa Misri. Mara nyingi Israel hushambulia kituo hicho lakini upande wa GAZA. Kituo hicho ndio njia pekee ya kutoka na kuingia GAZA ambacho hakidhibitiwi na Israel.
Hata hivyo, Misri bado haijatoa tamko lolote mpaka sasa. Hayo yanajiri baada ya msafara wa pili wa Malori 18 ya msaada wa kibinadamu yakiingia Gaza kutokea upande wa Misri. Hata hivyo Israel imesema Malori hayo yaliingia bila Israel kujulishwa na hivyo kukiuka Usalama wake. Malori ya Msaada 20 ya kwanza yaliingia Gaza baada ya Marekani kuishawishi Israel ikubali msaada huo kuingia GAZA.
View: https://youtu.be/ZB2SqgnkbP0?si=DkmQokKOD6KUwsZ3
Hata hivyo, Misri bado haijatoa tamko lolote mpaka sasa. Hayo yanajiri baada ya msafara wa pili wa Malori 18 ya msaada wa kibinadamu yakiingia Gaza kutokea upande wa Misri. Hata hivyo Israel imesema Malori hayo yaliingia bila Israel kujulishwa na hivyo kukiuka Usalama wake. Malori ya Msaada 20 ya kwanza yaliingia Gaza baada ya Marekani kuishawishi Israel ikubali msaada huo kuingia GAZA.
View: https://youtu.be/ZB2SqgnkbP0?si=DkmQokKOD6KUwsZ3