Gazeti gani hata upewe bure huwezi kulisoma?

Gazeti gani hata upewe bure huwezi kulisoma?

Nakumbuka wakati nasoma chuo kikuu pale Mlimani miaka hiyo, haya magazeti ndiyo yalikuwa hayanunuliki kabisa. Hivi sijui siku hizi kama bado yapo. Maana yatakuwa yanazalisha hasara tu.
Huwa wanazilazimisha baadhi ya ofisi zinunue kwa lazima
 
Back
Top Bottom