Kinyungu JF-Expert Member Joined Apr 6, 2008 Posts 19,484 Reaction score 38,416 Aug 20, 2023 #21 Tate Mkuu said: Nakumbuka wakati nasoma chuo kikuu pale Mlimani miaka hiyo, haya magazeti ndiyo yalikuwa hayanunuliki kabisa. Hivi sijui siku hizi kama bado yapo. Maana yatakuwa yanazalisha hasara tu. Click to expand... Huwa wanazilazimisha baadhi ya ofisi zinunue kwa lazima
Tate Mkuu said: Nakumbuka wakati nasoma chuo kikuu pale Mlimani miaka hiyo, haya magazeti ndiyo yalikuwa hayanunuliki kabisa. Hivi sijui siku hizi kama bado yapo. Maana yatakuwa yanazalisha hasara tu. Click to expand... Huwa wanazilazimisha baadhi ya ofisi zinunue kwa lazima
R roadmaster JF-Expert Member Joined Mar 21, 2023 Posts 1,609 Reaction score 2,751 Aug 20, 2023 #22 Gazeti la uhuru,machinga hata unipe na elfu kumi siwezi lisoma