Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Walahi sio bure! Kha!!! Nini shida??? Hajionei hata huruma wajameni!!!Huyu mwanamke anaweza kuwa fyatu nadhani.....
Huyu mwanamke anaweza kuwa fyatu nadhani.....
Dhambi, anafanya mambo ki sayansision tatizo, lkn angekua amepata buz tuu na anaishi nalo kwel kungekua na shida
Mama wa watoto watatu, kila mtoto na baba ake.....Ninamwona kwa mitazamo ifuatayo. Wanaomfahamu wanaweza kusema.
1. Akili yake iko chini ya kiwango cha kawaida.
2. Ni limbukeni wa maisha na uswahili wa kutupwa.
3. Mshirikina sana.
4. Shule hakuna.
5. Kwake maisha ni ilimradi leo.
6. Mpenda show na kujilinganisha na watu kwa ushindani wa kijinga.
7. Hana maadili.
Hakuna mtu mwenye tofauiti ya hapo anaweza kuwa na life style ya namna ile.
Hata watoto wake hawaonei hurumaWalahi sio bure! Kha!!! Nini shida??? Hajionei hata huruma wajameni!!!