Gazeti la Amani: Wastara atolewa mahari

Gazeti la Amani: Wastara atolewa mahari

[quote uid=353066 name="Jemedal_bin_chichi" post=15957626]sion tatizo, lkn angekua amepata buz tuu na anaishi nalo kwel kungekua na shida[/QUOTE]<br />Dhambi, anafanya mambo ki sayansi

kutolewa mhal ni dhambi.... et kisayansi hahahhaah
 
[quote uid=353066 name="Jemedal_bin_chichi" post=15957626]sion tatizo, lkn angekua amepata buz tuu na anaishi nalo kwel kungekua na shida
<br />Dhambi, anafanya mambo ki sayansi

kutolewa mhal ni dhambi.... et kisayansi hahahhaah[/QUOTE]

We hujaelewa, yani hawezi kuishi na mwanaume bila ndoa, ila anafanya uhuni wa kisayansi, lazima afunge ndoa kwanza
 
Looh nyingine tena hiyo tuiiteje bahati au mkosi?
 
View attachment 341257

Baada ya ndoa yake na Mwenyekiti wa UVCCM na Mbunge wa Bunge la JMT ndugu Sadifa kuvunjika,sasa Wastara apata bwana mpya na amekwisha tolewa mahali

Kweli huyu dada ana nyota ya kuolewa,ikizima hii inawaka ile


wazazi wake wanavuta mkwanja tu sasa hii ishakuwa bidhaaa tamwa mkuje huku
 
Kama bahati ndio hiyo,bora niikose.
Haileti picha nzuri kuolewa na kuachika kila wakati.
 
Hao wazazi wanaochukua mahari ya wastara wapimwe akili, kwa maana haiwezekani wanapokea tu mahari kwa kila anaetaka kumuoa huyo mama, inawezekana ni kamchezo kakibiashara kwa kila anaetaka kumla denda wastara lazima na wao wapate kamisheni.
Yule babu ndiyo mpokezi wa hizo mahari.
 
Ninamwona kwa mitazamo ifuatayo. Wanaomfahamu wanaweza kusema.

1. Akili yake iko chini ya kiwango cha kawaida.

2. Ni limbukeni wa maisha na uswahili wa kutupwa.

3. Mshirikina sana.

4. Shule hakuna.

5. Kwake maisha ni ilimradi leo.

6. Mpenda show na kujilinganisha na watu kwa ushindani wa kijinga.

7. Hana maadili.

Hakuna mtu mwenye tofauiti ya hapo anaweza kuwa na life style ya namna ile.
Usemayo yote anayo.....! Nakuhakikishia
 
Hili gazeti lililoandika ni ngumu kuamini
 
Ninamwona kwa mitazamo ifuatayo. Wanaomfahamu wanaweza kusema.

1. Akili yake iko chini ya kiwango cha kawaida.

2. Ni limbukeni wa maisha na uswahili wa kutupwa.

3. Mshirikina sana.

4. Shule hakuna.

5. Kwake maisha ni ilimradi leo.

6. Mpenda show na kujilinganisha na watu kwa ushindani wa kijinga.

7. Hana maadili.

Hakuna mtu mwenye tofauiti ya hapo anaweza kuwa na life style ya namna ile.
8. Maisha yanamchanganya (anatumia ndoa kama kitega uchumi)
 
Back
Top Bottom