Jemedal_bin_chichi
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 542
- 585
<br />Dhambi, anafanya mambo ki sayansi[quote uid=353066 name="Jemedal_bin_chichi" post=15957626]sion tatizo, lkn angekua amepata buz tuu na anaishi nalo kwel kungekua na shida
wanaume wa dar es salaaam ati!Watu wanaomchumbia wastara wakapimwe akili
View attachment 341257
Baada ya ndoa yake na Mwenyekiti wa UVCCM na Mbunge wa Bunge la JMT ndugu Sadifa kuvunjika,sasa Wastara apata bwana mpya na amekwisha tolewa mahali
Kweli huyu dada ana nyota ya kuolewa,ikizima hii inawaka ile
Yule babu ndiyo mpokezi wa hizo mahari.Hao wazazi wanaochukua mahari ya wastara wapimwe akili, kwa maana haiwezekani wanapokea tu mahari kwa kila anaetaka kumuoa huyo mama, inawezekana ni kamchezo kakibiashara kwa kila anaetaka kumla denda wastara lazima na wao wapate kamisheni.
Usemayo yote anayo.....! NakuhakikishiaNinamwona kwa mitazamo ifuatayo. Wanaomfahamu wanaweza kusema.
1. Akili yake iko chini ya kiwango cha kawaida.
2. Ni limbukeni wa maisha na uswahili wa kutupwa.
3. Mshirikina sana.
4. Shule hakuna.
5. Kwake maisha ni ilimradi leo.
6. Mpenda show na kujilinganisha na watu kwa ushindani wa kijinga.
7. Hana maadili.
Hakuna mtu mwenye tofauiti ya hapo anaweza kuwa na life style ya namna ile.
View attachment 341257
Baada ya ndoa yake na Mwenyekiti wa UVCCM na Mbunge wa Bunge la JMT ndugu Sadifa kuvunjika,sasa Wastara apata bwana mpya na amekwisha tolewa mahali
Kweli huyu dada ana nyota ya kuolewa,ikizima hii inawaka ile
8. Maisha yanamchanganya (anatumia ndoa kama kitega uchumi)Ninamwona kwa mitazamo ifuatayo. Wanaomfahamu wanaweza kusema.
1. Akili yake iko chini ya kiwango cha kawaida.
2. Ni limbukeni wa maisha na uswahili wa kutupwa.
3. Mshirikina sana.
4. Shule hakuna.
5. Kwake maisha ni ilimradi leo.
6. Mpenda show na kujilinganisha na watu kwa ushindani wa kijinga.
7. Hana maadili.
Hakuna mtu mwenye tofauiti ya hapo anaweza kuwa na life style ya namna ile.