Wivu tu unawasumbua[emoji2] [emoji2]Walahi sio bure! Kha!!! Nini shida??? Hajionei hata huruma wajameni!!!
Kata mti panda mitiHatareeee kwelikweli hiyo inaitwa kata mti panda mti . Kuolewa raha jamani
UVCCM haoWatu wanaomchumbia wastara wakapimwe akili
wanawake wanapenda sana kuolewa aisee ngoja akimalizana na huyo na mimi nimtolee mahari
Siyo mamba mkuu?Yaani huyu ni kiboko...
Masikhara hayoHuyu mwanamke anaweza kuwa fyatu nadhani.....
Umejichimbia mmmh uliyempata huyo kibokoMasikhara hayo