Kujichimbia wapi.Umejichimbia mmmh uliyempata huyo kiboko
HahahaaaaaHahaaa...Kuna Rais mmoja mkongwe barani Afrika ana misemo tata sana! Aliwahi kunukuliwa akisema...''When beautiful woman fail to use her brain then her private parts suffers most''...
Haki ya nani itakuwa kuna kitu anaeneza sio bure akili kumkichwa am not sure kama zina tosha vizurimhhh kabumbuluka saa hz au anaeneza nn
Inawezekana ndo Kiki yake hiyo.Wastara hanaga story nyingine zaidi ya kuolewa?
Nini shida