wana JF tusipoteze muda na maada za kipuuzi. Mtoa maada anachuki na hao watu.njia pekee ni kumfuata mwenye hiyo kampuni na amweleze kuwa ameajili watu wasiosoma na wasio na uzoefu. labda mtoa maada na aseme yeye kasoma madarasa mangapi. na si kuleta habari zisizo ma maslahi hapa!!. wasiwasi wangu ni kuwa wachangiaji makini watakimbia kweye JF kwani JF siyo uwanja wa umbea na unafiki. wewe mtoa maada unaweza kusema umesoma madarasa mangapi!??? na katika kusoma kwako unajua nini kuwazidi hao unao waita wachovu!???
mkuuu nakuuunga mkono mia kwa mia sasa hivi kabakia kunihariri utafikiri yeye ni editor badala ya kunijibu hoja jamaa hafai kukaa humu analeta mada za majungu huyu vipi ohoo mtoto wa jakaya soa what!! utafikiri katumwa na mafisadi lete hoja za msingi group zima la kina ben nalijua hana hata data moja na ndio maana nilijaribu kuweka mkeka nashukuru kaelewa na sasa hana hoja ya kuendeleza hilo jungu lake,tena hatufai huyu na watu wa jamii yake humo.
(Heri ya mjinga kuliko mpumbavu)