Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Moja ya chombo ni hichi hapa.“Leo nawaambia wajirekebishe na ikiwezekana wajirekebishe ndani ya siku tano, wawe wanasalimiana na wanazungumza, mimi ninafahamu, nina vyombo, ninajua nani hafai zaidi,” alisema Rais Magufuli
Hawa jamaa kama kweli Dibibi kapigwa chini basi wako macho kweli kwenye baadhi ya mambo.Moja ya chombo ni hichi hapa.
Dibibi hakuchukua round
Yaani huyu mtu alijipendekeza sana...alafu hata sio mtanashati,mchafu mchafu ,mandevu km msitu wa mkonge.Hivi kwa mfano hili li sura lake hapa airport LA nini? Badala ya kuweka vivutio anaweka sura lake
Huyu MTU anapaswa aondolewe
Akaendelee na uongo wake was kogwanomics wakati yeye daktari
View attachment 1324952
Huyu jamaa aliwakosea nini wadau? Msameheni bhana.Ingependeza kama Kigwangalla angefikishwa Mahakamani kwa kuhujumu uchumi.
Degree yako sio ya kununua.Hawa jamaa kama kweli Dibibi kapigwa chini basi wako macho kweli kwenye baadhi ya mambo.
I wish wange extend na ku-stretch namna ya kufanya kazi ili imports za sukari, mafuta ya kula, ngano, products za pamba, products za ngozi, maziwa na products zake, products za nyama, samaki, soko la mbegu, chakula cha mifugo vipungue kwa govt ku-guarantee uwekezaji ufanyike, vijana wazawa.
Sio afya kwa taifa kuwa na mfumo ambao uko defensive ili akina Dibibi wasipenye.
Mataifa makubwa wanazidi kuendelea kwa "offensive investment strategy" hata kama ni kufanya biashara na nchi masikini.
Imagine aliekuwa U.S Secretary of State Hillary Clinton alikuwa moja ya waunga mkono uwekezaji wa kuzalisha umeme wa kampuni ya Symbion inaingia mkataba kuuza umeme Tz ili US ipate Forex.
Ni ushauri tu kwa wizara ya mambo ya nje na ofisi za wazee wa kazi kufanya kazi na Watanzania with all means necessary kuona competitive advantage yetu kupitia mauzo ya final products za pamba, kahawa, korosho, leather, packages fish and beef products zinaleta Forex Tz.
Israel ni taifa dogo sana, yet wana control mauzo ya Almasi Brussels.
Sisi Watz, how can/should we create strategic collaborations na Israel au whenever ili walau mauzo ya Tanzanian minerals au agri final produce zinauza na kuleta forex from across the globe.
Kila la heri kwa wakubwa mnaofanya kazi usiku na mchana kuzuia ila iko haja kufanya zaudi ya hilo.
Degree au Diploma zinapokuwa chanzo cha kujua au kudhani mtu yuko vyema upstairs nadhani hii ni sawa na ubaguzi wa rangi kati ya mzungu/mweusi.Degree yako sio ya kununua.
Alitoa kafara mwanaye ili amroge Magufuli ammpe Uwaziri. Sasa akitaka kurudi atoe KAFARA ya mke wakeHuyu jamaa aliwakosea nini wadau? Msameheni bhana.
Dah!... tuhuma nzito sana hizi.Alitoa kafara mwanaye ili amroge Magufuli ammpe Uwaziri. Sasa akitaka kurudi atoe KAFARA ya mke wake
Jiulize kwa nini wewe siyo Waziri ndiyo utapata majibu. Au niambie kwenye Bunge la 2015- 20 ni wabunge wangapi walikuwa wanamzidi Kigwangala CV na uzoefu lakini akapata yeye uwaziri.Dah!... tuhuma nzito sana hizi.
Ila sidhani kama kuna mtu mwenye 'akili timamu' nasisitiza tena 'mwenye akili timamu' anaweza kuiua damu yake kisa cheo au mali.
Huenda hizi tuhuma ni fitna za kisiasa za maadui wa Kigwa...ili kumchafua mbele ya jamii.
msiziamini sana tuhuma kama hizi maana ni vigumu kuthibitisha.
Isitoshe uwaziri ni cheo ambacho mtu hupewa kutokana na utashi wa mteuaji, hivyo mtu kukosa uwaziri haina maana ameanguka kisiasa au hafai maana wabunge wapo zaidi ya 300 ilihali hivyo vyeo vya uwaziri na unaibu waziri havizidi nafasi 50.
A picture speaks more than a thousand words.Jiulize kwa nini wewe siyo Waziri ndiyo utapata majibu. Au niambie kwenye Bunge la 2015- 20 ni wabunge wangapi walikuwa wanamzidi Kigwangala CV na uzoefu lakini akapata yeye uwaziri.
Mwishowe lazbda tukuwekee ushahidi wa Kigwangalla akiwa na wataalamu wa sayansi ya asili.
Kuna scenerio moja iliwahi kutokea kwenye nchi moja huko Ulaya Magharibi, kwenye nchi zilizoendelea. Hii story niliwahi kusimuliwa na mtu, kwamba waliamua kupunguza umri wa kusataafu. Baada ya kufanya hivyo, miongo kadhaa mbele hali hii ikawa ime-destabilize labour market kwenye nchi hiyo kwa sababu watu walikuwa wanastaafu mapema hivyo kupelekea watu wachache wakiwa wamebaki kwenye labour market. Wafanyakazi wakawa wachache halafu wanaotakiwa kulishwa na hao wafanyakazi wachache, idadi yao ikawa inaongezeka at an alarming rate ikipambana na ile ya watenda kazi waliokuwa bado wako kwenye labour market. Baada ya hapo, kilichotokea ni kwamba hawa waliokuwa bado wako kwenye service, wakaamua kupeleka mswada mwingine Bungeni ili sheria hiyo ibadilishwe na umri wa kustaafu uongezwe. Kwa kifupi tu ni kwamba hali iliyokuwepo ilipelekea wastaafu kuwa na maisha mazuri na bora zaidi kuliko wale ambao walikuwa bado wako kazini. Mswada huo ulivyofika Bungeni ukapigwa chini haukupita. Kwa nini haukupita?Cha ajabu Tanzania ndio Taifa linalo ongoza Duniani kuwa na Maprofesa na PhD holders kwenye Cabinet na taasisi nyingine Serikalini- mantiki ya uteuzi huu defies logic hasa kwa sisi tulio bahatika kuishi kwa muda mrefu kwenye nchi za wenzetu waliondelea, hatukuwahi kuona/shuhudia vitu kama hivyo hata kidogo - chukulia mifano ya Uingereza, USA na Ujerumani - mawaziri wangapi ni maprofessa au PhD holders? Maprofessa wanabaki ma academician maisha yao yote sio wananyofolewa kwenye taasisi za elimu/vyuo vikuu vilivyo wasomesha kwa muda mrefu baadae wanakuja kupewa nyadhifa Serikalini na mashirika ya Umma unless wa apply wenyewe sio kuteuliwa - nayasema haya kwa nia njema tu - suala hili JPJM anapaswa kuliagalia upya teuzi hizi siku za mbeleni, tusije kujidanganya kwamba Dunia itatuchukulia seriously kutokana Serikali kuwa na maprofesa na PhD holders kwenye Uongozi wa juu per capita kuliko Mataifa yalio endelea.
a
Millard kama sikoseiHuyo mwana Habari aliyekodiwa ndege lazima Atakuwa dem alafu hakosi msambwanda
Alafu hiyo kuwaingiza wasanii yote ni kula bata na wasanii fulani tu.... Ujing Ujing
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
We jamaa ulieandika huu uzi uko wapi?umeamini sasa maneno ya walio wengi jitu lako lishatumbuliwa huko kama unampenda kampikie Chai majizi wakubwa NyieKuna ukweli gani katika tuhuma hizi nzito, kinacho shangaza zaidi kwa nini gazeti la Jamuhuri linamkandia sana Dr.Kigwangalla, je, kuna ajenda gani nyuma ya pazia? JPM kasema Kigwangalla na katibu mkuu wa Wizara wanapaswa kulewana, actually JPM alikwenda mbali zaidi akasema Katibu Mkuu amuheshimu Kigwangalla - JPM knows what is going on - kinyume chake nyinyi mnakuja na stori zenu za kubuni tu - lengo lenu mnataka Kigwangalla afukuzwe kazi, ndio baadhi ya Watanzania tulivyo mazaba zabina tu mabingwa wa kupika majungu - wahariri magazeti wanapewa tu handdouts zenye stori za kutunga tu na wao wanazichapishwa hivyo hivyo bila ya kutafakari mambo.
Revisit mtiritiko wa tuhuma lukuki zinazo muhusu Waziri, zinaonekana wazi wazi ziko totally incoherent from highly questionable source like: majangiri wa wanyama na wale ambao hawakufanikiwa kugawiwa hunting blocks, hao ndio the brains behind machapisho ya gazeti husika.
Maneno chungu nzima, nani kawambieni kwamba kutangaza utalii ndani na nje ya Tanzania should cost nothing!! Any idea Kenya inatumia kiwango gani cha fedha kujitangaza Kimataifa?? Ukweli wa mambo Kigwangalla ni Waziri mbunifu sana sana, cha muhimu hapa gharama/matumizi ya Wizara katika masuala ya kujitangaza kiutalii yawe contained within the budget, haya mambo ya walio chini ya Waziri kujifanya ni Wakatoliki kuliko Papa hayatufikisha popote.
We jamaa ulieandika huu uzi uko wapi?umeamini sasa maneno ya walio wengi jitu lako lishatumbuliwa huko kama unampenda kampikie Chai majizi wakubwa Nyie
Wewe Bukyanagandi waweza kuwa ndiye Dr Kigwangalla mwenyewe au ni mtu wa karibu na Kigwangalla. Mimi ninavyomfahamu Kigwangalla siyo kwamba ni mbunifu bali ni mwepesi wa kuchukua mawazo ya watu wengine na kuyafanya yake kwa kuyapeleka kwenye mamlaka.Kuamini nini, if I may ask? Bado ningali nasimamia maoni yangu kwamba Kigwangalla ni mtu mbunifu sana na anaye jituma hana tofauti na hulka za Makonda wote ni wachapa kazi na wawajibikaji, ni binadamu decisive wanapo taka kutekeleza jambo wanafanya bila woga au kutegemea akili za wengine - typical leadership quality .
Kigwangalla anaweza kuwa na mapungufu yake kama sisi wanadamu wote tulivyo - mnaweza kumsingizia chochote mkiwa na lengo la kumwaribia sifa - lakini hili la kumshutumu kwamba ni mwizi tuhuma hizo ni ulaghai mtupu.
Na ukichunguza sana utabaini vijana wengi wanakuwa driven na wivu kuwasema vibaya vijana wenzao nakumbuka tuhumu za kutunga kuhusu Makonda niliona wachangia wengi wali rejoice Makonda alipo kosa nafasi ya kugombea Ubunge wa Kigamboni, vile vile niliwahi kuona members wa JM wakiwasema vibaya Mh.Ridhiwani Kikwete pamoja na January Makamba wote wako kwenye lika la vijana,kama nilivyo sema tagu mwanzo crusade hiyo inakuwa driven na wivu tu si kitu kingine, ndio maana wanawakandia vijana wenzao ili wakose wote, tabia za ajabu sana.
Kuamini nini, if I may ask? Bado ningali nasimamia maoni yangu kwamba Kigwangalla ni mtu mbunifu sana na anaye jituma hana tofauti na hulka za Makonda wote ni wachapa kazi na wawajibikaji, ni binadamu decisive wanapo taka kutekeleza jambo wanafanya bila woga au kutegemea akili za wengine - typical leadership quality .
Kigwangalla anaweza kuwa na mapungufu yake kama sisi wanadamu wote tulivyo - mnaweza kumsingizia chochote mkiwa na lengo la kumwaribia sifa - lakini hili la kumshutumu kwamba ni mwizi tuhuma hizo ni ulaghai mtupu.
Na ukichunguza sana utabaini vijana wengi wanakuwa driven na wivu kuwasema vibaya vijana wenzao nakumbuka tuhumu za kutunga kuhusu Makonda niliona wachangia wengi wali rejoice Makonda alipo kosa nafasi ya kugombea Ubunge wa Kigamboni, vile vile niliwahi kuona members wa JF wakiwasema vibaya Mh.Ridhiwani Kikwete pamoja na January Makamba wote wako kwenye lika la vijana,kama nilivyo sema tagu mwanzo crusade hiyo inakuwa driven na wivu tu si kitu kingine, ndio maana wanawakandia vijana wenzao ili wakose wote, tabia za ajabu sana.
Ukiishhi kwenye nyumba ya vioo, usiwe unawatupia watu mawe ovyo. Sasa kumbe hk Ni Saidi Bagaille.Wewe Bukyanagandi waweza kuwa ndiye Dr Kigwangalla mwenyewe au ni mtu wa karibu na Kigwangalla. Mimi ninavyomfahamu Kigwangalla siyo kwamba ni mbunifu bali ni mwepesi wa kuchukua mawazo ya watu wengine na kuyafanya yake kwa kuyapeleka kwenye mamlaka.
Kingine Kigwangalla ana roho ya thubutu wa kufanya mambo ya kuuliza wengine alimradi yeye ainekane anafanya kazi. Kigwangalla na MAKONDA wako sawa tu ni ma-sadist, ma-snitch na wote wanatumia majina ya FORGERY kwenye ajira. Kigwangalla ni Said Bagaille ndiyo jina lake. Makonda ni Daud Bashite.