Gazeti la Jamhuri: Siri ya ugomvi wa Dk. Kigwangalla na Profesa Mkenda hadharani

Gazeti la Jamhuri: Siri ya ugomvi wa Dk. Kigwangalla na Profesa Mkenda hadharani

Nilijua tu hicho ndo anachokifanyaga komando Kipensi
 
Kuna ukweli gani katika tuhuma hizi nzito, kinacho shangaza zaidi kwa nini gazeti la Jamuhuri linamkandia sana Dr.Kigwangalla, je, kuna ajenda gani nyuma ya pazia? JPM kasema Kigwangalla na katibu mkuu wa Wizara wanapaswa kulewana, actually JPM alikwenda mbali zaidi akasema Katibu Mkuu amuheshimu Kigwangalla - JPM knows what is going on - kinyume chake nyinyi mnakuja na stori zenu za kubuni tu - lengo lenu mnataka Kigwangalla afukuzwe kazi, ndio baadhi ya Watanzania tulivyo mazaba zabina tu mabingwa wa kupika majungu - wahariri magazeti wanapewa tu handdouts zenye stori za kutunga tu na wao wanazichapishwa hivyo hivyo bila ya kutafakari mambo.

Revisit mtiritiko wa tuhuma lukuki zinazo muhusu Waziri, zinaonekana wazi wazi ziko totally incoherent from highly questionable source like: majangiri wa wanyama na wale ambao hawakufanikiwa kugawiwa hunting blocks, hao ndio the brains behind machapisho ya gazeti husika.

Maneno chungu nzima, nani kawambieni kwamba kutangaza utalii ndani na nje ya Tanzania should cost nothing!! Any idea Kenya inatumia kiwango gani cha fedha kujitangaza Kimataifa?? Ukweli wa mambo Kigwangalla ni Waziri mbunifu sana sana, cha muhimu hapa gharama/matumizi ya Wizara katika masuala ya kujitangaza kiutalii yawe contained within the budget, haya mambo ya walio chini ya Waziri kujifanya ni Wakatoliki kuliko Papa hayatufikisha
popote.
wewe Ni Steve Nyerere nn
 
Bukyanagandi,

Yani maprofesa wa Tanzania, walio wengi ni watu wahovyo sana, hata kama hapakuwa na mapatano, kitendo cha Kigwa kujitokeza hadharani kuzungumza kwa namna kuondoa mgogoro ilikuwa ni hekima kubwa, lakini approach ya huyu profesa kuendeleza mjadala wa mgogoro, sio tu nikumkosea heshima Rais lakini ni kielelezo, cha ubishi, ukaidi ulio tukuka, kwanza inaonesha yeye nichanzo cha mgogoro lakini pia hayuko tayari ku clear air hata baada ya tamko la mkuu wa nchi

Cha ajabu Tanzania ndio Taifa linalo ongoza Duniani kuwa na Maprofesa na PhD holders kwenye Cabinet na taasisi nyingine Serikalini- mantiki ya uteuzi huu defies logic hasa kwa sisi tulio bahatika kuishi kwa muda mrefu kwenye nchi za wenzetu waliondelea, hatukuwahi kuona/shuhudia vitu kama hivyo hata kidogo - chukulia mifano ya Uingereza, USA na Ujerumani - mawaziri wangapi ni maprofessa au PhD holders? Maprofessa wanabaki ma academician maisha yao yote sio wananyofolewa kwenye taasisi za elimu/vyuo vikuu vilivyo wasomesha kwa muda mrefu baadae wanakuja kupewa nyadhifa Serikalini na mashirika ya Umma unless wa apply wenyewe sio kuteuliwa - nayasema haya kwa nia njema tu - suala hili JPJM anapaswa kuliagalia upya teuzi hizi siku za mbeleni, tusije kujidanganya kwamba Dunia itatuchukulia seriously kutokana Serikali kuwa na maprofesa na PhD holders kwenye Uongozi wa juu per capita kuliko Mataifa yalio endelea.
 
Hivi utangazaji huo wa utalii uliandaliwa na kitengo cha masoko cha wizara ( kama kipo) ama yalikuwa mawazo binafsi ya waziri mwenye dhamana!? Na malipo hayo yanayosemwa yalikuwa halali ama lah!? Kama utaratibu wa malipo ulikuwa na shida, wahusika wa kutoa fedha wachukua hatua gani ela zitoke kwa wakati?
====
Kwa waliosoma habari nzima kwenye gazeti, mwandishi wa habari alimpa furusa mheshimiwa waziri kujibu yuhuma hizi..!?

mkuu, hii nchi kuna wakati ukiwa kiongozi lazima ufanye mambo kinyume cha taratibu kwa maslahi ya umma, emu litazame shirika letu la posta, wamejazwa wajinga tu huko, walitakiwa wawe na huduma za kisasa mfano apps za kuagiza vitu kutoka nje nk


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Angalia hili li picha lake kaliweka jkni utafikiri yeye ndie Serengeti, au my kilimanjaroView attachment 1325733
Anajitangaza yeye na wasanii wake, halafu chaajabu sisi watanzania hata "FEES" za kutembelea hifadhi za wanyama hatuzijui. Kila ukitafuta mitandaoni unakutana na fees za watalii tu ila za wazawa hauzikuti.

Natamani Rais angekuwepo JamiiForums ili wana member tuwe tunamtag utumbo wanaofanya mawaziri wake.
 
mkuu, hii nchi kuna wakati ukiwa kiongozi lazima ufanye mambo kinyume cha taratibu kwa maslahi ya umma, emu litazame shirika letu la posta, walitakiwa wawe na huduma za kisasa mfano apps za kuagiza vitu kutoka nje nk


Sent using Jamii Forums mobile app
Nimetembelea website yao Posta. Browser yangu imenitahadharisha nisifungue kwani website hiyo 'imeshambuliwa' na malware. Sasa nawaza kwa wazo lako la apps za kuagiza vitu si watapata hasara kila kukicha. Hata hivyo wawekeze na kufuata ushauri wako. Naunga mkono hoja.
 
Hivi utangazaji huo wa utalii uliandaliwa na kitengo cha masoko cha wizara ( kama kipo) ama yalikuwa mawazo binafsi ya waziri mwenye dhamana!? Na malipo hayo yanayosemwa yalikuwa halali ama lah!? Kama utaratibu wa malipo ulikuwa na shida, wahusika wa kutoa fedha wachukua hatua gani ela zitoke kwa wakati?
====
Kwa waliosoma habari nzima kwenye gazeti, mwandishi wa habari alimpa furusa mheshimiwa waziri kujibu yuhuma hizi..!?
Hapokei simu makusudi
 
Yasemekana Dr Kigwangala kama Waziri wa Mali Asili na Utalii amekuwa alitumia madaraka yake vibaya kushinikiza matumizi ya fedha za Serikali kinyume na taratibu. Ugomvi wa mara ya mwisho alitaka Katibu Mkuu wa Utalii alipe Mamilioni kwa wasanii waliokwenda mlima Kilimanjaro kama Steve Nyerere na Ebitoke.

Hitimisho:
Nampongeza Prof Mkenda kwa msimamo aliouonyesha hata kama atapoteza kazi yake lakini ataacha historia ya kwamba alisimamia nidhamu ya matumizi ya fedha za umma.

Soma mwenyewe hapo chini
View attachment 1315748View attachment 1315750View attachment 1315751View attachment 1315752
ASANTE JF, turudi hapa tena
 
Kuna ukweli gani katika tuhuma hizi nzito, kinacho shangaza zaidi kwa nini gazeti la Jamuhuri linamkandia sana Dr.Kigwangalla, je, kuna ajenda gani nyuma ya pazia? JPM kasema Kigwangalla na katibu mkuu wa Wizara wanapaswa kulewana, actually JPM alikwenda mbali zaidi akasema Katibu Mkuu amuheshimu Kigwangalla - JPM knows what is going on - kinyume chake nyinyi mnakuja na stori zenu za kubuni tu - lengo lenu mnataka Kigwangalla afukuzwe kazi, ndio baadhi ya Watanzania tulivyo mazaba zabina tu mabingwa wa kupika majungu - wahariri magazeti wanapewa tu handdouts zenye stori za kutunga tu na wao wanazichapishwa hivyo hivyo bila ya kutafakari mambo.

Revisit mtiritiko wa tuhuma lukuki zinazo muhusu Waziri, zinaonekana wazi wazi ziko totally incoherent from highly questionable source like: majangiri wa wanyama na wale ambao hawakufanikiwa kugawiwa hunting blocks, hao ndio the brains behind machapisho ya gazeti husika.

Maneno chungu nzima, nani kawambieni kwamba kutangaza utalii ndani na nje ya Tanzania should cost nothing!! Any idea Kenya inatumia kiwango gani cha fedha kujitangaza Kimataifa?? Ukweli wa mambo Kigwangalla ni Waziri mbunifu sana sana, cha muhimu hapa gharama/matumizi ya Wizara katika masuala ya kujitangaza kiutalii yawe contained within the budget, haya mambo ya walio chini ya Waziri kujifanya ni Wakatoliki kuliko Papa hayatufikisha popote.
Bukyanagandi, njoo uone matapishi yako
 
Hawezi kuja huyo ng'o. Huyo Waziri wanaomtetea wamesahau alianzisha hii issue kwa wasanii na akaandika wizarani kwamba amewalipa posho, mpaka Diamond na Manager wake wakakataa hawajalipwa kitu (Wakasema Wamejitolea).

Ingependeza kama Kigwangalla angefikishwa Mahakamani kwa kuhujumu uchumi.
 
Jei Kei alipewa wizara akawa anatumia ndege za kivita za jeshi kwenda kijijini kwao kuwa impress wanyamwezi.
Hech Kei nae ndege ndio zikizomkost.
Kuna Nini Kati ya watu wa Tabora na ndege??
 
Back
Top Bottom