Swet-R
JF-Expert Member
- Jul 20, 2018
- 5,613
- 8,082
Huyu hana tofauti kabisa na mwiguru nchemba. Wana haraka hao. Huyu kupewa hii wizara tayari ameanza kutengeneza mtandao wa 2025Miongoni ya mawaziri ambao siwaelewi, huyu ni mmoja wapo.....
Namuona yupo busy sana na social media, na mda mwingine anapost ujinga ujinga tu
Sent using Jamii Forums mobile app