Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bwana waziri wa maliasili na utalii umeamua kuja mwenyewe kujibu tuhuma!??Kuna ukweli gani katika tuhuma hizi nzito, kinacho shangaza zaidi kwa nini gazeti la Jamuhuri linamkandia sana Dr.Kigwangalla, je, kuna ajenda gani nyuma ya pazia? JPM kasema Kigwangalla na katibu mkuu wa Wizara wanapaswa kulewana, actually JPM alikwenda mbali zaidi akasema Katibu Mkuu amuheshimu Kigwangalla - JPM knows what is going on - kinyume chake nyinyi mnakuja na stori zenu za kubuni tu - lengo lenu mnataka Kigwangalla afukuzwe kazi, ndio baadhi ya Watanzania tulivyo mazaba zabina tu mabingwa wa kupika majungu - wahariri magazeti wanapewa tu handdouts zenye stori za kutunga tu na wao wanazichapishwa hivyo hivyo bila ya kutafakari mambo.
Revisit mtiritiko wa tuhuma lukuki zinazo muhusu Waziri, zinaonekana wazi wazi ziko totally incoherent from highly questionable source like: majangiri wa wanyama na wale ambao hawakufanikiwa kugawiwa hunting blocks, hao ndio the brains behind machapisho ya gazeti husika.
Maneno chungu nzima, nani kawambieni kwamba kutangaza utalii ndani na nje ya Tanzania should cost nothing!! Any idea Kenya inatumia kiwango gani cha fedha kujitangaza Kimataifa?? Ukweli wa mambo Kigwangalla ni Waziri mbunifu sana sana, cha muhimu hapa gharama/matumizi ya Wizara katika masuala ya kujitangaza kiutalii yawe contained within the budget, haya mambo ya walio chini ya Waziri kujifanya ni Wakatoliki kuliko Papa hayatufikisha popote.
Et amekuwa mtu wa social media , unaweza kwepa vip social media kwenye suala la tourism?? Jana nimemuona mhifadhi mkuu wa Hifadhi ya ngorongoro anasema idadi ya watalii imeshoot from 400k to 600k with in a single year...Kuna ukweli gani katika tuhuma hizi nzito, kinacho shangaza zaidi kwa nini gazeti la Jamuhuri linamkandia sana Dr.Kigwangalla, je, kuna ajenda gani nyuma ya pazia? JPM kasema Kigwangalla na katibu mkuu wa Wizara wanapaswa kulewana, actually JPM alikwenda mbali zaidi akasema Katibu Mkuu amuheshimu Kigwangalla - JPM knows what is going on - kinyume chake nyinyi mnakuja na stori zenu za kubuni tu - lengo lenu mnataka Kigwangalla afukuzwe kazi, ndio baadhi ya Watanzania tulivyo mazaba zabina tu mabingwa wa kupika majungu - wahariri magazeti wanapewa tu handdouts zenye stori za kutunga tu na wao wanazichapishwa hivyo hivyo bila ya kutafakari mambo.
Revisit mtiritiko wa tuhuma lukuki zinazo muhusu Waziri, zinaonekana wazi wazi ziko totally incoherent from highly questionable source like: majangiri wa wanyama na wale ambao hawakufanikiwa kugawiwa hunting blocks, hao ndio the brains behind machapisho ya gazeti husika.
Maneno chungu nzima, nani kawambieni kwamba kutangaza utalii ndani na nje ya Tanzania should cost nothing!! Any idea Kenya inatumia kiwango gani cha fedha kujitangaza Kimataifa?? Ukweli wa mambo Kigwangalla ni Waziri mbunifu sana sana, cha muhimu hapa gharama/matumizi ya Wizara katika masuala ya kujitangaza kiutalii yawe contained within the budget, haya mambo ya walio chini ya Waziri kujifanya ni Wakatoliki kuliko Papa hayatufikisha popote.
Nakubaliana na wewe kwenye hilo suala la ubunifu tu, mfano mkuu ukiwa ni ile sanamu ya mwalimu.Kuna ukweli gani katika tuhuma hizi nzito, kinacho shangaza zaidi kwa nini gazeti la Jamuhuri linamkandia sana Dr.Kigwangalla, je, kuna ajenda gani nyuma ya pazia? JPM kasema Kigwangalla na katibu mkuu wa Wizara wanapaswa kulewana, actually JPM alikwenda mbali zaidi akasema Katibu Mkuu amuheshimu Kigwangalla - JPM knows what is going on - kinyume chake nyinyi mnakuja na stori zenu za kubuni tu - lengo lenu mnataka Kigwangalla afukuzwe kazi, ndio baadhi ya Watanzania tulivyo mazaba zabina tu mabingwa wa kupika majungu - wahariri magazeti wanapewa tu handdouts zenye stori za kutunga tu na wao wanazichapishwa hivyo hivyo bila ya kutafakari mambo.
Revisit mtiritiko wa tuhuma lukuki zinazo muhusu Waziri, zinaonekana wazi wazi ziko totally incoherent from highly questionable source like: majangiri wa wanyama na wale ambao hawakufanikiwa kugawiwa hunting blocks, hao ndio the brains behind machapisho ya gazeti husika.
Maneno chungu nzima, nani kawambieni kwamba kutangaza utalii ndani na nje ya Tanzania should cost nothing!! Any idea Kenya inatumia kiwango gani cha fedha kujitangaza Kimataifa?? Ukweli wa mambo Kigwangalla ni Waziri mbunifu sana sana, cha muhimu hapa gharama/matumizi ya Wizara katika masuala ya kujitangaza kiutalii yawe contained within the budget, haya mambo ya walio chini ya Waziri kujifanya ni Wakatoliki kuliko Papa hayatufikisha popote.
Kigwangala anapasws kufunguliwa mashtaka ya kuhujumu uchumi na kutakatisha fedha
Kuna ukweli gani katika tuhuma hizi nzito, kinacho shangaza zaidi kwa nini gazeti la Jamuhuri linamkandia sana Dr.Kigwangalla, je, kuna ajenda gani nyuma ya pazia? JPM kasema Kigwangalla na katibu mkuu wa Wizara wanapaswa kulewana, actually JPM alikwenda mbali zaidi akasema Katibu Mkuu amuheshimu Kigwangalla - JPM knows what is going on - kinyume chake nyinyi mnakuja na stori zenu za kubuni tu - lengo lenu mnataka Kigwangalla afukuzwe kazi, ndio baadhi ya Watanzania tulivyo mazaba zabina tu mabingwa wa kupika majungu - wahariri magazeti wanapewa tu handdouts zenye stori za kutunga tu na wao wanazichapishwa hivyo hivyo bila ya kutafakari mambo.
Revisit mtiritiko wa tuhuma lukuki zinazo muhusu Waziri, zinaonekana wazi wazi ziko totally incoherent from highly questionable source like: majangiri wa wanyama na wale ambao hawakufanikiwa kugawiwa hunting blocks, hao ndio the brains behind machapisho ya gazeti husika.
Maneno chungu nzima, nani kawambieni kwamba kutangaza utalii ndani na nje ya Tanzania should cost nothing!! Any idea Kenya inatumia kiwango gani cha fedha kujitangaza Kimataifa?? Ukweli wa mambo Kigwangalla ni Waziri mbunifu sana sana, cha muhimu hapa gharama/matumizi ya Wizara katika masuala ya kujitangaza kiutalii yawe contained within the budget, haya mambo ya walio chini ya Waziri kujifanya ni Wakatoliki kuliko Papa hayatufikisha popote.
Dah anichukue na Mimi kama yupo huku jamani anilipe maana napenda sana kutangaza utalii nicheze na social media vizuri. Fursa kama izo tupewe na sisi wakawida jamani sio mastaa tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo mwana Habari aliyekodiwa ndege lazima Atakuwa dem alafu hakosi msambwanda
Alafu hiyo kuwaingiza wasanii yote ni kula bata na wasanii fulani tu.... Ujing Ujing
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
Shirikisha ubongo wako kidogo tu utagundua kuwa kirusi ni Kigwangalla. Nenda mfuatilie hata alipokuwa NW-Afya akipambana na Dr JJ Mwaka tutaona mapungufu yake makubwa.Kuna ukweli gani katika tuhuma hizi nzito, kinacho shangaza zaidi kwa nini gazeti la Jamuhuri linamkandia sana Dr.Kigwangalla, je, kuna ajenda gani nyuma ya pazia? JPM kasema Kigwangalla na katibu mkuu wa Wizara wanapaswa kulewana, actually JPM alikwenda mbali zaidi akasema Katibu Mkuu amuheshimu Kigwangalla - JPM knows what is going on - kinyume chake nyinyi mnakuja na stori zenu za kubuni tu - lengo lenu mnataka Kigwangalla afukuzwe kazi, ndio baadhi ya Watanzania tulivyo mazaba zabina tu mabingwa wa kupika majungu - wahariri magazeti wanapewa tu handdouts zenye stori za kutunga tu na wao wanazichapishwa hivyo hivyo bila ya kutafakari mambo.
Revisit mtiritiko wa tuhuma lukuki zinazo muhusu Waziri, zinaonekana wazi wazi ziko totally incoherent from highly questionable source like: majangiri wa wanyama na wale ambao hawakufanikiwa kugawiwa hunting blocks, hao ndio the brains behind machapisho ya gazeti husika.
Maneno chungu nzima, nani kawambieni kwamba kutangaza utalii ndani na nje ya Tanzania should cost nothing!! Any idea Kenya inatumia kiwango gani cha fedha kujitangaza Kimataifa?? Ukweli wa mambo Kigwangalla ni Waziri mbunifu sana sana, cha muhimu hapa gharama/matumizi ya Wizara katika masuala ya kujitangaza kiutalii yawe contained within the budget, haya mambo ya walio chini ya Waziri kujifanya ni Wakatoliki kuliko Papa hayatufikisha popote.
Anaitwa Posh Queeen, huyo hapo yuko na DudeHuyo mwana Habari aliyekodiwa ndege lazima Atakuwa dem alafu hakosi msambwanda
Alafu hiyo kuwaingiza wasanii yote ni kula bata na wasanii fulani tu.... Ujing Ujing
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna ukweli gani katika tuhuma hizi nzito, kinacho shangaza zaidi kwa nini gazeti la Jamuhuri linamkandia sana Dr.Kigwangalla, je, kuna ajenda gani nyuma ya pazia? JPM kasema Kigwangalla na katibu mkuu wa Wizara wanapaswa kulewana, actually JPM alikwenda mbali zaidi akasema Katibu Mkuu amuheshimu Kigwangalla - JPM knows what is going on - kinyume chake nyinyi mnakuja na stori zenu za kubuni tu - lengo lenu mnataka Kigwangalla afukuzwe kazi, ndio baadhi ya Watanzania tulivyo mazaba zabina tu mabingwa wa kupika majungu - wahariri magazeti wanapewa tu handdouts zenye stori za kutunga tu na wao wanazichapishwa hivyo hivyo bila ya kutafakari mambo.
Revisit mtiritiko wa tuhuma lukuki zinazo muhusu Waziri, zinaonekana wazi wazi ziko totally incoherent from highly questionable source like: majangiri wa wanyama na wale ambao hawakufanikiwa kugawiwa hunting blocks, hao ndio the brains behind machapisho ya gazeti husika.
Maneno chungu nzima, nani kawambieni kwamba kutangaza utalii ndani na nje ya Tanzania should cost nothing!! Any idea Kenya inatumia kiwango gani cha fedha kujitangaza Kimataifa?? Ukweli wa mambo Kigwangalla ni Waziri mbunifu sana sana, cha muhimu hapa gharama/matumizi ya Wizara katika masuala ya kujitangaza kiutalii yawe contained within the budget, haya mambo ya walio chini ya Waziri kujifanya ni Wakatoliki kuliko Papa hayatufikisha popote.
Cc Manyerere JacktonOk ila JAMHURI mie nawaomba mfuatilie na lile sakata la mfanyabiashara wa Shinyanga aliyewaachisha kazi RPC na Meneja wa TRA mkoa huo!
Hiyo kesi ilianza upya? Jamaa ni nani? etc