Gazeti la Jamhuri: Siri ya ugomvi wa Dk. Kigwangalla na Profesa Mkenda hadharani

Gazeti la Jamhuri: Siri ya ugomvi wa Dk. Kigwangalla na Profesa Mkenda hadharani

Kuna ukweli gani katika tuhuma hizi nzito, kinacho shangaza zaidi kwa nini gazeti la Jamuhuri linamkandia sana Dr.Kigwangalla, je, kuna ajenda gani nyuma ya pazia? JPM kasema Kigwangalla na katibu mkuu wa Wizara wanapaswa kulewana, actually JPM alikwenda mbali zaidi akasema Katibu Mkuu amuheshimu Kigwangalla - JPM knows what is going on - kinyume chake nyinyi mnakuja na stori zenu za kubuni tu - lengo lenu mnataka Kigwangalla afukuzwe kazi, ndio baadhi ya Watanzania tulivyo mazaba zabina tu mabingwa wa kupika majungu - wahariri magazeti wanapewa tu handdouts zenye stori za kutunga tu na wao wanazichapishwa hivyo hivyo bila ya kutafakari mambo.

Revisit mtiritiko wa tuhuma lukuki zinazo muhusu Waziri, zinaonekana wazi wazi ziko totally incoherent from highly questionable source like: majangiri wa wanyama na wale ambao hawakufanikiwa kugawiwa hunting blocks, hao ndio the brains behind machapisho ya gazeti husika.

Maneno chungu nzima, nani kawambieni kwamba kutangaza utalii ndani na nje ya Tanzania should cost nothing!! Any idea Kenya inatumia kiwango gani cha fedha kujitangaza Kimataifa?? Ukweli wa mambo Kigwangalla ni Waziri mbunifu sana sana, cha muhimu hapa gharama/matumizi ya Wizara katika masuala ya kujitangaza kiutalii yawe contained within the budget, haya mambo ya walio chini ya Waziri kujifanya ni Wakatoliki kuliko Papa hayatufikisha popote.
Bwana waziri wa maliasili na utalii umeamua kuja mwenyewe kujibu tuhuma!??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna ukweli gani katika tuhuma hizi nzito, kinacho shangaza zaidi kwa nini gazeti la Jamuhuri linamkandia sana Dr.Kigwangalla, je, kuna ajenda gani nyuma ya pazia? JPM kasema Kigwangalla na katibu mkuu wa Wizara wanapaswa kulewana, actually JPM alikwenda mbali zaidi akasema Katibu Mkuu amuheshimu Kigwangalla - JPM knows what is going on - kinyume chake nyinyi mnakuja na stori zenu za kubuni tu - lengo lenu mnataka Kigwangalla afukuzwe kazi, ndio baadhi ya Watanzania tulivyo mazaba zabina tu mabingwa wa kupika majungu - wahariri magazeti wanapewa tu handdouts zenye stori za kutunga tu na wao wanazichapishwa hivyo hivyo bila ya kutafakari mambo.

Revisit mtiritiko wa tuhuma lukuki zinazo muhusu Waziri, zinaonekana wazi wazi ziko totally incoherent from highly questionable source like: majangiri wa wanyama na wale ambao hawakufanikiwa kugawiwa hunting blocks, hao ndio the brains behind machapisho ya gazeti husika.

Maneno chungu nzima, nani kawambieni kwamba kutangaza utalii ndani na nje ya Tanzania should cost nothing!! Any idea Kenya inatumia kiwango gani cha fedha kujitangaza Kimataifa?? Ukweli wa mambo Kigwangalla ni Waziri mbunifu sana sana, cha muhimu hapa gharama/matumizi ya Wizara katika masuala ya kujitangaza kiutalii yawe contained within the budget, haya mambo ya walio chini ya Waziri kujifanya ni Wakatoliki kuliko Papa hayatufikisha popote.
Et amekuwa mtu wa social media , unaweza kwepa vip social media kwenye suala la tourism?? Jana nimemuona mhifadhi mkuu wa Hifadhi ya ngorongoro anasema idadi ya watalii imeshoot from 400k to 600k with in a single year...
JPM mwenyewe anamonitor sana kwenye utalii Kwa sasa , somehow anajua , kuna jamaa yangu ameajiliwa tanapa juzi anasema kama isingekuwa support ya JPM kupitia wizara asingepata chance , Zaid ya vijana 150 waliopita interview majina Yao yalipigwa chin wakaingizwa watoto wa vigogo huko TANAPA na ukabila mwingi..

Issue ikanaswa , wahusika wakajua kuwa wapo monitored , wakarelease majina sahihi badala yale ya kwao ya mfukon ndo jamaa yangu naye akaula , lakn before alikuwa ashafeli Kwa style hyo 3 times ,
 
Kuna ukweli gani katika tuhuma hizi nzito, kinacho shangaza zaidi kwa nini gazeti la Jamuhuri linamkandia sana Dr.Kigwangalla, je, kuna ajenda gani nyuma ya pazia? JPM kasema Kigwangalla na katibu mkuu wa Wizara wanapaswa kulewana, actually JPM alikwenda mbali zaidi akasema Katibu Mkuu amuheshimu Kigwangalla - JPM knows what is going on - kinyume chake nyinyi mnakuja na stori zenu za kubuni tu - lengo lenu mnataka Kigwangalla afukuzwe kazi, ndio baadhi ya Watanzania tulivyo mazaba zabina tu mabingwa wa kupika majungu - wahariri magazeti wanapewa tu handdouts zenye stori za kutunga tu na wao wanazichapishwa hivyo hivyo bila ya kutafakari mambo.

Revisit mtiritiko wa tuhuma lukuki zinazo muhusu Waziri, zinaonekana wazi wazi ziko totally incoherent from highly questionable source like: majangiri wa wanyama na wale ambao hawakufanikiwa kugawiwa hunting blocks, hao ndio the brains behind machapisho ya gazeti husika.

Maneno chungu nzima, nani kawambieni kwamba kutangaza utalii ndani na nje ya Tanzania should cost nothing!! Any idea Kenya inatumia kiwango gani cha fedha kujitangaza Kimataifa?? Ukweli wa mambo Kigwangalla ni Waziri mbunifu sana sana, cha muhimu hapa gharama/matumizi ya Wizara katika masuala ya kujitangaza kiutalii yawe contained within the budget, haya mambo ya walio chini ya Waziri kujifanya ni Wakatoliki kuliko Papa hayatufikisha popote.
Nakubaliana na wewe kwenye hilo suala la ubunifu tu, mfano mkuu ukiwa ni ile sanamu ya mwalimu.
 
Uzuri ni kuwa hayo anayoyafanya "kigwa" mkulu ameyabariki , so huyo Prof atulize mkusu tu.
 
Yasemekana Dr Kigwangala kama Waziri wa Mali Asili na Utalii amekuwa alitumia madaraka yake vibaya kushinikiza matumizi ya fedha za Serikali kinyume na taratibu. Ugomvi wa mara ya mwisho alitaka Katibu Mkuu wa Utalii alipe Mamilioni kwa wasanii waliokwenda mlima Kilimanjaro kama Steve Nyerere na Ebitoke.

Hitimisho:
Nampongeza Prof Mkenda kwa msimamo aliouonyesha hata kama atapoteza kazi yake lakini ataacha historia ya kwamba alisimamia nidhamu ya matumizi ya fedha za umma.

Soma mwenyewe hapo chini
IMG-20200108-WA0040.jpg
IMG-20200108-WA0041.jpg
IMG-20200108-WA0042.jpg
IMG-20200108-WA0043.jpg
 
Kama safari ya wasanii inasaidia kuchochea utalii sioni kama kuna tatizo.
Kuna watu maarufu mfano wachezaji wa mpira, mieleka, wanamuziki au watu maarufu duniani ambao wanatakiwa kupewa upendeleo ili ujio wao iwe ni sehemu ya "marketing".
Kama kuna harufu ya ubadhirifu au matumizi ya pesa yasiyo na manufaa hapo sina la kusema, nidhamu ya pesa izingatiwe.
 
Hivi utangazaji huo wa utalii uliandaliwa na kitengo cha masoko cha wizara ( kama kipo) ama yalikuwa mawazo binafsi ya waziri mwenye dhamana!? Na malipo hayo yanayosemwa yalikuwa halali ama lah!? Kama utaratibu wa malipo ulikuwa na shida, wahusika wa kutoa fedha wachukua hatua gani ela zitoke kwa wakati?
====
Kwa waliosoma habari nzima kwenye gazeti, mwandishi wa habari alimpa furusa mheshimiwa waziri kujibu yuhuma hizi..!?
 
Naona umekuja kujitetea baada yakusubiriwa na ndege masaa 7 unawaza akitimuliwa itakuwaje! kama hujatosheka pole
Kuna ukweli gani katika tuhuma hizi nzito, kinacho shangaza zaidi kwa nini gazeti la Jamuhuri linamkandia sana Dr.Kigwangalla, je, kuna ajenda gani nyuma ya pazia? JPM kasema Kigwangalla na katibu mkuu wa Wizara wanapaswa kulewana, actually JPM alikwenda mbali zaidi akasema Katibu Mkuu amuheshimu Kigwangalla - JPM knows what is going on - kinyume chake nyinyi mnakuja na stori zenu za kubuni tu - lengo lenu mnataka Kigwangalla afukuzwe kazi, ndio baadhi ya Watanzania tulivyo mazaba zabina tu mabingwa wa kupika majungu - wahariri magazeti wanapewa tu handdouts zenye stori za kutunga tu na wao wanazichapishwa hivyo hivyo bila ya kutafakari mambo.

Revisit mtiritiko wa tuhuma lukuki zinazo muhusu Waziri, zinaonekana wazi wazi ziko totally incoherent from highly questionable source like: majangiri wa wanyama na wale ambao hawakufanikiwa kugawiwa hunting blocks, hao ndio the brains behind machapisho ya gazeti husika.

Maneno chungu nzima, nani kawambieni kwamba kutangaza utalii ndani na nje ya Tanzania should cost nothing!! Any idea Kenya inatumia kiwango gani cha fedha kujitangaza Kimataifa?? Ukweli wa mambo Kigwangalla ni Waziri mbunifu sana sana, cha muhimu hapa gharama/matumizi ya Wizara katika masuala ya kujitangaza kiutalii yawe contained within the budget, haya mambo ya walio chini ya Waziri kujifanya ni Wakatoliki kuliko Papa hayatufikisha popote.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna ukweli gani katika tuhuma hizi nzito, kinacho shangaza zaidi kwa nini gazeti la Jamuhuri linamkandia sana Dr.Kigwangalla, je, kuna ajenda gani nyuma ya pazia? JPM kasema Kigwangalla na katibu mkuu wa Wizara wanapaswa kulewana, actually JPM alikwenda mbali zaidi akasema Katibu Mkuu amuheshimu Kigwangalla - JPM knows what is going on - kinyume chake nyinyi mnakuja na stori zenu za kubuni tu - lengo lenu mnataka Kigwangalla afukuzwe kazi, ndio baadhi ya Watanzania tulivyo mazaba zabina tu mabingwa wa kupika majungu - wahariri magazeti wanapewa tu handdouts zenye stori za kutunga tu na wao wanazichapishwa hivyo hivyo bila ya kutafakari mambo.

Revisit mtiritiko wa tuhuma lukuki zinazo muhusu Waziri, zinaonekana wazi wazi ziko totally incoherent from highly questionable source like: majangiri wa wanyama na wale ambao hawakufanikiwa kugawiwa hunting blocks, hao ndio the brains behind machapisho ya gazeti husika.

Maneno chungu nzima, nani kawambieni kwamba kutangaza utalii ndani na nje ya Tanzania should cost nothing!! Any idea Kenya inatumia kiwango gani cha fedha kujitangaza Kimataifa?? Ukweli wa mambo Kigwangalla ni Waziri mbunifu sana sana, cha muhimu hapa gharama/matumizi ya Wizara katika masuala ya kujitangaza kiutalii yawe contained within the budget, haya mambo ya walio chini ya Waziri kujifanya ni Wakatoliki kuliko Papa hayatufikisha popote.
Shirikisha ubongo wako kidogo tu utagundua kuwa kirusi ni Kigwangalla. Nenda mfuatilie hata alipokuwa NW-Afya akipambana na Dr JJ Mwaka tutaona mapungufu yake makubwa.
 
Aje ajibu.
Kuna ukweli gani katika tuhuma hizi nzito, kinacho shangaza zaidi kwa nini gazeti la Jamuhuri linamkandia sana Dr.Kigwangalla, je, kuna ajenda gani nyuma ya pazia? JPM kasema Kigwangalla na katibu mkuu wa Wizara wanapaswa kulewana, actually JPM alikwenda mbali zaidi akasema Katibu Mkuu amuheshimu Kigwangalla - JPM knows what is going on - kinyume chake nyinyi mnakuja na stori zenu za kubuni tu - lengo lenu mnataka Kigwangalla afukuzwe kazi, ndio baadhi ya Watanzania tulivyo mazaba zabina tu mabingwa wa kupika majungu - wahariri magazeti wanapewa tu handdouts zenye stori za kutunga tu na wao wanazichapishwa hivyo hivyo bila ya kutafakari mambo.

Revisit mtiritiko wa tuhuma lukuki zinazo muhusu Waziri, zinaonekana wazi wazi ziko totally incoherent from highly questionable source like: majangiri wa wanyama na wale ambao hawakufanikiwa kugawiwa hunting blocks, hao ndio the brains behind machapisho ya gazeti husika.

Maneno chungu nzima, nani kawambieni kwamba kutangaza utalii ndani na nje ya Tanzania should cost nothing!! Any idea Kenya inatumia kiwango gani cha fedha kujitangaza Kimataifa?? Ukweli wa mambo Kigwangalla ni Waziri mbunifu sana sana, cha muhimu hapa gharama/matumizi ya Wizara katika masuala ya kujitangaza kiutalii yawe contained within the budget, haya mambo ya walio chini ya Waziri kujifanya ni Wakatoliki kuliko Papa hayatufikisha popote.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom