Gazeti la Mawio lafungiwa kwa miezi 24 kwa kosa la kuwahusisha Mkapa na Kikwete sakata la madini

Hahahahaha shikamoo tena mzee Chenge, nacheka na vitu havi chekeshi ila ndio hivyo tena
 
Eeebwa so mzigo wote unamwangukia Mkapa.
 
Mwakyembe kajipendekeza hapo, ilitakiwa onyo kali tu..
 
mawio wataenda mahakamani na wataigaragaza ccm vibaya,kumbukeni gazeti hili lilifungiwa mahakama ikalifungua na wanaidai serikali mabilion

Jamuhuri hii haijawahi kufungua kesi za MIHEMKO Kama hizi na WAKABAKI SALAMA, ifike Wakati kesi za MIHEMKO Kama hizi zikikosa kumtia mtu hatiani, gharama za kesi ziwe za mifukoni mwao LABDA TUTAHESHIMIANA
 
Kesi nyepesi sana hii, tena waketakiwa wathibitishe ndiyo itakuwa poa sana.
 
Mwakyembe ulikulupuka kama kulinda chakula umejitahidi je! umewaza kesho ukistafu utakua mlinzi kwann
 
Huyu ni msanii kuliko Jakaya
 
Kwa hiyo tubaki na Uhuru,mzalendo na habari Leo? Hata mkitoa na posho kwa wasomaji " sinunui,sisomi"
 
Kibaya zaidi magufuli ameshajua utamu wa hiki kipendele cha kutokushitaki rais akiwa madarakani. Atakitumia ipasavyo!!
Hapo tayari ameshawalazimisha wanasheria wasaini mikataba ya bormberdier na wala hatapeleka bungeni ijadiliwe. Ameshawalazimisha tayari wanasheria wasaini mkataba wa ujenzi wa chato international airport na hawezi kupeleka sheria husika ipitiwe bungeni na akili kubwa za upinzani.....
 
Mwakyembe kila siku anawaza nitoke vipi...nilitegemea angewapa the right to be heard.hakufanya hivo. Mawio wakienda high court wanaibuka kidedea. Huyu Mzee mwakyembe kachoka apunzishwe uwaziri, sijui taaluma yake ya sheria anaitumiaje,,, nahisi rais atatengua fasta uamuzi huuu wa kileyman...otherwise aliowachagua wanampotosha au wa nafanya matukio kumridhisha,
 
Kibaya zaidi magufuli ameshajua utamu wa hiki kipendele cha kutokushitaki rais akiwa madarakani. Atakitumia ipasavyo!!
Hapo tayari ameshawalazimisha wanasheria wasaini mikataba ya bormberdier na wala hatapeleka bungeni ijadiliwe. Ameshawalazimisha tayari wanasheria wasaini mkataba wa ujenzi wa chato international airport na hawezi kupeleka sheria husika ipitiwe bungeni na akili kubwa za upinzani.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…