Gazeti la MwanaHALISI lafungiwa kwa miaka miwili, wahukumiwa kwa kuandika habari za uzushi kuhusu Mwakyembe na Makinikia

Kwani hao waliona hakuna weledi wa uandishi wana weledi gani? Kila siku wanashindwa mahakamani. Watayarishe tu hela za kuwapa.
 
Mbona kama vile anarembua ' mimacho ' yake wakati anazungumza hapo? Ni macho yangu tu ' yamekengeuka ' au na wengine mmeliona hilo?
fuata content mkuu mambo ya macho au makalio ni maumbile ya binadam kutoka kwa muumba kazi yake haina makosa
 
Ushauri kwa wamiliki wa Mwanahalisi; Anzisheni gazeti jingine na mlisajili kabisa kwa sababu katika maelezo hayo ya Serikali hamjazuiwa wamiliki kuanzisha gazeti jingine kwa taratibu zile zile. Mnaweza kuliita Mwanajamii.
 
Hivi ni nani mwenye wajibu wakulalmika then gazeti au chombo cha habari kinafungiwa?

manaa sitaki kuamini TBC na UHURU bado vipi hewani nasijawahi kusikia hata ONYO!
 
Mwanahalisi limepoteza credibility.
Ingawaa mpaka hapo sijaona sababu ya kulifungia.
 
WanatakA kutuamisha mjadala wa lisu, hatuliach lkapta iv iv ng'o, lazma unyama huu malpo yapatkane apa apa mbinguni maesabu
 
Weledi wanao waandishi was Uhuru
 
Wamesahau moja. Gazeti la juzi lilikuwa na screaming headline ikisema KIKWETE ATOA MAZITO KUHUSU TUNDU LISSU, huku kukiwa na picha ya Rais Kikwete pembeni na trademark smile yake. Ukienda ndani ukurasa wa 5 kumbe ni maneno aliyosema Ridhwani Kikwete bungeni mwezi uliopita. Alisema tu kwamba serkali iwadhibiti wauaji wa Kibiti na IMMMA na wabunge.
 
Kama liliongopea kuhusu Mzee wetu Mh.Lowassa kwa hili sishangai
 
WanatakA kutuamisha mjadala wa lisu, hatuliach lkapta iv iv ng'o, lazma unyama huu malpo yapatkane apa apa mbinguni maesabu


Hii misemo imeanza kuota kutu sasa
 
Nitashangaa utakayeshangaa;hivi,wafanye kipi na au nini zaidi ya hapo!?
 
Hii Nguvu itumike kujenga viwanda na kuwabaini watu wasiojulikana.
 
ccm wote wapumbavu nyakati zote ila Hii ni serikali ya kipumbavu kuwahi kutokea TZ
 
wapuuzi mko wengi,walilifungia gazeti la mseto kwa habari iliyomhusu ngonyani lakini mwisho wa siku ukweli umejulikana na ngonyani kajiuzulu kwa habari ile ile iliyosababisha gazeti kufungiwa,
ccm ni mbwa...eti ni watetezi wa raslimali hao mawakala wa mabepari na mafisadi wote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…