Gazeti la MwanaHALISI lafungiwa kwa miaka miwili, wahukumiwa kwa kuandika habari za uzushi kuhusu Mwakyembe na Makinikia

Gazeti la MwanaHALISI lafungiwa kwa miaka miwili, wahukumiwa kwa kuandika habari za uzushi kuhusu Mwakyembe na Makinikia



Msemaji wa serikali:
Mfano tarehe 30 Januari lilichapisha habari yenye kichwa cha habari 'Ufisadi ndani ya ofisi ya JPM' ilhali ndani linazungumzia ufisadi ndani ya shirika la elimu Kibaha, ni kiwango cha juu sana cha sensetionalism. Tuliwaita wakaona udhaifu wao na kuomba Radhi na tukawasamehe.

Miezi miwili baadae April 27 wakaja na habari kubwa Mwakyembe: Maisha yangu yako hatarani. Hii stori ilikuwa ya kutunga, Mwakyembe hakuzungumza popote na mhariri wa Mwanahalisi wala mwandishi yoyote, wakaomba radhi kwenye gazeti lao la Mei kwa mheshimiwa Mwakyembe kwa kuomba Radhi, wakaahidi kwenye gazeti kuchukua hatua za kinidhani kwa mhandishi aliezusha, hatua hatujazisikia hadi leo na bado wameendelea na uandishi huo.

September 4 walikuwa na habari nyingine kubwa 'Makinikia yakwama'. Ni mfano mwingine wa habari ya kutunga, tukawapa muda wasahihishe lakini wakakataa kwa maana hawaoni kosa kisheria. Msingi wa kwanza kwenye uandishi wa habari ni ukweli, kamati ya makinikia imekwama wapi na lini, hata ukisoma Miga ina msingi wa confidentiality, sasa katikati ya mazungumzo gazeti kuibuka na kusema mazungumzo yamekwama.
========

View attachment 591506
View attachment 591504

Kwa kulifungia Mwanahalisi,Sauti za wananchi hazitapaa hewani? Hapa kazi tu
 
Hawana kazi hawa..!

Hapa Kazi tu ya kufunga wapinzani midomo na kuwanyima uhuru wa Habari na kuongea,
Mbona hayo Magazeti ya Uhuru, Mzalendo, Habari Leo na Daily News kila siku yana andika uongo kuhusu Watanzania mbona hayafungiwi....???
 
Yap! Majinga yanafurahi lakini hayaoni hatari ya vyombo vya habari kudhibitiwa kwa namna iliyopitiliza!
Mimi ningesitikita kama Mtanzania ama the Guardian lingefungiwa siyo hili gazeti linalotolewa na waganga njaa wqnaojiita waandishi wa habari
 


Msemaji wa serikali:
Mfano tarehe 30 Januari lilichapisha habari yenye kichwa cha habari 'Ufisadi ndani ya ofisi ya JPM' ilhali ndani linazungumzia ufisadi ndani ya shirika la elimu Kibaha, ni kiwango cha juu sana cha sensetionalism. Tuliwaita wakaona udhaifu wao na kuomba Radhi na tukawasamehe.

Miezi miwili baadae April 27 wakaja na habari kubwa Mwakyembe: Maisha yangu yako hatarani. Hii stori ilikuwa ya kutunga, Mwakyembe hakuzungumza popote na mhariri wa Mwanahalisi wala mwandishi yoyote, wakaomba radhi kwenye gazeti lao la Mei kwa mheshimiwa Mwakyembe kwa kuomba Radhi, wakaahidi kwenye gazeti kuchukua hatua za kinidhani kwa mhandishi aliezusha, hatua hatujazisikia hadi leo na bado wameendelea na uandishi huo.

September 4 walikuwa na habari nyingine kubwa 'Makinikia yakwama'. Ni mfano mwingine wa habari ya kutunga, tukawapa muda wasahihishe lakini wakakataa kwa maana hawaoni kosa kisheria. Msingi wa kwanza kwenye uandishi wa habari ni ukweli, kamati ya makinikia imekwama wapi na lini, hata ukisoma Miga ina msingi wa confidentiality, sasa katikati ya mazungumzo gazeti kuibuka na kusema mazungumzo yamekwama.
========

View attachment 591506
View attachment 591504

nilichogundua mpaka sasa kazi wanayoweza kuifanya kwa ufanisi 100% ndiyo hii. lkn ukiwaambia tutafutieni hawa WASIOJULIKANA... watazame usoni pao utawaona ile alama ya kiashirio kwamba anaweza kukubadilikia ghafla. HONGERENI KWA KUZIBA MIDOMO.
 
watafungia magazeti yote lakini hawataweza kufunga midomo na masikio ya wananchi.ukweli haubadiliki kwa kufungia magazeti ....
 
Wewe hugangi njaa?
Sijawahi na wala Sihitaji kwani kula kwa kutumia ujinga wa watu ni tendo baya sana. Mimi pia siyo mpenzi wa udaku hivyo vijarida kama hivi vya waganga njaa havichukui muda wangu.
 
ule uongo juu ya Saanane ulikuwa mbaya hasa kwa wanafamilia
 
Kufunguiwa tu nalo ni tukio tungoje kuona umaarufu wake utajiongeza kwa namna ipi kama tukio lilivyo
 
Hapa Kazi tu ya kufunga wapinzani midomo na kuwanyima uhuru wa Habari na kuongea,
Mbona hayo Magazeti ya Uhuru, Mzalendo, Habari Leo na Daily News kila siku yana andika uongo kuhusu Wainzania mbona hawafungiwi....???
Mpaka habari kuhusu noah zetu tulizipata humo wakimnukuu Pogba
 
Naona hiii nchi ifanywe tu ya chama kimoja, kama kusema na kukosoa serikali ni dhambi kwa kweli tunaelekea kubaya, wacha watumie jeshi, polisi, uwingi wao bungeni, na vyombo vyote vya kukandamiza uhuru wa habari lakini kuna mwisho na kuna Mungu anayehukumu kwa haki.
Unaokandamizwa ni uongo sio uhuru wa habari....
 
Serikali ifikirie kuipiga ban DW maana wamezidi kwa uzushi dhidi ya Serikali...
 


Msemaji wa serikali:
Mfano tarehe 30 Januari lilichapisha habari yenye kichwa cha habari 'Ufisadi ndani ya ofisi ya JPM' ilhali ndani linazungumzia ufisadi ndani ya shirika la elimu Kibaha, ni kiwango cha juu sana cha sensetionalism. Tuliwaita wakaona udhaifu wao na kuomba Radhi na tukawasamehe.

Miezi miwili baadae April 27 wakaja na habari kubwa Mwakyembe: Maisha yangu yako hatarani. Hii stori ilikuwa ya kutunga, Mwakyembe hakuzungumza popote na mhariri wa Mwanahalisi wala mwandishi yoyote, wakaomba radhi kwenye gazeti lao la Mei kwa mheshimiwa Mwakyembe kwa kuomba Radhi, wakaahidi kwenye gazeti kuchukua hatua za kinidhani kwa mhandishi aliezusha, hatua hatujazisikia hadi leo na bado wameendelea na uandishi huo.

September 4 walikuwa na habari nyingine kubwa 'Makinikia yakwama'. Ni mfano mwingine wa habari ya kutunga, tukawapa muda wasahihishe lakini wakakataa kwa maana hawaoni kosa kisheria. Msingi wa kwanza kwenye uandishi wa habari ni ukweli, kamati ya makinikia imekwama wapi na lini, hata ukisoma Miga ina msingi wa confidentiality, sasa katikati ya mazungumzo gazeti kuibuka na kusema mazungumzo yamekwama.
========

View attachment 591506
View attachment 591504

Uhuru ndilo gazeti linaloongoza kwa uzushi ila kwa kuwa ni la Mr zero aka uchwara haliguswi
 
Mimi nilitumia lugha chafu nikapigwa ban ya siku kama nne au tatu.
Mwanahalisi limekosea limefungiwa miaka miwili.

Muhukumu ndiye anayejua haraka kwamba kuna kosa zaidi ya aliyelitenda.

Uliahidi 50 ml. Kila kijiji/mtaa kimya

Uliahidi kuboresha maslahi kwa watumishi mpaka leo mtumishi anaonekana kama mkosaji tu kwa kila jambo.

Kila siku unasema unafanya kazi kwaaajili ya watanzania wote ila wapinzani ndio huwekwa mahabusu kila leo n.k

Subiri 2020 uone jinsi wananchi walivyo na umoja mpaka utashangaa.
 
Back
Top Bottom