Gazeti la Mwananchi limeongopa, Aliyemtishia Nape bastola sio mmoja wa waliokamatwa Mtwara

Gazeti la Mwananchi limeongopa, Aliyemtishia Nape bastola sio mmoja wa waliokamatwa Mtwara

Gazeti la mwananchi limeandika Aliyemtishia Nape bastola apandishwa kizimbani kwa makosa ya mauaji huko Mtwara.

Hii sio kweli, gazeti hili limeweka picha ya afande Gilbert na kuonyesha ndiye aliyemtishia Nape bastola.

Gilbert Kalanje ni SP wa police(mrakibu), wale wenye mwenge mmoja begani. Henry hajawahi kuwa na cheo hiki.
Aliyemtishia Nape sio huyo aliyeripotiwa na gazeti la mwananchi.

Sijajua kwa nini wamekosea hii taarifa, Henry Kisanduku hana uhusiano wowote na Gilbert Kalanje.

View attachment 2098332
Mnajikamatisha kiulaini sana

Karma noma
 
Haaaahaaaa..uandishi wetu wa habari huu. Kama lengo ni kumpata yule jamaa mbona yupo? Nape amtafute tu
Hili ni taifa lisilo na watu wenye akili, walipaswa kujiuliza maswali machache tu mrakibu wa polisi anawezaje kupanda juu ya difenda kwenda kuzuia mkutano wa nape.
Mrakibu ni cheo kikubwa polisi, Henry hawezi kukipata.
 
Kwahyo aliyemtishia Nape bastola leo hii anatetewa kabisa...

Maana yake alifanya jambo sahihi kabisa
Hakuna anayemtetea, Ila nilichosema sio aliyekamatwa huko Mtwara. Mwananchi wameongopa
 
Hii nchi imekuwa duara kama dunia inazungika lakini watu hawamwagiki
Nchi inayisha sana hii inabidi watu waunde jeshi la sungu sungu iki kukabiliana na wimbi la ujambazi polisi.hili kundi limekuwa hatari kwa raia wema na wasio wema
TUJILINDENI WENYEWE[emoji56][emoji56][emoji56]
 
Hawa ndio watu mnaotegemea walinde nchi dah!!! kweli hiki chama chenu kinahitaji la kufumuliwa na kutupwa kabisaa kisionekane
Form iv point 25 alafu ni luten Wa jeshi, mliopita jkt Na mliopo Jwtz naombeni kuelimishwa hapa maana mm najua afsa kuanzia nyota lazima awe na either form vi, diploma Na kuendelea, sasa huyu Urio ilikuwaje akaingia Na form akapanda mpaka koplo kisha Luten usu na luten kamili.
 
Gazeti la mwananchi limeandika Aliyemtishia Nape bastola apandishwa kizimbani kwa makosa ya mauaji huko Mtwara.

Hii sio kweli, gazeti hili limeweka picha ya afande Gilbert na kuonyesha ndiye aliyemtishia Nape bastola.

Gilbert Kalanje ni SP wa police(mrakibu), wale wenye mwenge mmoja begani. Henry hajawahi kuwa na cheo hiki.
Aliyemtishia Nape sio huyo aliyeripotiwa na gazeti la mwananchi.

Sijajua kwa nini wamekosea hii taarifa, Henry Kisanduku hana uhusiano wowote na Gilbert Kalanje.

View attachment 2098332
Pamoja na yote tulipongeze gazeti la MWANANCHI kwa vile limetupa jiwe kwenye shimo na mijusi na sisimizi wanatoka.

Kama Polisi au Mamlaka zinasema huyo wa Nachingwea siyo Henry Kisanduku, ina maana wanamjua vizuri Henry Kisanduku. Basi sisi wananchi tunasema watuletee sasa Henry Kisanduku aliyemtishia Nape Nauye bastola.

Hongera kwa Gazeti la MWANANCHI, tupo nyuuma yenu
 
Pamoja na yote tulipongeze gazeti la MWANANCHI kwa vile limetupa jiwe kwenye shimo na mijusi na sisimizi wanatoka.

Kama Polisi au Mamlaka zinasema huyo wa Nachingwea siyo Henry Kisanduku, ina maana wanamjua vizuri Henry Kisanduku. Basi sisi wananchi tunasema watuletee sasa Henry Kisanduku aliyemtishia Nape Nauye bastola.

Hongera kwa Gazeti la MWANANCHI, tupo nyuuma yenu
Mbona anajulikana, na hata kipindi kile mbona jina lake lilikua wazi tu. Henry anajulikana karibu na kila mtu ukonga,
Kwanza mwananchi waombe radhi kwa kuongopea umma
 
Form iv point 25 alafu ni luten Wa jeshi, mliopita jkt Na mliopo Jwtz naombeni kuelimishwa hapa maana mm najua afsa kuanzia nyota lazima awe na either form vi, diploma Na kuendelea, sasa huyu Urio ilikuwaje akaingia Na form akapanda mpaka koplo kisha Luten usu na luten kamili.
 
Askari Wana majina mengi tegemea na operation lakini sitegemei kama Henry awe na mwenge na siye gilbert galanje
 
Askari Wana majina mengi tegemea na operation lakini sitegemei kama Henry awe na mwenge na siye gilbert galanje
Ningekueleza Jambo Ila sijui sasa hivi hali ipoje maana upepo ushabadilika.
Henry hana majina yoyote mengi, tunamjua vizuri tu kijana wa UK.
Kwanza huyu Wala hawezi kabisa kuwa polisi mtwara kutokana na aina ya kazi anazopewa, elewa hivyo tu.
Pia hawezi vaa gwanda za polisi, pia hawezi kuwa na cheo chochote kile maana ni deiwaka flani hivi, nadhani ushaelewa
 
Ningekueleza Jambo Ila sijui sasa hivi hali ipoje maana upepo ushabadilika.
Henry hana majina yoyote mengi, tunamjua vizuri tu kijana wa UK.
Kwanza huyu Wala hawezi kabisa kuwa polisi mtwara kutokana na aina ya kazi anazopewa, elewa hivyo tu.
Pia hawezi vaa gwanda za polisi, pia hawezi kuwa na cheo chochote kile maana ni deiwaka flani hivi, nadhani ushaelewa
Hata Mimi nimeona gazeti limedanganywa.
Aliyemtolea nape bastola alikuwa mlinzi binafsi wa bashite akishiriki operation za utekaji na kuuwa watu.
Hicho cheo cha mwenge akipate wapi.
 
Ahsante kwa taarifa mkuu,ni matumaini yetu kuwa gazeti la Mwananchi watasahihisha habari hiyo katika siku zijazo
 
Back
Top Bottom