Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sisi tumeagizwa "Wala msiwatukane hao wanao waomba badala ya Mwenyezi Mungu, wasije na wao wakamtukana Mwenyezi Mungu kwa jeuri bila ya kujua. Namna hivyo tumewapambia kila umma vitendo vyao. Kisha marejeo yao yatakuwa kwa Mola wao Mlezi, naye atawaambia waliyo kuwa wakiyatenda."Quran 6:108.HAO NI UZAO WA SHETANI.
KUUA.
KUOA WATOTO WADOGO.
KUFUGA MAJINI.
kitabu Chao kilishishwa na shetani.
Saizi wamekazana kuabudu Mwezi kuliko Mumuabudu Mungu.
Nawaonea huruma sana.
Hivi yule dogo ambaye hataki shule alienda shule au ndo tumfate?Kivuli cha mtoto mdogo sana
miaka sita ni wapi inasemaGazeti la Mwananchi la leo limekuja na kichwa cha habari kikubwa "Bakwata ilivyokoleza mjadala wa umri wa kuolewa"
Huku likiwa likiweka picha ya mtoto wa miaka 6 kwenye ukurasa huo. Najiuliza lengo la kuweka hii picha ni kuwa wanamaanisha Bakwata wanaunga mkono watoto wa miaka 6 kuolewa?
Bakwata walikuwa wazi ni mtoto wa miaka 14 ambaye amekwisha balehe. Picha inaongea zaidi ya maneno
.........WAHEEDHAO NI UZAO WA SHETANI.
KUUA.
KUOA WATOTO WADOGO.
KUFUGA MAJINI.
kitabu Chao kilishishwa na shetani.
Saizi wamekazana kuabudu Mwezi kuliko Mumuabudu Mungu.
Nawaonea huruma sana.
Mkuu hili ni jibu tosha juu ya namna Uislamu unavyofundisha uafilifu, kwamba hata kama mtu anaolewa akiwa na umri gani, suala la kutosheleza matamanio ya kimwili ni mpaka mtu afikie umri wa kukua (to be sexually mature au to attain puberty).Labda gazeti la mwananchi wamefuata mwongozo huuView attachment 2568620