Gazeti la Raia Mwema laripoti njama za kuiba pesa BoT wakati wa msiba wa Hayati Dkt. Magufuli

Gazeti la Raia Mwema laripoti njama za kuiba pesa BoT wakati wa msiba wa Hayati Dkt. Magufuli

Hizi ndio wanaita freedom of speech, huyo mwandishi akiambiwa athibitishe maandishi yake with evidence not so sure kama ataweza.

Ni bora Mama Samia ajizoeshe mapema vijembe vya kigogo, chahali, Fatma karume, Maria Sarungi na mental case wengine kutoka twitter kuliko kuanza kuchekea nakala ambazo mwandishi hawezi toa ushahidi.

Iwe habari ya ukweli au la. Evidence is important vinginevyo ni kosa kisheria.

Akianza kuchekea mambo kama haya sio muda mrefu ataanza kusoma yeye mwenyewe kampa dada yake sijui shemeji yake tender za serikali huko kwao Chakechake.

Magufuli went overboard na media censorship but for the most alitaka waandishi wajikite kwenye habari za ukweli hata kama story aina uhusiano na serikali.

Sasa mama acheke na nyani halafu aone what headlines will follow soon, watanzania ni easily predictable sio watu wakuwachekea kabisa.

Busara ni kumwambia mapema msemaji mkuu wa serikali kwenye media moto ni uleule.
usifikiri mtu mpaka kajitoa kuandika hivo ni mjinga, ashapima kina cha maji! mpaka habari inapitiwa na mhariri na kuchapishwa na wanajua kabisa litasomwa na wengi sio utani eti! acheni watu waongee kubana vyombo vya habari ni sera za kipumbavu tu! na kina kigogo sio watoa vijembe, wanasema ukweli yule jamaa hajawah niangusha anachosema lazima kitokee! nyie ndo mnasababisha twita isipatikane
 
Ndio iwe sababu ya kutunga habari kisa raisi kasema ifanyike investigation, tena pesa za miradi zilizotoka tofauti na story husika.

If anything mama Samia made a blunder kwa kutangaza ile investigation.

Kama ana wasiwasi angeitisha investigation ya kimya kimya tu kuliko kuitangaza na ku boost ego za Kigogo a person who already values his self importance.

Ni hivi watanzania ni predictable it was all coming

Orodha ya viongozi ambao Mama Samia anatakiwa kuwafuta kazi haraka

I said it before ☝️nini kitafuata kwenye media soon after; tegemea habari za ovyo ovyo 👋
Mkuu mbona una tweta kama uko kwenye frying pan.
Si usubiri uchunguzi ndio uongee?
 
OK kama anao, upande wa serikali ndio kwanza wanafanya uchunguzi kama kuna matumizi ya ovyo.

Yeye kama anajua zaidi awe tayari kuelezea kuisaidia serikali siku akiitwa TCRA msianze kusema uminywaji wa demokrasia akichukuliwa hatua kwa kukosa ushahidi.

Binafsi naamini busara ni kumpa rungu mapema msemaji mkuu wa serikali kama ilivyokuwa, vinginevyo yetu macho.
Haa msemaji aliye sifia ATCL linapata faida baada ya gawio la billion 28 kwambwembwe
 
Hizi ndio wanaita freedom of speech, huyo mwandishi akiambiwa athibitishe maandishi yake with evidence not so sure kama ataweza.

Ni bora Mama Samia ajizoeshe mapema vijembe vya kigogo, chahali, Fatma karume, Maria Sarungi na mental case wengine kutoka twitter kuliko kuanza kuchekea nakala ambazo mwandishi hawezi toa ushahidi.

Iwe habari ya ukweli au la. Evidence is important vinginevyo ni kosa kisheria.

Akianza kuchekea mambo kama haya sio muda mrefu ataanza kusoma yeye mwenyewe kampa dada yake sijui shemeji yake tender za serikali huko kwao Chakechake.

Magufuli went overboard na media censorship but for the most alitaka waandishi wajikite kwenye habari za ukweli hata kama story aina uhusiano na serikali.

Sasa mama acheke na nyani halafu aone what headlines will follow soon, watanzania ni easily predictable sio watu wakuwachekea kabisa.

Busara ni kumwambia mapema msemaji mkuu wa serikali kwenye media moto ni uleule.
Unalaumu kabla ya mbona?
 
Sasa mama acheke na nyani halafu aone what headlines will follow soon, watanzania ni easily predictable sio watu wakuwachekea kabisa.

Busara ni kumwambia mapema msemaji mkuu wa serikali kwenye media moto ni uleule.
Duh..
Yaani unashabikia media censorship?! Au ww ni mshirika wa hao wakwapuaji?

Kibano kwny media rasmi ndo sabb ya Kigogo kupanda chati, maana kwa muda sasa amekuwa ndo chanzo pekee cha habari za kweli.

 
Kuna lugha hutumika ' whistle-blowing' na kuwa credible lazima investigation ifanyike.

Na kwa wanahabari investigative journalism inahitajika. Ili mwanahabari asiwe biased.
Dada Theodora
Jana nimelisoma gazeti la Raia Mwema.

Habari ile ina vigezo vyote vya investigative journalism:
1.Imetoa kumbukumbu za malipo ya jumla ya 47bn zilizoombwa katika siku ya mapumziko ya maombolezo 22/3,dokezo na barua wamenukuu

2.Wameainisha wastani wa maombi ya malipo yanayofanywa na bandari kwa mwezi

3.Wamemhoji DG Bandari kuhusu uhalali wa malipo hayo na uharaka wa malipo kuombwa siku ya maombolezo,fedha zote zimeombwa baada ya Mhe Rais kufariki.

Alichojibu ni kuwa kuna watu wanampiga vita hapo Bandari...

Kama ile sio Investigative journalism, manguli wa habari wapo humu watatujuza...
 
Naona sasa vyombo vya habari vinaanza kufanya kazi zake kwa uhuru angalau
 
We unaamini private Bank inaweza toa siri za miamala ya hela?

Je bank kuu wanaweza peleka hela zinazoombwa na shirika kwenye account binafsi tena isiyojulikana?

Why on Earth bandari iombe hela BoT wakati wao ndio wanapeleka hela huko. Hiyo hela ni kama collection ya siku tu bandarini si bora waibie huko.

Hakuna logic wala consistency kwenye story.

Usichokijua ni kwamba haya mambo japo yanafanyika kisiri lakini yanafanywa na binaadamu wanaoweza kusalitiana na kugeukana

Enzi za Jk magazeti yalikua yanakuja na habari kama hii hii mamlaka zinapinga na mwisho wa siku kila kitu kinakuja kujulikana
Unaweza usiione stori imenyooka kwa sababu ya ufinyu wa taarifa za mtoa taarifa lakini kuna kitu kipo...... ndio maana ya kunusa madudu na kuyatibua

Hizi mentality zenu za kutaka evidence mkabana vyombo vya habari ndio zimezaa akina Kigogo na Mangekimambi ambao wanatoa madudu ya serikali na karibu yote yanakuja kuthibitika ni kweli

Nchi hii ina wapumbavu wengi sana na ndio maana tunaona sawa tu kuendeshwa kipumbavu
Rais anaumwa hoi halafu mtu kapata habari rais anaumwa na akasema rais anaumwa anaishia kukamtwa eti athibitishe rais anaumwa....... pumbavu
Haya sasa kafa ndio mnakuja kusema alikua anaumwa na aliyesema anaumwa bado anaozea jela..... haya ndio mnapenda?
 
Hizi ndio wanaita freedom of speech, huyo mwandishi akiambiwa athibitishe maandishi yake with evidence not so sure kama ataweza.

Ni bora Mama Samia ajizoeshe mapema vijembe vya kigogo, chahali, Fatma karume, Maria Sarungi na mental case wengine kutoka twitter kuliko kuanza kuchekea nakala ambazo mwandishi hawezi toa ushahidi.

Iwe habari ya ukweli au la. Evidence is important vinginevyo ni kosa kisheria.

Akianza kuchekea mambo kama haya sio muda mrefu ataanza kusoma yeye mwenyewe kampa dada yake sijui shemeji yake tender za serikali huko kwao Chakechake.

Magufuli went overboard na media censorship but for the most alitaka waandishi wajikite kwenye habari za ukweli hata kama story aina uhusiano na serikali.

Sasa mama acheke na nyani halafu aone what headlines will follow soon, watanzania ni easily predictable sio watu wakuwachekea kabisa.

Busara ni kumwambia mapema msemaji mkuu wa serikali kwenye media moto ni uleule.
Unakubali kua 'He went overboard' ila unatamani amwambie msemaji mkuu wa serikali kwenye media moto ni ule ule.
 
ccm ni ukoo wa panya, baba mwizi, mama mwizi, kaka mwizi, dada mwizi, babu mwizi, bibi mwizi, shangazi mwizi, mjomba mwizi. By former Mp for Arumeru (nassari)
 
Dada Theodora
Jana nimelisoma gazeti la Raia Mwema.

Habari ile ina vigezo vyote vya investigative journalism:
1.Imetoa kumbukumbu za malipo ya jumla ya 47bn zilizoombwa katika siku ya mapumziko ya maombolezo 22/3,dokezo na barua wamenukuu

2.Wameainisha wastani wa maombi ya malipo yanayofanywa na bandari kwa mwezi

3.Wamemhoji DG Bandari kuhusu uhalali wa malipo hayo na uharaka wa malipo kuombwa siku ya maombolezo,fedha zote zimeombwa baada ya Mhe Rais kufariki.

Alichojibu ni kuwa kuna watu wanampiga vita hapo Bandari...

Kama ile sio Investigative journalism, manguli wa habari wapo humu watatujuza...
Waliyomhoji ni nani ndo akatoa jibu hilo ? Maana tangu jana ameshikiliwa na anahojiwa na TAKUKURU.

Inawezekana kwa maelezo yako hapo, TAKUKURU tayari wametoa ripoti/habari hiyo kwenye Raia Mwema.

Maana investigative journalism (labda kama imebadilika sasa hivi) ni giving 2 sides of the story and based on facts.
 
Back
Top Bottom