Gazeti la sani la zamani

Hahaha Meko mzee wa kutofunga vishikizo vya shati!!
 
Niliwakubali sana,Chaliangu wa damu kabisa. Mtu m'badJuakali,Njomba Nchumali,Lodilofa na mashati yake makubwa kama yangu,Profesa Ndumilakubee,Mpiga maji na mwizi Sokomoko,Pimbi na Miission zake zisizotimia,Kifimbo cheza na wachafuzi wa lugha.
 
Dah hivi kwa ulimwengu waa sasaa hawez kutokeaa muda akageuzaa wale jamaa kuaa vikatuni afu akawa anatengenezeaa vimovie..mf kipepe cartoonn..au mapungo..ingependzaa sn
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…