Baba ubaya alikua anachorwa na Dr Levy kwenye gazeti la kiu..majarida yaliyotikisa enzi hizo ni..
1.SANI na VISA
2.TABASAMU NA BONGO..
Ila bongo ndo kiboko unakutana na kina Juakali,Bob Mazishi,Njomba nchumari,Naitwa kiokote na wengineo mwisho kabisa kunakuwa na mechi ya kukata na shoka kati ya BUSH STARS NA BORN TOWN kama vile kwenye gazeti la Bongo napo kulikua na mechi hii mwisho..mechi ya Bush stars na Born town ya Bongo nilikua namkubali Bob Mazishi alikua anacheza rafu kinoma halafu refa hata hampi kadi anamuogopa mechi ya SANI nilikua namkubali Mzee Meko na shati lake alienda hadi Real Madrid etií ½í¸í ½í¸ zamani raha sana siku hizi raha eti nikuangalia matako ya Menina na Amber Rutty analiwa ndogo