Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Baba ubaya sidhani kama aliwahi kuwa SaniMadenge vs Baba ubaya
Nahusi hujafuatilia zile magazine za saniBaba ubaya sidhani kama aliwahi kuwa Sani
Unataka kuniambia nini!?..nimefuatilia Sani na Visa tangu mwaka 1990 sikuwahi kuona magazeti haya yamemchora Baba ubaya..Baba ubaya mostly alikua kwenye gazeti la KIU na sio magazeti ya pacha ya SANI na VISANahusi hujafuatilia zile magazine za sani
Ndumila kuwili na Mzee Zumo.Bila kusahau Sokomoko na tedi
Nahusi hujafuatilia zile magazine za sani
Baba ubaya alikua anachorwa na Dr Levy kwenye gazeti la kiu..majarida yaliyotikisa enzi hizo ni..Wewe ndo umechanganya madesa, baba ubaya hakua sani, kuna jarida lingne lilikua linaitwa bongo(kama sikosei), huko ndiko alikokua baba ubaya.
alikua anaitwa Dunya sijui nimesahau si alikua anavaaga kitu kama crown hivi kichwani au sio huyo?Kuna mmoja alikwa na unywele tumboni wa kutosha simkumbuki alikuwa nani
Nilikuwa nahisi labda ni picha zako mkuuMichoro ya wale wadada tuu wa "fonti peji" kama malaikaaa vile watoto wazuriiiii daah!!!
Zena na Betina[emoji4][emoji4][emoji4]Leo tujikumbushe gazti la sani la zamani. Mule kulikuwa na mtu anitwa Madenge jamaa yeye ni mzee wa matukio tu. Huku mzee baba mzee kifimbo cheza yeye fulu kugawa stiki kwa sana. Wewe unilifurahia nini kweny gazeti lile