Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Temebelea website ya Public Service Management nenda kwenye sub-title ya publication utaona Government gazette, clip hapo utakuta copy za hilo gazeti za kila mwezi mkuu....naamini nitakuwa nimetoa msaada kwakoNaomba anayejua maana ya gazeti la serikali ni nini. Naskia skia tu gazeti la serikali lakini sifahamu ni gazeti la HabariLeo au Daily News au ni lipi hilo?Msaada pls.
Naomba anayejua maana ya gazeti la serikali ni nini. Naskia skia tu gazeti la serikali lakini sifahamu ni gazeti la HabariLeo au Daily News au ni lipi hilo?Msaada pls.
Habari leo na Daily News
Hujambo mpendwa? Upo habari za Kwetu??napenda sana jins unavyouliza maswali yako.....
Mzalendo, Uhuru,...Ni HabariLeo na DailyNews mkuu au Kama nimekosea wajuvi wanakuja
Umejibu vizuri. Watu wanachanganya na hata watawala wanachanganya vyombo vya habari vya umma kama TBC, Daily news, habari leo. Hivi ni vyombo vinavyotakiwa kuweka mbele masalah ya umma habari za umma lakini vyenyewe vimejigeuza kuwa mdomo wa serikali na mda mwingine vimejigeuza kua vya chama cha mapinduzi. Vyombo vya umma vinaendeshwa na kodi zetu. Ukiona wananchi hawaviangalii na wala hawavihesabu km vyombo vya habari ujue kuna tatizo. Tena tatizo kubwa. Mfano jiulize bbc au dw navyo Vina status sawa na TBC. Lakini vinaaminika na vimeweka mbele maslahi ya umma wao. Tuna safari ndefu sanaSwali ni la msingi sana hili,ingawa muulizaji naye!mmh....Gazeti la serikali ni gazeti maalum linalochapisha matangazo,maamuzi yote ya serikali linapatikana idara ya habari maelezo.
.Kichwa chajieleza, kwa muda mrefu nimekuwa nikisikia kuwa kuna gazeti la serikali ambalo hutangaza tenda, sheria mpya nk.hivi likoje na huuzwa wapi?
Huandikwa na kina nani? lini? na wapi?
msaada please.
Hapo umejibu au umelalamika?Umejibu vizuri. Watu wanachanganya na hata watawala wanachanganya vyombo vya habari vya umma kama TBC, Daily news, habari leo. Hivi ni vyombo vinavyotakiwa kuweka mbele masalah ya umma habari za umma lakini vyenyewe vimejigeuza kuwa mdomo wa serikali na mda mwingine vimejigeuza kua vya chama cha mapinduzi. Vyombo vya umma vinaendeshwa na kodi zetu. Ukiona wananchi hawaviangalii na wala hawavihesabu km vyombo vya habari ujue kuna tatizo. Tena tatizo kubwa. Mfano jiulize bbc au dw navyo Vina status sawa na TBC. Lakini vinaaminika na vimeweka mbele maslahi ya umma wao. Tuna safari ndefu sana
Nimejiongeza.[emoji12] [emoji12]Hapo umejibu au umelalamika?
mkuu hilo duka la serikali linapatikana wapiLinapatikana kwenye maduka ya serikali au kwa mpigachapa ws serikali. Linachapishwa mara moja kwa mwezi.
Ukifika kwenye maduka ya serikali watakupa jibu zaidi
Lilikuwepp moja jirani na benjamini mkapa pale posta....sidhani kama linafanya kazi....mkuu hilo duka la serikali linapatikana wapi