Abuu Kauthar
JF-Expert Member
- Jul 10, 2011
- 4,296
- 6,492
usikariri Al Shabaab maana yake ni wababe wa kivita.
kwani ukijiita mbabe ni ugaidi?
al shabaab imetokana na neno shababi kwa kiswahili ni mwamba, gangwe au unaweza sema hawafu. so sio mbabe wa kivita bali ni mtu mwamba, miraba minne