The Phylosopher
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 1,968
- 2,957
Nimeona kwenye gazeti la Mwananchi la leo limeandika kwamba uongozi wa CHADEMA na CCM walikutana jana kwa saa nne.
Nikatamani niisome Ile habari kwenye gazeti la Tanzania Daima ili niipate kwenye chanzo sahihi.
Cha ajabu sijaiona kabisa hiyo habari. Ndipo nikapata maswali mengi sana. Kwa nini wasiiandike? Waliona haina umuhimu? Waliona ni habari inayowaaibisha?
Ila Kwa maoni yangu naona hiki kikao ni habari kubwa Kwa CCM kuliko Kwa CHADEMA.
Ni kama CCM imewamudu wapinzani wake wote. CHADEMA wanatamani wawe wakubwa sana Kwa kukimbia kikosi kazi, lkn wamejikuta kwenye uwanja kama ule ule wa kikosi kazi.
Kama CHADEMA wako serious na wanataka kujitutumua wanapaswa kugomea Kila kitu alafu warudi kwa wananchi, waweke shinikizo Kwa kiwango ambacho CCM iwatafute.
Nikatamani niisome Ile habari kwenye gazeti la Tanzania Daima ili niipate kwenye chanzo sahihi.
Cha ajabu sijaiona kabisa hiyo habari. Ndipo nikapata maswali mengi sana. Kwa nini wasiiandike? Waliona haina umuhimu? Waliona ni habari inayowaaibisha?
Ila Kwa maoni yangu naona hiki kikao ni habari kubwa Kwa CCM kuliko Kwa CHADEMA.
Ni kama CCM imewamudu wapinzani wake wote. CHADEMA wanatamani wawe wakubwa sana Kwa kukimbia kikosi kazi, lkn wamejikuta kwenye uwanja kama ule ule wa kikosi kazi.
Kama CHADEMA wako serious na wanataka kujitutumua wanapaswa kugomea Kila kitu alafu warudi kwa wananchi, waweke shinikizo Kwa kiwango ambacho CCM iwatafute.