Gazeti la The Citizen lahoji nani aliishauri Serikali kujenga SGR wakati wataalamu wanasema italeta hasara?

Gazeti la The Citizen lahoji nani aliishauri Serikali kujenga SGR wakati wataalamu wanasema italeta hasara?

Unataka Jiji la Mwanza na kijiji Cha tunduma afu unaonyesha mizigo ya kwenda nchi zingine!! Onyesha mizigo ya Mwanza vs Tunduma ndo utaona wapi reli ilipaswa kuelekea, aliyekudanganya hii reli tunajengewa wananchi wa nchi zingine ni nani?! Yaani mwananchi wa Zambia apate bidhaa kwa bei nafuu iliyosafirishwa kwa gharama nafuu kupitia reli ya watanzania iliyojengwa Kodi za watanzania, afu muda huo huo mtanzania wa Dodoma, tabora, singida, shinyanga, Mwanza,nk apate bidhaa kwa bei mbaya huku akiwajengea wazambia SGR?! Huo ni upuuzi. Hii reli inajengwa na watanzania kwa ajili ya watanzania wala sio kwa ajili ya hao wacongo wako.
Tatizo huna akili ,huko Mwanza ingekuwepo TPA wangeonyesha ,jibu ni kwamba hakuna Sana Sana ipo kwenye hiyo sehemu wameandika sehemu zingine..

Narudia tena sgr ni tembo mweupe, pattern ya mzigo iko kama inayoonekana hapa chini sasa sgr mnajenga iwe pambo au? 👇
Unataka Jiji la Mwanza na kijiji Cha tunduma afu unaonyesha mizigo ya kwenda nchi zingine!! Onyesha mizigo ya Mwanza vs Tunduma ndo utaona wapi reli ilipaswa kuelekea, aliyekudanganya hii reli tunajengewa wananchi wa nchi zingine ni nani?! Yaani mwananchi wa Zambia apate bidhaa kwa bei nafuu iliyosafirishwa kwa gharama nafuu kupitia reli ya watanzania iliyojengwa Kodi za watanzania, afu muda huo huo mtanzania wa Dodoma, tabora, singida, shinyanga, Mwanza,nk apate bidhaa kwa bei mbaya huku akiwajengea wazambia SGR?! Huo ni upuuzi. Hii reli inajengwa na watanzania kwa ajili ya watanzania wala sio kwa ajili ya hao wacongo wako.
 

Attachments

  • Screenshot_20220722-185451_Twitter.jpg
    Screenshot_20220722-185451_Twitter.jpg
    30.2 KB · Views: 3
Taratibu unaanza kuonyesha rangi yako halisi [emoji2962][emoji2962]
Tuonyeshe huo mzigo wa Mwanza..

Mimi ndio nimeandika article? Acha ujinga na utoto,waonee huruma mama zako watakaobebeshwa zigo la misumari.
 
Tumeshindwa kuendesha BRT kwa faida, tutaweza endesha SGR? Ni ndoto za alinacha tu. Huo mradi utatugharimu pakubwa, tena bora hata kama reli ingeelekezwa Songwe, lakini nako TAZARA ni siasa iliyotushinda.
Wananchi kuwahi kwenye shughuli zao za kiuchumi hiyo sio faida?!
 
Hoja yakoni ya kisiasa zaidi sio kiuchumi. Hatuwezi kujenga SGR kwa kuangalia soko la ndani tu, basi sisi ni wendawazimu.
Nani kasema soko la ndani tu?! Kipaumbele ni watanzania kwanza make ndo wanaoijenga, hao wa nje baadae baada ya wenye reli yao kupata. Hata umeme tunazalisha kwa mahitaji yetu kwanza huko nje baadae, Barabara ni kwa mahitaji yetu kwanza nje baadae, tunajenga miundombinu ya maji kwa mahitaji yetu kwanza, Yaani kama vile tungenunua ndege za air tanzania kwa ajili ya Beijing na Lusaka huku Mwanza, Dodoma, Mbeya, Kilimanjaro hakuna ndege! Tungekuwa wapuuzi sana.

Barabara zetu zitakuwa salama, bidhaa zitashuka, usafiri kwa mtanzania utakuwa nafuu na wa haraka, nk hizo ni baadhi ya faida za kiuchumi.
 
Ni mjinga tu anaweza kuhoji hilo.
1. Kuna malori kila siku hanafanya uharifu wa barabara kila siku. Hilo nayehoji haoni.
2. SGR Ikitumia hata saa 2 kwenda Moro. Nani mjinga ataenda na bus. Anayehoji haoni
3. Jam nyingi njiani sababu ninlori za mizigo inatoka bandari za Dar na Tanga. Anayehoji haoni
4. Ajali nyingi zinasabishwa na malori yanayotembea barabarani na mizigo kuitoa Dar
Ni ujinga unaoamini kuwa mizigo mizito na itasafiri kwa lori
Usitumie matusi.
SGR haitaweza beba watu wote hao.
Kiufupi itasaidia watumishi, wabunge, wafanyabiashara kuendelea ishi Dsm
 
Tatizo huna akili ,huko Mwanza ingekuwepo TPA wangeonyesha ,jibu ni kwamba hakuna Sana Sana ipo kwenye hiyo sehemu wameandika sehemu zingine..

Narudia tena sgr ni tembo mweupe, pattern ya mzigo iko kama inayoonekana hapa chini sasa sgr mnajenga iwe pambo au? [emoji116]
We ndo hamnazo kabisa, we huoni hapo TPA wameonyesha mizigo ya nchi Jirani tu? Ebu weka mizigo ya hapa nchini kutoka bandari ya dar es salaam ndo utajua kwa nini Mwanza, kwa taarifa yako mizigo ya Mwanza mingine mingi tu inapitia bandari ya Mombasa, SGR ikikamilika mizigo yote wa Kanda ya ziwa na uganda utapita Dar port, hiyo ndo hofu nyingine ya wakenya na hilo gazeti lao.
 
Tuonyeshe huo mzigo wa Mwanza..

Mimi ndio nimeandika article? Acha ujinga na utoto,waonee huruma mama zako watakaobebeshwa zigo la misumari.
Mama zangu watasafiri na kusafirisha mizigo yao kwa urahisi na haraka, huku biashara zao zikisafirishwa kwa gharama ndogo na haraka. Wewe endelea kuwaonea huruma mama zako wa Congo, waambie kabisa hatutawengea wao SGR bali wasubiri tukishawajengea wana kigoma nao watapata urahisi wa kuchukua mizigo kigoma, hiyo ndo nafuu yao.
 
Habari za leo,

Gazeti la The Citizen limeandika makala kuhoji busara iliyotumika kuamua kujenga SGR Wakati tafiti za Kitaalamu zinaonesha tutapata Hasara?

Kwa mujibu wa WB Ili reli ilete faida inatakiwa mzigo angalau Tani mil.55 wakati utafiti unaonyesha Hadi kufikia 2030 EAC yote itakuwa na uwezo wa kusafirisha Tani asilia 14 tuu ya mahitaji Ili upate faida..

Kwamba Kwa nini Magufuli na Serikali yake walichagua expensive option ambayo itakuwa ni liability Kwa Taifa miaka na miaka?

My take: Hivi kwa nini tusiwe tunawawajibisha watu wanaotoa hasara Taifa kwa maamuzi yao ya Hovyo?[emoji116]

=====

Trucks and tracks: Will Tanzania’s SGR ever work?
Charles Makakala
6-7 minutes
Summary

The government’s gung-ho approach to SGR is commendable. At this stage of the project, developing cold feet would make no sense. Nonetheless, much more needs to be done to ensure the SGR’s future commercial and economic viability.

Tanzania continues to show strong commitment to its grand $14 billion, 1,800km standard gauge railway (SGR) project. According to recent reports, the government is pushing forward with the Tabora-Gitega and Isaka-Kigali phases, connecting the infrastructure with Burundi and Rwanda, respectively. This will, hopefully, make Tanzania a transportation hub for its many landlocked neighbours.

The government’s gung-ho approach to SGR is commendable. At this stage of the project, developing cold feet would make no sense. Nonetheless, much more needs to be done to ensure the SGR’s future commercial and economic viability.

To start with, while economic and population growth, global supply chains, landlocked countries and mining investments all call for better and more reliable transport infrastructure, the SGR was not the right solution for Tanzania. Multiple reports have made this quite clear. There is no economic justification for SGR investment anywhere in East Africa at this point.

A 2013 World Bank report observed that an SGR project requires a volume of 55 million tonnes to be viable, while EAC railways are estimated to achieve only 14.4 million tonnes in total by 2030. With such requirements, given that Tanzania Railways Corporation (TRC) achieved not even a third of that, refurbishing the Central Railway at one third of the SGR cost would have sufficed, but the powers that be chose the most expensive option possible!

Neighbouring Kenya is paying dearly for its headstrong decision to ignore the fundamentals of railway economics. Ian Taylor, author of Kenya’s New Lunatic Express, observes that the Madaraka Express was generating a loss of $7.35 million every month in 2018, operating at less than 15 percent of its planned capacity. This is the fate that awaits Tanzania unless the government has something quite special up its sleeve.

But the long list of failed or failing public projects – TRC, UDA, BRT, TTCL, NHC, ATCL, Tanganyika Packers, etc – suggests that that is quite unlikely. While the government may pull off a project here or there, it lacks the track record of successfully running considerable operations in the medium and long term. To give the SGR a chance, the government needs to show a very high degree of resolve to address its future challenges.

Firstly, the SGR will have to pass the quality of service test. In the 1990s, when the road between Tanga and Moshi was rebuilt, people abandoned the railway services fast, and they were withdrawn. People have choices today. There are 86,000 lorries and 49,000 buses crisscrossing the nation every day. If TRC will approach this challenge as casually as it did in the past, we can as well conclude today that Tanzania’s SGR will be the most expensive white elephant in East African history.

Secondly, the DRC challenge. As it stands, even though over 90 percent of goods to or from Rwanda and Burundi pass through Dar es Salaam, they comprise less than one third of goods that pass through the port. Integration of the economic region around Tanganyika Lake might improve the situation. For example, the populous eastern provinces of the DRC of North and South Kivu, Katanga, Maniema and Ituri, which are resource-rich but are forced to depend on the unwieldy railway line to South Africa, could use a solid alternative line to Dar which could very likely cut transport times by up to 70 percent.

Thirdly, the marketing challenge. In the heyday of railway transportation in Africa, people often lacked viable transport alternatives, but today, all across sub-Saharan Africa, lorries dominate tracks even in cases where tracks have very clear cost advantages.

Statistics suggests that TRC is not competitive in the transportation of fertiliser, ores and minerals, cement, and oil, the kind of deals which successful operators thrive on. Similarly, even when ticket prices were half those of buses, people still preferred the convenience that buses offered. A laissez faire approach to the market will not persuade Tanzanians to use railway transport.

Finally, Dar es Salaam Port, which deserves its own discussion.

Generally speaking, railway is a nationally strategic resource. Unfortunately, Africans have been going about the railway business in the wrong way.

In the 1870s, only two decades after the introduction of railways, Indian mechanics began to manufacture locomotives which were better and cheaper than the British ones. Today, Indians are advising the British how to manage their railway networks. Similarly, in the 1930s’ South Africa, railways were pumping skilled craftsmen to the rest of the economy, leading to the industrialisation of South Africa. At its peak in the 1970s, South Africa Railways had 230,000 employees. Such is the potential of railways in economic transformation.

Pumping billions into a project will not bring such outcomes. There must be a paradigm shift without which the thousands of lorries will continue to damage roads, congestion will continue to cost the nation dearly and accidents will continue to cut short livesas hundreds of new vehicles hit the roads every day.

In this case, will the SGR ever work?

Given Tanzania’s track record, it is difficult to see anything beyond failure here. The most likely scenario is that the network will function well below expectations for years, incurring losses that the government will struggle to subsidise. As the situation worsens, TRC will start to cut corners in maintenance, making the infrastructure degrade faster, thus reducing the network speeds and reliability. Then clients will drop en masse going back to privately owned lorries and buses, leading to exactly where we started.

That’s the Tanzania we know and love, huh?


View attachment 2302965
Ripoti hiyo imeandaliwa kinadharia zaidi yenye malengo ya kisiasa. Hata mtu ambaye siye mchumi anajua thamani ya miundombinu bora na imara ya usafarishaji. Kwa hesabu rahisi chambua faida na hasara ya kusafirisha mizigo kwa punda, baiskeli, gari, gari moshi, SGR; au mtumbwi na meli; au na hata pickup na lorry.

Isitoshe, yawezekana, na ikawa na ukweli kuwa kiasi cha mizigo inayosafirishwa kwa sasa ni kidogo, lakini ni kwa sababu uwezo wa kusafirisha pia ni mdogo
 
Mama zangu watasafiri na kusafirisha mizigo yao kwa urahisi na haraka, huku biashara zao zikisafirishwa kwa gharama ndogo na haraka. Wewe endelea kuwaonea huruma mama zako wa Congo, waambie kabisa hatutawengea wao SGR bali wasubiri tukishawajengea wana kigoma nao watapata urahisi wa kuchukua mizigo kigoma, hiyo ndo nafuu yao.
Tuonyeshe huo mzigo wa Mwanza..

Kwa hiyo lengo la kujenga sgr ni mama zako wasafiri sio?

Watu kama nyie ndio huwa mnatiwa kitanzi .
 
Ripoti hiyo imeandaliwa kinadharia zaidi yenye malengo ya kisiasa. Hata mtu ambaye siye mchumi anajua thamani ya miundombinu bora na imara ya usafarishaji. Kwa hesabu rahisi chambua faida na hasara ya kusafirisha mizigo kwa punda, baiskeli, gari, gari moshi, SGR; au mtumbwi na meli; au na hata pickup na lorry.

Isitoshe, yawezekana, na ikawa na ukweli kuwa kiasi cha mizigo inayosafirishwa kwa sasa ni kidogo, lakini ni kwa sababu uwezo wa kusafirisha pia ni mdogo
Onyesha faida za Kiuchumi za sgr badala ya kuleta mipasho..

Uje na namba na utafiti kama walivyobainisha.
 
We ndo hamnazo kabisa, we huoni hapo TPA wameonyesha mizigo ya nchi Jirani tu? Ebu weka mizigo ya hapa nchini kutoka bandari ya dar es salaam ndo utajua kwa nini Mwanza, kwa taarifa yako mizigo ya Mwanza mingine mingi tu inapitia bandari ya Mombasa, SGR ikikamilika mizigo yote wa Kanda ya ziwa na uganda utapita Dar port, hiyo ndo hofu nyingine ya wakenya na hilo gazeti lao.
Mizigo ya hapa Nchini haifiki hata 30% ya mizigo inayopitia bandari ya Dar..

Ni Kenya tuu ndio 70% ya mzigo wa bandari yao unaishia ndani ya Nchi..

Tuwekee hapa huo mzigo unaokuja Mwanza Ili tujue kama kuna faida ya kugenga reli huko .
 
Arguments zenyewe ni unjustifiable mtu tu ana relate investment ambazo hazina equal potential, wala logic.

Kenya Railway is a truck to no where, Tanzania railway inaenda nchi nne and all of which with huge growth potential ndio maana ata huyo mchina hana shida ya kujenga port kubwa Mombasa ambayo na yenyewe ina matatizo yale yale ya Dar delays in offloading cargo inayochangia kwenye demmurage charges. Sasa kwanini mchina asiende huko Mombasa kujenga iwe more efficient abaki alilie Bagamoyo kwa zaidi ya miaka 10 sasa.

On the other hand TRC train aitoki Dar-Moshi-Arusha directly; inasimama vituo kibao na kuchochea local businesses hasa kwa wafanyiabashara wadogo ambao wanapanda na kushuka vituo vya njiani au anadhani Tanzania ni miji mikubwa tu, Tanga cement inafaidika sana on economies of scale kwa mujibu wa uongozi wao and so will other business too in the future watakaowekeza karibu na line.

In short wakenya wana matatizo makubwa sana, ndio maana kuna wakati hayati aliwafungia hawa watu. If it’s up to them ili gazeti kama nchi yetu ingekuwa na ukabila kama kwao wangeweza chochea ata maswala ya xenophobia Tanzania.

Ni article ya uchokozi isiyo na merit ya hoja zozote za msingi wao ndio wanajua projected volumes za mizigo kushinda nchi husika or what justification kusema reli lazima ibebe 55 million tons annually ipate faida, wanajua kiasi gani ni hela za ndani na kipi mkopo au estimated ya mwaka wa faida, wanafahamu interest ya mikopo yake return ya malipo, wanajua cost za kuendesha hiyo train or what justification imetumika kusema reli lazima ifikie hizo million tonnes ili iwe na faida.

Pure nonsense ingelikuwa nchi nyingine mwandishi anaitwa kuelezea hiyo bias story yake au credibility ya arguments zake; sio uamke na kujiropokea tu kama Ulimwengu kisa una platform.

Like seriously what is wrong with Kenyans always worrying what Tanzania is doing, why this is not the behaviour of our other neighbours Rwanda, Ugandan, Congo or Burundi; it’s always the Kenyans who are worried about other EAC nations economic plans.
They are scared of the sleeping giant !!
 
Kwenye biashara ya usafiri ili uweze kuwa competitive lazima chombo chako kiweze kujaza abiria au kubeba mzigo wa capacity yake. Vingenevyo itakubidi uwe na nauli au bei za usafiri kubwaaaaa...na kila mtu atakukumbia.
Arguments zenyewe ni unjustifiable mtu tu ana relate investment ambazo hazina equal potential, wala logic.

Kenya Railway is a truck to no where, Tanzania railway inaenda nchi nne and all of which with huge growth potential ndio maana ata huyo mchina hana shida ya kujenga port kubwa Mombasa ambayo na yenyewe ina matatizo yale yale ya Dar delays in offloading cargo inayochangia kwenye demmurage charges. Sasa kwanini mchina asiende huko Mombasa kujenga iwe more efficient abaki alilie Bagamoyo kwa zaidi ya miaka 10 sasa.

On the other hand TRC train aitoki Dar-Moshi-Arusha directly; inasimama vituo kibao na kuchochea local businesses hasa kwa wafanyiabashara wadogo ambao wanapanda na kushuka vituo vya njiani au anadhani Tanzania ni miji mikubwa tu, Tanga cement inafaidika sana on economies of scale kwa mujibu wa uongozi wao and so will other business too in the future watakaowekeza karibu na line.

In short wakenya wana matatizo makubwa sana, ndio maana kuna wakati hayati aliwafungia hawa watu. If it’s up to them ili gazeti kama nchi yetu ingekuwa na ukabila kama kwao wangeweza chochea ata maswala ya xenophobia Tanzania.

Ni article ya uchokozi isiyo na merit ya hoja zozote za msingi wao ndio wanajua projected volumes za mizigo kushinda nchi husika or what justification kusema reli lazima ibebe 55 million tons annually ipate faida, wanajua kiasi gani ni hela za ndani na kipi mkopo au estimated ya mwaka wa faida, wanafahamu interest ya mikopo yake return ya malipo, wanajua cost za kuendesha hiyo train or what justification imetumika kusema reli lazima ifikie hizo million tonnes ili iwe na faida.

Pure nonsense ingelikuwa nchi nyingine mwandishi anaitwa kuelezea hiyo bias story yake au credibility ya arguments zake; sio uamke na kujiropokea tu kama Ulimwengu kisa una platform.

Like seriously what is wrong with Kenyans always worrying what Tanzania is doing, why this is not the behaviour of our other neighbours Rwanda, Ugandan, Congo or Burundi; it’s always the Kenyans who are worried about other EAC nations economic plans.
 
Kwenye biashara ya usafiri ili uweze kuwa competitive lazima chombo chako kiweze akujaza abiria au kubeba mzigo wa capacity yake. Vingenevyo itakubidi uwe na nauli au bei za usafiri kubwaaaaa...na kila mtu atakukumbia.a
Biashara ya kuendesha railway line Tanzania au ata Africa una compete na nani, hakuna bidding competition huku za private firms kuendesha railway line.

Kwa maana hiyo unapanga bei after break even costs. Halafu sio lazima mizigo au chombo kijae ndio upate faida.
 
Back
Top Bottom