Gazeti la The Citizen lahoji nani aliishauri Serikali kujenga SGR wakati wataalamu wanasema italeta hasara?

Gazeti la The Citizen lahoji nani aliishauri Serikali kujenga SGR wakati wataalamu wanasema italeta hasara?

Huu ni ujinga wa Karne..Huwa wanajenga kumnufaisha mjukuu gani?

Nyumba sio reli,reli inaenda na teknolojia ya wakati huo Ili ilete faida sio kusubiria ,ukisubiria teknolojia inapita inakuwa chuma chakavu.

Bro wewe mara nyingi huwa unatoa madini kuhusu mambo mengi.
Ngoja nikuambie kitu,
A: Miradi ya kimkakati huwa haiangalii financial viability, bali social economic return.

B: Mradi wowote ambao utatumika across the generation ukatekelezwa sasa, utasaidia pindi ambazo need itakuwa kubwa kuto kuwa na stress. Ina maana kila kitu kinaweza kuhudumiwa bila kuwa kwenye catch up sessions.
Kama hii busara ingetumika kwenye ujenzi wa madarasa, zahanati, umeme, upangaji wa ardhi, n.k. mambo yangekuwa tofauti sana. Tusingekuwa na changamoto nyingi.
 
Habari za leo,

Gazeti la The Citizen limeandika makala kuhoji busara iliyotumika kuamua kujenga SGR Wakati tafiti za Kitaalamu zinaonesha tutapata Hasara?

Kwa mujibu wa WB Ili reli ilete faida inatakiwa mzigo angalau Tani mil.55 wakati utafiti unaonyesha Hadi kufikia 2030 EAC yote itakuwa na uwezo wa kusafirisha Tani asilia 14 tuu ya mahitaji Ili upate faida..

Kwamba Kwa nini Magufuli na Serikali yake walichagua expensive option ambayo itakuwa ni liability Kwa Taifa miaka na miaka?

My take: Hivi kwa nini tusiwe tunawawajibisha watu wanaotoa hasara Taifa kwa maamuzi yao ya Hovyo?👇

=====

Trucks and tracks: Will Tanzania’s SGR ever work?
Charles Makakala
6-7 minutes
Summary

The government’s gung-ho approach to SGR is commendable. At this stage of the project, developing cold feet would make no sense. Nonetheless, much more needs to be done to ensure the SGR’s future commercial and economic viability.

Tanzania continues to show strong commitment to its grand $14 billion, 1,800km standard gauge railway (SGR) project. According to recent reports, the government is pushing forward with the Tabora-Gitega and Isaka-Kigali phases, connecting the infrastructure with Burundi and Rwanda, respectively. This will, hopefully, make Tanzania a transportation hub for its many landlocked neighbours.

The government’s gung-ho approach to SGR is commendable. At this stage of the project, developing cold feet would make no sense. Nonetheless, much more needs to be done to ensure the SGR’s future commercial and economic viability.

To start with, while economic and population growth, global supply chains, landlocked countries and mining investments all call for better and more reliable transport infrastructure, the SGR was not the right solution for Tanzania. Multiple reports have made this quite clear. There is no economic justification for SGR investment anywhere in East Africa at this point.

A 2013 World Bank report observed that an SGR project requires a volume of 55 million tonnes to be viable, while EAC railways are estimated to achieve only 14.4 million tonnes in total by 2030. With such requirements, given that Tanzania Railways Corporation (TRC) achieved not even a third of that, refurbishing the Central Railway at one third of the SGR cost would have sufficed, but the powers that be chose the most expensive option possible!

Neighbouring Kenya is paying dearly for its headstrong decision to ignore the fundamentals of railway economics. Ian Taylor, author of Kenya’s New Lunatic Express, observes that the Madaraka Express was generating a loss of $7.35 million every month in 2018, operating at less than 15 percent of its planned capacity. This is the fate that awaits Tanzania unless the government has something quite special up its sleeve.

But the long list of failed or failing public projects – TRC, UDA, BRT, TTCL, NHC, ATCL, Tanganyika Packers, etc – suggests that that is quite unlikely. While the government may pull off a project here or there, it lacks the track record of successfully running considerable operations in the medium and long term. To give the SGR a chance, the government needs to show a very high degree of resolve to address its future challenges.

Firstly, the SGR will have to pass the quality of service test. In the 1990s, when the road between Tanga and Moshi was rebuilt, people abandoned the railway services fast, and they were withdrawn. People have choices today. There are 86,000 lorries and 49,000 buses crisscrossing the nation every day. If TRC will approach this challenge as casually as it did in the past, we can as well conclude today that Tanzania’s SGR will be the most expensive white elephant in East African history.

Secondly, the DRC challenge. As it stands, even though over 90 percent of goods to or from Rwanda and Burundi pass through Dar es Salaam, they comprise less than one third of goods that pass through the port. Integration of the economic region around Tanganyika Lake might improve the situation. For example, the populous eastern provinces of the DRC of North and South Kivu, Katanga, Maniema and Ituri, which are resource-rich but are forced to depend on the unwieldy railway line to South Africa, could use a solid alternative line to Dar which could very likely cut transport times by up to 70 percent.

Thirdly, the marketing challenge. In the heyday of railway transportation in Africa, people often lacked viable transport alternatives, but today, all across sub-Saharan Africa, lorries dominate tracks even in cases where tracks have very clear cost advantages.

Statistics suggests that TRC is not competitive in the transportation of fertiliser, ores and minerals, cement, and oil, the kind of deals which successful operators thrive on. Similarly, even when ticket prices were half those of buses, people still preferred the convenience that buses offered. A laissez faire approach to the market will not persuade Tanzanians to use railway transport.

Finally, Dar es Salaam Port, which deserves its own discussion.

Generally speaking, railway is a nationally strategic resource. Unfortunately, Africans have been going about the railway business in the wrong way.

In the 1870s, only two decades after the introduction of railways, Indian mechanics began to manufacture locomotives which were better and cheaper than the British ones. Today, Indians are advising the British how to manage their railway networks. Similarly, in the 1930s’ South Africa, railways were pumping skilled craftsmen to the rest of the economy, leading to the industrialisation of South Africa. At its peak in the 1970s, South Africa Railways had 230,000 employees. Such is the potential of railways in economic transformation.

Pumping billions into a project will not bring such outcomes. There must be a paradigm shift without which the thousands of lorries will continue to damage roads, congestion will continue to cost the nation dearly and accidents will continue to cut short livesas hundreds of new vehicles hit the roads every day.

In this case, will the SGR ever work?

Given Tanzania’s track record, it is difficult to see anything beyond failure here. The most likely scenario is that the network will function well below expectations for years, incurring losses that the government will struggle to subsidise. As the situation worsens, TRC will start to cut corners in maintenance, making the infrastructure degrade faster, thus reducing the network speeds and reliability. Then clients will drop en masse going back to privately owned lorries and buses, leading to exactly where we started.

That’s the Tanzania we know and love, huh?


View attachment 2302965
This is another sample of those articles that aim at confusing those who do not want to make their brains work, it is a topic aimed at showing how the writer and his Editor can come up with topics that are of no use to our country in particular and to the East African Community people in general. The writer is telling us of WB reports of 2013 or so, what is the stand of the WB today? Is the WB not funding some of SGR Phases? On the question of "experts" who say the SGR Project is not economical, who are the "expert"? Where were they when we were embarking on this project? Did they lack the forum to air this blaah blaah then? If that is the case, then let them thank the CITIZEN for giving them this chance.
 
Nani kasema soko la ndani tu?! Kipaumbele ni watanzania kwanza make ndo wanaoijenga, hao wa nje baadae baada ya wenye reli yao kupata. Hata umeme tunazalisha kwa mahitaji yetu kwanza huko nje baadae, Barabara ni kwa mahitaji yetu kwanza nje baadae, tunajenga miundombinu ya maji kwa mahitaji yetu kwanza, Yaani kama vile tungenunua ndege za air tanzania kwa ajili ya Beijing na Lusaka huku Mwanza, Dodoma, Mbeya, Kilimanjaro hakuna ndege! Tungekuwa wapuuzi sana.

Barabara zetu zitakuwa salama, bidhaa zitashuka, usafiri kwa mtanzania utakuwa nafuu na wa haraka, nk hizo ni baadhi ya faida za kiuchumi.
Okay nimekusikia, unapokwenda kukopa hala benk ya ndani Bank watakueleza hebu leta write-up yako juu ya huuu maradi na wanachoangalia ni viability(investment, Technology, soko, returns etc.) ndani yake lazima waangalie fedha hizi wanazokupa utazirudishaje kwenye mradi huu. Kwa Inward looking like you hutapata mkopo hata ufanyeje. SGR haiwezi ku-break even kwa kutegemea soko la ndani hayo mengine ni siasa tu sio uchumi. Na kwa mtazomo huu hata kwa ndege serikali itaendelea kulibeba kwa fedha za walipakodi hadi ndege hizo hadi zichakae. Hata hao ATC wameshaliona ndio unaona wanaanza kwenda India na China sio kutosheleza ruote za Songea na Katavi laa hasha. Think outside the box man.
 
Okay nimekusikia, unapokwenda kukopa hala benk ya ndani Bank watakueleza hebu leta write-up yako juu ya huuu maradi na wanachoangalia ni viability(investment, Technology, soko, returns etc.) ndani yake lazima waangalie fedha hizi wanazokupa utazirudishaje kwenye mradi huu. Kwa Inward looking like you hutapata mkopo hata ufanyeje. SGR haiwezi ku-break even kwa kutegemea soko la ndani hayo mengine ni siasa tu sio uchumi. Na kwa mtazomo huu hata kwa ndege serikali itaendelea kulibeba kwa fedha za walipakodi hadi ndege hizo hadi zichakae. Hata hao ATC wameshaliona ndio unaona wanaanza kwenda India na China sio kutosheleza ruote za Songea na Katavi laa hasha. Think outside the box man.
Ni bora watanzania tujibane ili pesa zetu zilipie miradi ya kimkakati kama hii kuliko kuwaachia mchwa kuzipiga pesa kila zinapoonekana zimejaa huko zinakohifadhiwa !! Muhimu serikali ibane matumizi yake kama wanavyoshauriwa kila Mara !! Hii Kazi na Bata tuache kabisa !! Maisha ni kuridhika tu sio lazima kula bata maana Unaweza kula bata na bado usiridhike maisha yako yotee !!
 
Watuache.

Sasa walitaka tusijenge reli, nani angetujengea sasa?.
Population yetu inaongezeka, kiwango cha mzigo kinachozalishwa nchini au kitakachohitajika nchini na kwa majirani zetu kitazidi kuongezeka. Lazima tuwe na reli ya viwango vya SGR.

Sema SGR ilikuwa inaendana na bandari ya Bagamoyo ili kuifeed mzigo wa kutosha hiyo ndo ilikuwa vision ya Mkapa na Kikwete.

Sasa tuanze mchakato wa kupata dili la maana la ujenzi wa bandari ya bagamoyo.
Jiandae kupigww mawe.
 
Ujenzi wa reli kwa kiwango cha SGR ni mkakati mpana wa kuiunganisha Afrika nzima kwa njia ya reli. Eneo letu la Afrika mashariki pia linatekeleza mpango huo na Kenya Tayari waliishaanza, Sisi tunafuata. Afrika Magharibi wako kwenye matayarisho wakati Egypt wameisha anza pia.

Tanzania kuzungukwa na nchi nane kuacha kujenga sasa reli mpya yenye uwezo mkubwa wa kubeba mzigo mzito, ingekuja kutugharimu sana baadaye.

Mpango wa kujenga reli ya SGR, haukuasisiwa na Magufuli bali aliukuta na kuuanzisha kwa kasi ya ajabu. Ni miundombinu ya kimkakati itakayochochea uchumi wetu siku za usoni ....Kama itakamilika!.
Ondoa Shaka ,utafika tamati pasipo kupoteza hata nukuta.
 
Wakati Tanzania na Zambia zilipoamua kujenga TAZARA nchi za Magharibi ziliombwa kujenga reli hiyo zikasema haitakuwa na faida kiuchumi. Ndipo Nyerere na Kaunda wakaamua kuomba China ijenge reli hiyo.

Usafiri wa treni tunauhitaji sana Tanzania kwani utapunguza wingi wa malori barabarani na ajali zinazoambatana na wingi huo. Hiyo reli itatatua pia usafirishaji kwenda nchi jirani ambako hivi sasa malori ndiyo yanafanya kazi.

Mjeremani alipoamua kujenga reli ya kati kulikuwa na mizigo kiasi gani cha kusafirisha? Vivyo hivyo na Muingereza alipoamua kujenga reli ya Tabora-Mwanza alikuwa anatarajia kusafirisha mizigo kiasi gani?

Ina maana hiyo mizigo imeisha safirishwa yote ili kwamba mahitaji ya treni sasa yasiwepo?>
Tazara ina hali mbaya.
 
Mawaziri wengi wana malori na mabasi
Reli haijawahi kuzuiya Biashara ya ma Truck [emoji597][emoji602] na ma Bus.

Miaka 2010 , kurudi nyuma Soko kubwa mbao lilikua tazara kwasababu mbao nyingi zilikuja na train [emoji588], watu walivyo Hamishia mitaani wakona usumbufu wa chanting, train haipakiii hata ubao mmoja.
 
SGR sio mbaya kabisa mimi najiuliza kwanini miradi mikubwa yote at once, vipi kuhusu maendeleo ya watu yaani uwekezaji katika kuhakikisha wananchi nao wanafaidi keki ya Taifa.
Kwakipindi hicho maendeleo ya watu yalizingatiwa. Ndiyo maana ya gari Moshi za kigoma, Mwanza , Tabora, Monda, na na hii ya Ifakara , Mlimba,Chita ,Uchindire Makambako kwenda Meya. Kote ziliko pita zilisaidia watu, ambao hawakua na njia mbadra .Lakini kwa Sasa hatuangalii watu TU, tunaangalia na faida.
 
Kwakipindi hicho maendeleo ya watu yalizingatiwa. Ndiyo maana ya gari Moshi za kigoma, Mwanza , Tabora, Monda, na na hii ya Ifakara , Mlimba,Chita ,Uchindire Makambako kwenda Meya. Kote ziliko pita zilisaidia watu, ambao hawakua na njia mbadra .Lakini kwa Sasa hatuangalii watu TU, tunaangalia na faida.
Hizo gari Moshi zinaleta faida au mnakamua Kodi za maskini kwenda kutafutia sifa za kijinga?
 
Suala la TZR na SGR ni vitu viwili tofauti, hili la TZR lina siasa nyingi sana tofauti na hili la SGR ambalo ni straight forward uwezekezaji makini!
Tena hilo LI sgr ndio limejaa siasa..

Kwa Takwimu hizi hapa sgr itapata wapi mzigo wa kubeba Ili isiwe siasa? 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220722-185451_Twitter.jpg
    Screenshot_20220722-185451_Twitter.jpg
    30.2 KB · Views: 5
  • Screenshot_20220726-181855.png
    Screenshot_20220726-181855.png
    105.9 KB · Views: 7
Hii nchi miaka 60 sasa hata kuendesha mashirika ya maji yanayotumia teknolojia nyepesi sana ili watu wote wapate maji ya bomba bado ni mtihani mzito!
Hilo ndilo swali muhimu linalotaka jibu.
Jinsi ya kuboresha uendeshaji; na wala siyo ujenzi wa reli ya kisasa.

Swala la uendeshaji ni tofauti kabisa na uhitaji wa reli mpya ya kisasa.

Ukitaka kulijadili hilo unakaribishwa.
 
Hi i kipindi Mkoroni anajenga reli kati alikuwa na uwezo wa kusafirisha tani ngapi?
Kulikuwa na mzigo mwingi sana kuliko wa sasa hususan magogo kutoka Tabora, Morogoro nk. Ila kwa sasa hakuna mzigo unaokwama kusafiri katika njia ambayo SGR inapita, na hiyo inadhihirisha kuwa return ya SGR ni far from designated PBP.
 
Back
Top Bottom