Weka sababu za Economist kwanini Magufuli atashinda, wacha kelele..Mtu mwenye akili timamu na fikra pana hawezi kuzifanya hisia za mtu fulani kama ndio ukweli!
Wewe kama unazielewa hisia zako, mimi sio jukumu langu kuzielewa au kujifanya sizielewi kwa sababu kufanya hivyo nitakuwa ninatumia akili na fikra zangu vibaya!
Thanks, nitaku tag
P
Ataitoa wapi mkuu wakati yeye mwenyewe anategemea akichokiandika Kigogo huko twiterNani ameupachika?
Kumbuka nimekuomba charge sheet ya mashitaka ya Kabendera!
Kuna sehemu ndani ya maoni yako ninakubaliana nawe lakini pia sehemu nyingine sikubaliani nawe.
Ni kweli kwenye Urais wa Tanzania haina mjadala! Labda Urais wa Zanzibar!
Kumbuka Wabunge na madiwani wengi wa upinzani walishinda kwa sababu ya CCM kuvuruga mchakato wao wa ndani katika kuwapata wagombea kwa tiketi ya CCM. Kama CCM watajirekebisha katika mchakato wa kuwapata wagombea basi wapinzani watakuwa na wakati mgumu sana!
Kwa hiyo mkakati wenu kuhakikisha kuna uchaguzi huru ni upi?Kwa nguvu ya Police na Jeshi, in the ballot box CCM wanashindwa asubuhi sana tena sana! Kwenye uhuru ha haki... free and fair election ,upinzani will emerge winner!
Wetu na nani? Kwenda msituni au vipi?
Hebu msaidie huyo mwenzio kuniwekea hapa sababu za "the Economist" walizotoa kwamba Magufuli atashinda this year?Ataitoa wapi mkuu wakati yeye mwenyewe anategemea akichokiandika Kigogo huko twiter
Sent using Jamii Forums mobile app
Nisilo elewa mimi na hii elimu yangu mangungu ni kuwa inakuwaje kwenye uhakika huo wa ushindi bado ccm inakosa confidence?Gazeti pia linatoa ujumbe kwa wapinzani kuwa wajiandae kwa ''mafuriko ya kisiasa''!
This is very true, not only CCM will retain a firm grip on power, but for a long time to come, in facts, CCM Itatawala Milele, anayebisha abishe tuu for the sake of kubisha, unless ni kwa msaada wa watu wa Marekani!.
PKupata maendeleo ya kweli, Watanzania ni lazima tujifunze kuukubali ukweli!. Hili la CCM kutawala milele ni kweli!.
Wanabodi, Leo tena naendelea na zile Makala zangu za Kwa Maslahi ya Taifa. Topic yangu ya leo ni kutuhusu sisi Watanzania, ili tupate maendeleo ya kweli, ni lazima tujifunze kuupokea na kuubali ukweli halisi ulipo, ukweli bayana, hata huo ukweli ukiwa mchungu vipi, ukweli ni ukweli tuu, na siku...www.jamiiforums.com
Sumu hailambwi kwa ulimiNisilo elewa mimi na hii elimu yangu mangungu ni kuwa inakuwaje kwenye uhakika huo wa ushindi bado ccm inakosa confidence?
Haitaki kutoa nafasi sawa za kufanya siasa, imewaamuru Polisi kuwadhibiti wapinzani kila kona, haitaki Tume huru ya uchaguzi na mengineyo ya aina hiyo? Unauhakika wa ushindi inakuwaje uwahonge na kuwatisha marefa?
Nadhani hata hao wabobezi wa Economist wameliona hilo kuwa kwa vile hali ni hiyo basi hakuna namna lazima wajitangaze ushindi
Sent using Jamii Forums mobile app
The economist hawa wanafiki tu!INTELLIGENCE UNIT ni sehemu ya kitengo ndani ya Gazeti la The Economist ambacho hufanya uchunguzi na utafiti wa kisiasa na kiuchumi kwa nchi mbali mbali duniani na kutoa matokeo au matarajio.
Kitengo hiki cha kiuchunguzi kina wafanyakazi wabobezi zaidi ya 100 duniani ambao hutoa tafiti na utabiri baada ya uchunguzi kuhusu masuala ya kiuchumi kwa nchi mbali mbali kila mwanzo wa mwaka kulingana na mazingira halisi.
Ikumbukwe kuwa gazeti la The Economist limekuwa mwiba mkali hasa kwa Rais Magufuli kwa sababu linaamini sera za kisiasa na kiuchumi za Rais Magufuli zinaenda kinyume na mtazamo/msimamo wa kisiasa na kiuchumi wa gazeti hili.
Kwenye suala la kiuchumi, The Economist linaamini katika Ubinafsishaji na kuachia uchumi huru bila ya serikali kuingilia kati. Kwenye suala la kijamii, The Economist linaamini katika ndoa za jinsia moja na kuhalalisha utumiaji wa baadhi ya madawa ya kulevya kama bangi.
Ukitaka kujua msimamo wa Gazeti la The Economist kuhusu masuala ya kisiasa na kiuchumi;
GONGA LINK HII>>>Is The Economist Left or Right Wing
Hata hivyo linapofika suala la uchambuzi na utafiti, gazeti la The Economist hutoa matokeo ya tafiti na utabiri kama ambavyo jopo la wachunguzi wake limeona na kufikia hitimisho.
Kwenye masuala ya kisiasa nchini, jopo la wachunguzi wa INTELLIGENCE UNIT limesema baada ya Uchaguzi Mkuu, Rais Magufuli na CCM wataendelea sio kutawala tu bali pia watahodhi kwa kiwango kikubwa madaraka ya nchi.
Kwenye masuala ya kiuchumi limesema pamoja na kwamba serikali ya Rais Magufuli imeonesha mipango na nia ya kuboresha uwajibikaji katika sekta za umma na kuboresha maisha ya wananchi lakini inakabiliwa na uwezo mdogo kifedha.
INTELLIGENCE UNIT imebainisha kuwa, kutokuwa na utungaji sera ulioeleweka nchini kutawafanya wawekezaji kuogopa kuwekeza nchini, hata hivyo matarajio kwa nusu ya mwaka yanaonekana kuwa imara kutokana na kukua kwa sekta ya utoaji huduma nchini na uwekezaji kwenye miundombinu kitaifa.
Ukitaka kusoma repoti yote;
GONGA LINK HII>>>ENTELLIGENCE UNIT: Tanzania political and economic forecast
Wafikishie ujumbe wale wanaowaita mabeberu kuwa Gazeti la The Economist limeandika,‘’Under the leadership of John Magufuli, the long-standing ruling party, the CCM, will retain a firm grip on power’’.
Ukweli UPI wameuona ambao hawaujui? Wanajua kila kitu kuhusu sisi. Na wanatujua kuliko tujijuavyo wenyewe.T
The economist hawa wanafiki tu!
Sasa ndo wanajifanya kuanza kubalance story sio?
Too late, tulishawastukia siku nyingi sana. Maleongo yao na wanayemtumikia tunayajua hata mkijifanya leo mnakuwa neutral na kuanza kuuona ukweli.
Mimi sikujua kuwa mashitaka ya Kabendera ni kuripoti kwenye gazeti la The Economist!
Mkuu, naomba unipatie charge sheet ya Kabendera ili nami nisome!
Huu ujinga sasa paschal MayalaThis is very true, not only CCM will retain a firm grip on power, but for a long time to come, in facts, CCM Itatawala Milele, anayebisha abishe tuu for the sake of kubisha, unless ni kwa msaada wa watu wa Marekani!.
PKupata maendeleo ya kweli, Watanzania ni lazima tujifunze kuukubali ukweli!. Hili la CCM kutawala milele ni kweli!.
Wanabodi, Leo tena naendelea na zile Makala zangu za Kwa Maslahi ya Taifa. Topic yangu ya leo ni kutuhusu sisi Watanzania, ili tupate maendeleo ya kweli, ni lazima tujifunze kuupokea na kuubali ukweli halisi ulipo, ukweli bayana, hata huo ukweli ukiwa mchungu vipi, ukweli ni ukweli tuu, na siku...www.jamiiforums.com
Hiyo paragraph yako ya mwisho sio kweli. Watanzania wanakaribia milioni sitini halafu unadai unafikiri wapinzani hawana watu wa kuweza kuunda serikali.MsemajiUkweli,
Swala la idadi ndogo ya wabunge wa upinzani me sitaki kuamini Coz kila uchaguzi huwa tunahisi hivyo na matokeo yake ndio kwanza wanajaa,
Me nadhani watanzania wanawaamini sana upinzani kwenye ubunge kuliko kwenye urais
Na la urais linakuwa gumu sana hasa kwenye kuunda serikali bcoz upinzani hawana watu ambao wanaweza kusema wanaunda serikali
I believe wewe ndie mjinga namba moja kuleta vitu visivyo na sababu halafu unataka werevu wajadili, considering ulivyoisifia hiyo Intelligence Unit ya hao jamaa zako.Mkuu Pascal Mayalla huhitaji kuomba ruhusa lakini hata hivyo umeonyesha unyenyekevu kitaaluma kwa kuomba ruhusa!
Tumia utakavyo hasa kwa manufaa ya kuelimisha wajinga wa hapa Jamiiforums!