Slim5
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 28,203
- 37,906
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We dada kunywa maji kidogo sio kwa kumkalia ivo kooni mlibwende Jack kama unahisi ni easy hemu na wewe fanya ivo Uwe na Good life au unapenda shida za huko BUZA?Nanimwizi wa mali za watu naatavuna alichokipanda watu husema tenda mambo ya haki kwa maana yasiyo ya haki huja baadae kuwa kama ugonjwa utafurahia mali za watoto wawatu ila ipo siku Mungu atakuabisha .
Unamtegea mzee wawatu anaumwa unaanza kumsignisha mali zake pasipo ufahamu wake .
Kwanza umekaribishwa kwa familia ukavunja uaminifu ukawasettle lia wakina madama wakaachwa ukaingilia kayo ukaona haitoshi ukaivunja ndoa ya watu nakuweka kwenye udongo na matope mazito ikafifia ukaforce kila kitu mpaka ukang'ang'ana na watoto ukapeaby force .
Ukaona haitoshi ukaforce kupewa jasho la watu wengine .
It is okey ila kila chozi litalipa hapa hapa .
Nakila jambo hupata suluhu hapa hapa .
Kylin Ana akili za kudanga hakua na akili ya kubuni vya kwake vikubwa, akili yake ili target kwenye umafia zaidi,
Kichwa chake kilikua kina waza zile mali alizokuta tu 27/7
akapanga kuteketeza familia original ya Mzee Mengi kwa Ndumba including mke mkubwa aliyechuma mali halafu ndio aje sasa kurithi vilivyochumwa na wenye akili zao
Umeona wapi mke wa bilionea anauza mifuko? Demu hana kitu kichwani hizo furtuniture hana wateja wala nini anazuga tu na yeye aonekane kwamba yupo busy anafanya kitu flani
Tutsi empire,ni nature yaoKylin Ana akili za kudanga hakua na akili ya kubuni vya kwake vikubwa, akili yake ili target kwenye umafia zaidi,
Kichwa chake kilikua kina waza zile mali alizokuta tu 27/7
akapanga kuteketeza familia original ya Mzee Mengi kwa Ndumba including mke mkubwa aliyechuma mali halafu ndio aje sasa kurithi vilivyochumwa na wenye akili zao
Umeona wapi mke wa bilionea anauza mifuko? Demu hana kitu kichwani hizo furtuniture hana wateja wala nini anazuga tu na yeye aonekane kwamba yupo busy anafanya kitu flani
Hahhaa anauza mifuko ipi best!
Mifuko ya kisista du , yakubebea vitu supermarket/sokoni ya kitambaa tena mmoja elfu kumi wakati huko supermarket kuna mifuko ya Mia tano Mia tano
Afunge mumcheke 😂😂😂, anakomaa kwa Sababu hakuna gharama ya uendeshaji mafundi wake ni part time, anawaita akiwahitaji
Nimeon juzj wlimhoji..the way alivyokuwa anajibu its true hana wateja!..biashara nw zimekua pasua kichwa sana!asikate tamaa
Afunge mumcheke 😂😂😂, anakomaa kwa Sababu hakuna gharama ya uendeshaji mafundi wake ni part time, anawaita akiwahitaji
Angepata deal kama hizo wala asingehangaika na mali za familia. Wewe uwe mke wa Mengi hayo ndiyo ma contact ya kutafutaUmeona sasa best!ww kweli akili kubwa!! Jana nimemuona Mtoto wa Rugemalira supplier wa Heinken nikabaki😃😃😃! Natabasamu tu!
Alitakiwa kuwa level hizo kbs!
Angepata deal kama hizo wala asingehangaika na mali za familia. Wewe uwe mke wa Mengi hayo ndiyo ma contact ya kutafua
Mzee ci alikuwa kimoja chali??Wakati anavumilia mshedede wa mzee kuna mtu alimsaidia??? wacha ale matunda ya uvumilivu.Ile document ni OG kabisa na mitoto kama ilishindwa kumheshimu mzee wacha isome namba ili liwe funzo kwa wengine wenye tabia kama yao
We dada kunywa maji kidogo sio kwa kumkalia ivo kooni mlibwende Jack kama unahisi ni easy hemu na wewe fanya ivo Uwe na Good life au unapenda shida za huko BUZA?
[/QUOTE
Mari
Umeona sasa best!ww kweli akili kubwa!! Jana nimemuona Mtoto wa Rugemalira supplier wa Heinken nikabaki[emoji2][emoji2][emoji2]! Natabasamu tu!
Alitakiwa kuwa level hizo kbs!
Ilikuwa bahati yake ya nini kumuandama.Asingeolewa watu wangeongea aliolewa nayo pia. By the way alichanga karata zake fresh all the best to her juzi kati nimeona kapokea tuzo Dubai I think. Huyu dada ana akili sana na pia hana show offs za kijinga ingekua ni wengine mngewakoma hapa mjini. She is really smart and clever. .........
Group sex?!Bahati yake anatumia nyota ya familia ya Mengi hao waliompa tuZo Dubai hawamjui vizuri Mdanganyi konkiii😂😂😂
Kwa sababu ya kutumia “Mengi” wanadhani ni dem wa maana, siku hizi amerudi kwenye maisha yake ya kulewa na kufanya group sex kama alivyokua zamani