Gazeti maarufu duniani Forbes lamuongelea Jackline Ntuyabaliwe Mengi

Gazeti maarufu duniani Forbes lamuongelea Jackline Ntuyabaliwe Mengi

Nanimwizi wa mali za watu naatavuna alichokipanda watu husema tenda mambo ya haki kwa maana yasiyo ya haki huja baadae kuwa kama ugonjwa utafurahia mali za watoto wawatu ila ipo siku Mungu atakuabisha .
Unamtegea mzee wawatu anaumwa unaanza kumsignisha mali zake pasipo ufahamu wake .
Kwanza umekaribishwa kwa familia ukavunja uaminifu ukawasettle lia wakina madama wakaachwa ukaingilia kayo ukaona haitoshi ukaivunja ndoa ya watu nakuweka kwenye udongo na matope mazito ikafifia ukaforce kila kitu mpaka ukang'ang'ana na watoto ukapeaby force .
Ukaona haitoshi ukaforce kupewa jasho la watu wengine .
It is okey ila kila chozi litalipa hapa hapa .
Nakila jambo hupata suluhu hapa hapa .
We dada kunywa maji kidogo sio kwa kumkalia ivo kooni mlibwende Jack kama unahisi ni easy hemu na wewe fanya ivo Uwe na Good life au unapenda shida za huko BUZA?
 
Kylin Ana akili za kudanga hakua na akili ya kubuni vya kwake vikubwa, akili yake ili target kwenye umafia zaidi,

Kichwa chake kilikua kina waza zile mali alizokuta tu 27/7

akapanga kuteketeza familia original ya Mzee Mengi kwa Ndumba including mke mkubwa aliyechuma mali halafu ndio aje sasa kurithi vilivyochumwa na wenye akili zao

Umeona wapi mke wa bilionea anauza mifuko? Demu hana kitu kichwani hizo furtuniture hana wateja wala nini anazuga tu na yeye aonekane kwamba yupo busy anafanya kitu flani

Haha umejuaje fenicha za kylln hazina wateja, zisingekuwa na wateja si angeshaifungaga hio kampuni yake Mimi.
 
Kylin Ana akili za kudanga hakua na akili ya kubuni vya kwake vikubwa, akili yake ili target kwenye umafia zaidi,

Kichwa chake kilikua kina waza zile mali alizokuta tu 27/7

akapanga kuteketeza familia original ya Mzee Mengi kwa Ndumba including mke mkubwa aliyechuma mali halafu ndio aje sasa kurithi vilivyochumwa na wenye akili zao

Umeona wapi mke wa bilionea anauza mifuko? Demu hana kitu kichwani hizo furtuniture hana wateja wala nini anazuga tu na yeye aonekane kwamba yupo busy anafanya kitu flani
Tutsi empire,ni nature yao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimeon juzj wlimhoji..the way alivyokuwa anajibu its true hana wateja!..biashara nw zimekua pasua kichwa sana!asikate tamaa

Seriously hao watu flani anaowatarget hawawezi kununua kwake furniture za kuchonga
Watu wengi wenye uwezo uwa wanapanda ndege wanaenda kununua luxury and durable furniture turkey , South Africa au China very quality

Wanajaza contena kwa bei cheap kabisa vitu vya nyumba nzima
 
Afunge mumcheke 😂😂😂, anakomaa kwa Sababu hakuna gharama ya uendeshaji mafundi wake ni part time, anawaita akiwahitaji

Mmh unasema hakuna gharama ya uendeshaji, kwani kwenye ile show room yake ya amorete iliopo haile selasie, hailipii kodi ya pango kila mwezi kwa kuweka fenicha zake mule ndani na kuziuza? Mimi.
 
Umeona sasa best!ww kweli akili kubwa!! Jana nimemuona Mtoto wa Rugemalira supplier wa Heinken nikabaki😃😃😃! Natabasamu tu!
Alitakiwa kuwa level hizo kbs!
Angepata deal kama hizo wala asingehangaika na mali za familia. Wewe uwe mke wa Mengi hayo ndiyo ma contact ya kutafuta
 
Ilikuwa bahati yake ya nini kumuandama.Asingeolewa watu wangeongea aliolewa nayo pia. By the way alichanga karata zake fresh all the best to her juzi kati nimeona kapokea tuzo Dubai I think. Huyu dada ana akili sana na pia hana show offs za kijinga ingekua ni wengine mngewakoma hapa mjini. She is really smart and clever. .........
 
Ilikuwa bahati yake ya nini kumuandama.Asingeolewa watu wangeongea aliolewa nayo pia. By the way alichanga karata zake fresh all the best to her juzi kati nimeona kapokea tuzo Dubai I think. Huyu dada ana akili sana na pia hana show offs za kijinga ingekua ni wengine mngewakoma hapa mjini. She is really smart and clever. .........

Bahati yake anatumia nyota ya familia ya Mengi hao waliompa tuZo Dubai hawamjui vizuri Mdanganyi konkiii😂😂😂

Kwa sababu ya kutumia “Mengi” wanadhani ni dem wa maana, siku hizi amerudi kwenye maisha yake ya kulewa na kufanya group sex kama alivyokua zamani
 
Yule dada hata mkisema ndio hivyo hata kaa awe level zenu.Wengine wangepewa wadate na yule mzee hata siku kadhaa ingewashinda kutulia hata kumaintain profile yenyewe. Kavumilia kaolewa kazaa so she deserves it
 
Bahati yake anatumia nyota ya familia ya Mengi hao waliompa tuZo Dubai hawamjui vizuri Mdanganyi konkiii😂😂😂

Kwa sababu ya kutumia “Mengi” wanadhani ni dem wa maana, siku hizi amerudi kwenye maisha yake ya kulewa na kufanya group sex kama alivyokua zamani
Group sex?!
 
Back
Top Bottom