Gazeti ya Guardian la UK latoa nyimbo kumi bora za Africa mwaka 2016, mtanzania ashika nafasi ya 2

Gazeti ya Guardian la UK latoa nyimbo kumi bora za Africa mwaka 2016, mtanzania ashika nafasi ya 2

Uncondionational bae SIYO MTANZANIA HUYO EEH? Mitimu hii

Remember neno bae ni moja ya maneno yaliyotafutwa sana mtandaoni na watanzania, siyo wakenya, so you know the role of king kiba in this
******
 
We msukule wa madale....Wimbo wa Unconditional bae ni Wimbo unaomilikiwa kwa pamoja Kati ya Ali na Sauti Sol..

Ni kama ilivyo kwa Make me sing ni ngoma ya pamoja Kati ya A.K.A na Dimond.

Hao walioweka hiyo list hawajui kitu na wewe unae-sapoti pia hujui kitu
Daaaa team ztawauwa hizi jaman Alikiba hana hisa kwa ule wimbo ata 2% hakuna nyimbo n ya Saut Sol ndiomaana wamechukuwa tuzo kibao zmepitiliza kenya[emoji12] [emoji12] [emoji12]
 
Averina ndio wimbo bora wa kiba mwaka huu.. [emoji4]

You will love it hny! Me singing for you.. [emoji7]
[emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji23] I knew that, hili ndilo lilikuwa lengo lako tokea mwanzo.

Awwwwww hiyo siku nitalia kwa furaha [emoji7] [emoji39]
 
I miss kingkibakuli there......mshindi wa tuzo tatu za eatv.

Sio haki kabisaaaa.....
 
Fanya kuedit hiyo post wimbo wa unconditionally bae ni wa pamoja saut sol na alikiba [emoji116]
d99ce198269dfdb71a70551591953037.jpg
hahaha . ..hadi mnaiba wimbo wa watu...hahaha . ..timu kingdom cholera mmetisha
 
ukweli ni kuwa unconditional bae ni wimbo wa Sauti Sol waliomshirikisha kiba...na sio wimbo wa kiba
Mimi huwa siendi youtube kuangalia video na kuondoka huwa napitia na maelezo ya walioweka video na kwanye page ya saut sol nilikutana na maelezo hayo chini[emoji116]
e129b4bb7f2f4beaa2b8262d05a3e3cf.jpg
 
Wakuu nimepitia maelezo ya kwenye hiyo video vizuri na nilicho elewa huwo wimbo ni wa pamoja aliye chukuwa hiyo video ndio kachanganya kwenye kuingiza hayo maneno pitieni maelezo vizuri hapo chini[emoji116]
4bd8aab8b4bf5d7fdf4299cf96a6febe.jpg
Mkuu usiwe kama sio muelewa,ANAYECHUKUA VIDEO ANAANDIKA KUTEGEMEA MAELEKEZO ALIOPEWA NA WENYE VIDEO, sasa huu wimbo kama ni wapamoja basi ukubali pia kuwa kuna sintofahamu nyingi kati ya sauti sol na kiba.
 
Mkuu usiwe kama sio muelewa,ANAYECHUKUA VIDEO ANAANDIKA KUTEGEMEA MAELEKEZO ALIOPEWA NA WENYE VIDEO, sasa huu wimbo kama ni wapamoja basi ukubali pia kuwa kuna sintofahamu nyingi kati ya sauti sol na kiba.
Ali "K" anawapa shida sana washabiki wake..
Maana naona wanatumiaga nguvu sana kutafuta haki..!
 
We msukule wa madale....Wimbo wa Unconditional bae ni Wimbo unaomilikiwa kwa pamoja Kati ya Ali na Sauti Sol..

Ni kama ilivyo kwa Make me sing ni ngoma ya pamoja Kati ya A.K.A na Dimond.

Hao walioweka hiyo list hawajui kitu na wewe unae-sapoti pia hujui kitu
Acha chuki si uandike Diamond tu.....sasa dimond ndio nani
 
Back
Top Bottom