afande kifimbo
JF-Expert Member
- Aug 31, 2015
- 6,303
- 2,716
******Uncondionational bae SIYO MTANZANIA HUYO EEH? Mitimu hii
Remember neno bae ni moja ya maneno yaliyotafutwa sana mtandaoni na watanzania, siyo wakenya, so you know the role of king kiba in this
Daaaa team ztawauwa hizi jaman Alikiba hana hisa kwa ule wimbo ata 2% hakuna nyimbo n ya Saut Sol ndiomaana wamechukuwa tuzo kibao zmepitiliza kenya[emoji12] [emoji12] [emoji12]We msukule wa madale....Wimbo wa Unconditional bae ni Wimbo unaomilikiwa kwa pamoja Kati ya Ali na Sauti Sol..
Ni kama ilivyo kwa Make me sing ni ngoma ya pamoja Kati ya A.K.A na Dimond.
Hao walioweka hiyo list hawajui kitu na wewe unae-sapoti pia hujui kitu
Kwani Gurdian wanamjiwa Kiba[emoji86] [emoji85] [emoji85]Guardian ni gazeti la udaku tu linalochochea bifu la kiba na diamond!
[emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji23] I knew that, hili ndilo lilikuwa lengo lako tokea mwanzo.Averina ndio wimbo bora wa kiba mwaka huu.. [emoji4]
You will love it hny! Me singing for you.. [emoji7]
Anazidi kupotea na SamsungWapi Ali Kiba????
hahaha . ..hadi mnaiba wimbo wa watu...hahaha . ..timu kingdom cholera mmetishaFanya kuedit hiyo post wimbo wa unconditionally bae ni wa pamoja saut sol na alikiba [emoji116]
Sina team mimi nawapenda wasanii wote nacho chukia ni habari za uongo wakati kitu kinaeleweka!hahaha . ..hadi mnaiba wimbo wa watu...hahaha . ..timu kingdom cholera mmetisha
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] wakenya wako na nani kwenye hiyo nyimbo?Wewe kweli chenga wimbo ni wa sauti sol na unatambulika hivyo
ukweli ni kuwa unconditional bae ni wimbo wa Sauti Sol waliomshirikisha kiba...na sio wimbo wa kibaSina team mimi nawapenda wasamii wote nacho chukia ni habari za uongo wakati kitu kinaeleweka!
Mimi huwa siendi youtube kuangalia video na kuondoka huwa napitia na maelezo ya walioweka video na kwanye page ya saut sol nilikutana na maelezo hayo chini[emoji116]ukweli ni kuwa unconditional bae ni wimbo wa Sauti Sol waliomshirikisha kiba...na sio wimbo wa kiba
Mkuu usiwe kama sio muelewa,ANAYECHUKUA VIDEO ANAANDIKA KUTEGEMEA MAELEKEZO ALIOPEWA NA WENYE VIDEO, sasa huu wimbo kama ni wapamoja basi ukubali pia kuwa kuna sintofahamu nyingi kati ya sauti sol na kiba.Wakuu nimepitia maelezo ya kwenye hiyo video vizuri na nilicho elewa huwo wimbo ni wa pamoja aliye chukuwa hiyo video ndio kachanganya kwenye kuingiza hayo maneno pitieni maelezo vizuri hapo chini[emoji116]
Ubora wa wimbo huo unaonekana na kundi moja tu la "timu kiba"Sijauona Aje 'wimbo bora wa mwaka'
Ali "K" anawapa shida sana washabiki wake..Mkuu usiwe kama sio muelewa,ANAYECHUKUA VIDEO ANAANDIKA KUTEGEMEA MAELEKEZO ALIOPEWA NA WENYE VIDEO, sasa huu wimbo kama ni wapamoja basi ukubali pia kuwa kuna sintofahamu nyingi kati ya sauti sol na kiba.
Ni kwasababu HASTAHILI,ndio maana wanabidi wafosi kwavile sifa wanayompa sio aliyonayo.Ali "K" anawapa shida sana washabiki wake..
Maana naona wanatumiaga nguvu sana kutafuta haki..!
Kidoti nayo K, hata Kiba KSawa kidoti
Yupo namba 10Wapi Ali Kiba????
Acha chuki si uandike Diamond tu.....sasa dimond ndio naniWe msukule wa madale....Wimbo wa Unconditional bae ni Wimbo unaomilikiwa kwa pamoja Kati ya Ali na Sauti Sol..
Ni kama ilivyo kwa Make me sing ni ngoma ya pamoja Kati ya A.K.A na Dimond.
Hao walioweka hiyo list hawajui kitu na wewe unae-sapoti pia hujui kitu