KabisaYani ni umbe umbea tuu wanao
Uhalisia ni kwamba wengi wanaoponda ni iPhone users ambao hizo apps kwao ni mtihani.Mimi sio mtumiaji wa Whatsapp tofauti na official,
Ila binafsi huwa namuona mtu anayeponda mtu ambae anatumia whatsapp tofauti na official ni kama hajielewi.
Watu wana machaguo ya huduma wanazozipenda, Kwanini uwe na mentality mbovu kuhusu machaguzi yao ?
Kaz kufich status, last seen, na ujinga Jinga tu. Hasa madem!Yani ni umbe umbea tuu wanao
Madem wengi wanakamchezo hako hata mm napiga chin chap.Sijawahi kumuelewa mtu anaetumia GB WhatsApp.
NA KAMA NI DEMU NIKIGUNDUA ANATUMIA GB NAMPIGA CHINI HARAKA SANA!.
KaziKweliKweli/JobTrueTrue
Yani mm nilikuwa sipendi kwa sbb ukikosea kutuma status walikua wanabaki nayo 24 hrs hata ukiwa umedelete...Kaz kufich status, last seen, na ujinga Jinga tu. Hasa madem!
Wiki ya tatu ilihutwa kwanguIla haitafika kesho muindi lazima atasema chochote....
Sio ivo tuu... unakuta mtu hauoni yupo online, kumbe anakuzoom tu na message kasoma.... that sh*t was exhausting.Yani mm nilikuwa sipendi kwa sbb ukikosea kutuma status walikua wanabaki nayo 24 hrs hata ukiwa umedelete...
Ila hii hata wastup ya kawaida inayo..unaamua tuu kuweka mode hyo ya kutoonekana online unaweza kuselect watu wote wasione au unaotaka ww wasione..ila na ww hutoona hao watu kama wapo online ama la...ila naona ni utoto unakua unaishi kama jambazi..Sio ivo tuu... unakuta mtu hauoni yupo online, kumbe anakuzoom tu na message kasoma.... that sh*t was exhausting.
Bora hiyo inakua kama umewablock hv maana wote mnakua hamonani. Ila sifagilii upuuz huo hata kdg. Why uish kwa hofu like ukiwa online saa8 watu wakuhis vbaya? Maisha ni yakoIla hii hata wastup ya kawaida inayo..unaamua tuu kuweka mode hyo ya kutoonekana online unaweza kuselect watu wote wasione au unaotaka ww wasione..ila na ww hutoona hao watu kama wapo online ama la...ila naona ni utoto unakua unaishi kama jambazi..
Nakubaliana nawe mkuuSijawahi kumuelewa mtu anaetumia GB WhatsApp.
NA KAMA NI DEMU NIKIGUNDUA ANATUMIA GB NAMPIGA CHINI HARAKA SANA!.
KaziKweliKweli/JobTrueTrue
Tupo pamoja mkuu.😂 Mm mapema sana nilianza mazoea ya kuizoea wasap ya kawaida