Wanaotumia official wakiwa wanawasema wenye unofficial wanajikuta IQ ya mbele kumbe nao mafala tuuMuindi achezewi hayapiti masaa asha toboa ozone na vision mpya
Afu mnao tumia officiall whatsup mna jifanya mna IQ kubwa
🤣🤣daaaaah mtu ana view status ila ukienda list ya walio view humuoni
Hapo sasa..na hayo hufanywa na vicheche..labda amewapanga hataki wajue yupo online saa 8 usiku.. 😆 😆 😆Bora hiyo inakua kama umewablock hv maana wote mnakua hamonani. Ila sifagilii upuuz huo hata kdg. Why uish kwa hofu like ukiwa online saa8 watu wakuhis vbaya? Maisha ni yako
Ndo maan huwa sina mda na watu wa namna hio..... full of fake life, na kupotezeana mda tuHapo sasa..na hayo hufanywa na vicheche..labda amewapanga hataki wajue yupo online saa 8 usiku.. 😆 😆 😆
Tunasubiri majibuHivi tofauti yake na watsap ya kawaida ni ipi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]FM, YO, GB zote ni kanjanja WhatsApp [emoji23][emoji23]
Hahaha watu bado wanadunda...wa iran wataiset tena haya mambo hayajaanza leoMkuu hivi ushaona mtu wa GB,YO na FM wanavyojikuta na hizo un-official zao issues sio machaguo issue ipo kichwani.
Kama ni issue ya privacy pia hizo (legal setting) zipo
Sio hizo za michongo na kuhuni huni.
Mm sifagilii hizo Apps kabisa yani utoto,ushamba wa kijinga tu (hapa mtanisamehe).
Nawasilisha.
Zina tofauti kubwa sana mkuu, ni bahati mbaya sana tu wabongo hawapendi kutafuta kitu kipyaHizo wasap zina tofauti gani na hii official?
Nasikia ni sawa na demu wa mtaani (gb whatsapp) ambaye unatumia mastaili yoyote vs mke wa ndani (official whatsapp) unafanya kwa heshima.Hizo wasap zina tofauti gani na hii official?