Geita: Akutwa amejinyonga ndani ya nyumba ya wageni inayomilikiwa na mumewe

Huna uwezo wala akili ya kuelewa nilichoandika hapo kwa sababu mfululizo wa mauaji yanayoendelea hapa nchini hata huyasikii kwa sababu unayapaka mafuta kwa kutumia mgongo wa mfalme Yezabeli.

ni lini Tanzania na duniani hakujawahi kuwa na mauaji...tafuta namna nyingine ya kufanya siasa.
 
samurai wa CCM unayapaka haya mauaji mafuta kwa mgongo wa mfalme Yezabeli😁😁😁

hiyo ndio shida chief, ushanibatiza mimi CCM kwasababu nimewaza tofauti.... hahahaha.

sisi watoto wa kitaa haya ni mambo ya kawaida sana ya vifo, huko kanda ya ziwa vifo havijawahi kuwa maajabu tena vyakipumbavu kabisa...
 
Geita kwa wiki matukio ya mauaji hayapungui manne,bado shinyanga napo hayapungui manne
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…