Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anadai pesa zake,dah hii hatari,na wale waliowajengea mpaka majumba wanawake nao sijui itabidi wafanyeje...
Kinachowaponza hawa wanaowaua wapenzi wao ni hizi tambo za mitandaoni kuwa mwanamke akikuhadaa mtendeUamuzi wa kijinga sana huu,ndoa hailazimishwi,ndoa ni hisia,but mapenzi yanauma,kama mtu huna nia nae ni bora ukamwambia mapema ili kuepusha majanga kama haya...
Wewe uliyepa hujioni ndiye mjinga? Kwani kumthamini mtu laizma umpe fedha au mali? Kama unaona umuhimu oa halafu avitumie mkiwa wote.Hivi mademu kwa nini wanapenda tu pesa lakini hawana uaminifu? ......demu unamthamini, tuseme unampa zawadi 5m. au unamnunulia ndinga ya kutembelea, baada ya mwezi tu nyodo zinaanza, hapo lazima wajiandae na maswahibu kama haya....
Tafuta mwanamke achana na mademu.Hivi mademu kwa nini wanapenda tu pesa lakini hawana uaminifu? ......demu unamthamini, tuseme unampa zawadi 5m. au unamnunulia ndinga ya kutembelea, baada ya mwezi tu nyodo zinaanza, hapo lazima wajiandae na maswahibu kama haya....
Mapenzi ya kulazimishana ndio yanaishia kutiana hasara na makovu kibao..yote hayo yanini kama mtu hakutaki mwache aende.
Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
Njia nzuri kabisa ya kumtenda mwanamke ni kuachana naye. Amini nakuambia aliyezoea vya kunyonga vya kuchinja haviwezi. Mkiachana, kama makosa yalikuwa ni yako, hutaweza kujirekebisha bali utaendelea kukosea na hivyo maisha kuwa magumu. Na kama ni yeye alikuyekosea inakuwa hivyo hivyo.Kinachowaponza hawa wanaowaua wapenzi wao ni hizi tambo za mitandaoni kuwa mwanamke akikuhadaa mtende
Watu wa Kanda ya ziwa ndio wanaume wa nchi hii.Jamani jamani nyie watu wa huko mkoje? Kesi za mauaji kwenu mbona zimekithiri!!!!!
Ukiacha mambo ya kijinga unaweza hata kutengeneza asaliWatu wa Kanda ya ziwa ndio wanaume wa nchi hii.
Akumbukwe J .K Nyerere.
Kwani mwanamke unaenda kumtungua kama nguo ya mtumba, ni process...Tafuta mwanamke achana na mademu.
Bora huyo anayeenda jela Kuna wengine wanajinyongaUamuzi wa kijinga sana huu,ndoa hailazimishwi,ndoa ni hisia,but mapenzi yanauma,kama mtu huna nia nae ni bora ukamwambia mapema ili kuepusha majanga kama haya...
Kama hanitaki kwanini ale hela zanguMapenzi ya kulazimishana ndio yanaishia kutiana hasara na makovu kibao..yote hayo yanini kama mtu hakutaki mwache aende.
Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app